Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpool waliona mech yetu akidaka Adrian tutafaid sana ,

Becker hakuwa fit kucheza mechi na Arsenal wakalazimisha acheze ,matokeo yake ameumia
 
Toreira na Guendouz wanaoondoka

So tunabaki na viungo watatu tu

Xhaka ceballos na Elneny


So lazima tutasajiri watu wawili
 
Liverpool anapigwa 7 wanacheza bila kipa

Waliona mech yetu angedaka Adrian tungefaidika sana wakati beka hakuwa fit 100%

Acha Leo wapigwe 7
 
90% siasa bro. Hata kama anajua hakuna kitakachofanikiwa hawezi kuwaambia mashabiki kuwa hatutaleta mtu. Ndiyo maana alikuwa anasema tunajitahidi kadri tuwezavyo iwe ni kutoa wachezaji kwenda timu nyingine ama kuleta mtu...
With Torreira & Guendouzi both leaving, surely we have to bring in a midfielder tomorrow.
 
With Torreira & Guendouzi both leaving, surely we have to bring in a midfielder tomorrow.
Ni lazima tuongeze viungo. Ila tutafanya hivyo? Hivi vitu siyo viuri kuvifanya dakika za majeruhi maana wakigoma kutuuzia tunabaki wadhaifu. Au tutalipa hela ya Thomas? Tuone lakini
 
Leo ni siku ya ajabu EPL. Kwanza Liverpool hawezi kumaliza msimu bila kufungwa. Villa na Everton ndio wanaifukuzia rekodi yetu mpaka sasa
 
Ni lazima tuongeze viungo. Ila tutafanya hivyo? Hivi vitu siyo viuri kuvifanya dakika za majeruhi maana wakigoma kutuuzia tunabaki wadhaifu. Au tutalipa hela ya Thomas? Tuone lakini
Tunaona kwa wenzetu leo vipigo vya 6 and 7 sio vya kawaida ,Team pinzani zina hasira kuna siku na sisi tutakuja kushangazwa kwa viungo hawa next match Vs Kipara ()alishapigwa 5 last week atatafuta wa kufa nae
 
Nataka sare kwa sababu sitaki wapate points nyingi hawa. Sioni uwezekano wa Villa kumpiga Liverpool ila akijitahidi kutoa sare atatusaidia Liverpool atatuacha point 1 badala ya 3. Alafu akija kupambana na Everton naona ni sare tena so wote wasikimbie kwa kasi sana.
Umepotea maboya bro
 
Tunaona kwa wenzetu leo vipigo vya 6 and 7 sio vya kawaida ,Team pinzani zina hasira kuna siku na sisi tutakuja kushangazwa kwa viungo hawa next match Vs Kipara ()alishapigwa 5 last week atatafuta wa kufa nae
Hii international break imekuja wakati mbaya maana momentum iko kwetu baada ya kumtoa Liverpool Carabao na kushinda leo. Huyu Citeh ingefaa tumpate hata kesho asubuhi tumcharaze kabla hajajipanga vizuri 😀 😀 😀 ila break imekuwa pona yake.
 
Hii international break imekuja wakati mbaya maana momentum iko kwetu baada ya kumtoa Liverpool Carabao na kushinda leo. Huyu Citeh ingefaa tumpate hata kesho asubuhi tumcharaze kabla hajajipanga vizuri 😀 😀 😀 ila break imekuwa pona yake.
Tatizo hilo kubwa hakutakiwa apumzike but for now atakuja upya
 
Kuna tetes nazisikia za Mykola Kuja Arsenal bado Nazifatilia

Willock huenda akapelekwa mkopo wesbrom


Tunabaki na xhaka ceballos na Elneny

Hawa ndio Angalau wana Quality chin ya Arteta

So lazima tuongeze Kiungo ,ni lazima hata Mkude lazima
 
Houssem Aouar to @telefoot_chaine about deal off with Arsenal:


“I felt that I could still bring things to this team & the club, the club that raised me. Quite simply”. [@GFFN] #AFC #Arsenal
 
We must have an Aouar backup. No way we would go to next season without a creative midfielder while loaning 2-3 midfielders tomorrow.
 
Back
Top Bottom