Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lile sakata la messi release clause ilikua milion 700?
 
Lyon

Adelaide deal failed
Aouar deal failed
Depay deal failed

Wamesajili tu hawajauza
watatupigia simu hawa kwenye saa tano kamili

Aulas atajua kuwa hajui
 
Means kaondoka bila baraka za wazazi?
 
Unasema Elneny anashine game na timu ndogo!!?/
 
Sokratis is staying at Arsenal, contrary to reports linking him with a move away on #DeadlineDay. #AFC
 
Usajili Updates:

Thomas Partey.

Arsenal wametengua kipengele cha kumruhusu Thomas Partey azungumze nao.

Kipengele hicho ni cha Euro milioni 50 sawa na pauni za Uingereza milioni 45

Wawakilishi wa Arsenal wapo nchini Hispania na wamewaeleza La liga kusudio lao la kumsajili Partey na kuweka hizo Euro milioni 50.

Hivi sasa Thomas Partey yupo kambini na timu ya taifa ya Ghana.

Baada ya taarifa ya Arsenal kuweka ada ya usajili La Liga Partey alirudi Hispania na kuanza taratibu za kufanyiwa vipimo na baadae kuelekea London kukamilisha taratibu za usajili.

Kitendo hicho kilichofanywa na Arsenal pia kinawapa nafasi Atletico Madrid kutafuta mchezaji mwingine wa kuziba nafasi ya Partey ndani ya siku 30 ingawa tayari wanae Lucas Torreira ambae tayari yupo nchini Hispania.

Finally We've got him.

Thomas Partey anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka 4 na atalipwa pauni 260,000 kwa wiki na ada ya usajili wake itakuwa ni pauni milioni 2.5 huku wakala wake akila asilimia 10 ya usajili huo wa aina yake.

Kwa ujumla Arsenal watalipa kiasi cha pauni milioni 110 zikiwa milioni 52.5 za kumsajili Partey.

Arsenal leo jioni iliwasilisha hundi ya Euro milioni 52.5 ofisi za La Liga ambako ndiko mikataba ya wachezaji wote wa Hispania inahifadhiwa.
 
Lyon’s £ situation:

They need €100m to balance books due to incurred & expected losses

They depended on sales of Dembele, Aouar, JRA, Lucas &/or Depay

Confident Depay, JRA & Lucas would sell today Lyon refused Arsenal’s offer but no one sold

*Maybe* we go in one last time..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…