Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nimeaddress ishu yako pia.

Kepa alinunuliwa kwa 72M ila ni kipa anayeongoza kwa kufungwa magoli ambayo hajishughulishi kuruka. De Gea?

Hazard wa Madrid? Kanunuliwa shiling ngapi? Ana assisst tayari?

Chelsea na Werner? Leo beki wa Arsenal Gabriel ana goli la ligi Werner hana.

Madrid ananunua kwa pesa kubwa compensation yake ni balanced salary. Arsenal inashindwa kutumia approach hii?

Imeshindwa kuhakikisha release clause inakua ya bei juu?

Timu hua haifukuzii mtu mmoja. Tumefeli kwa Aouar na bado saa kadhaa dirisha lifungwe, mbadala uko wapi? Ambao ungeletwa fasta once dili la Aouar lingefeli?
 
Japo Ozil anatuzingua, Ila mechi kama hizi tunahitaji huduma yake.

Ubunifu kwenye final third hatuna kwa sasa.
 
Hahahahaha

Ujue bro nnachokukubali kwako nyeupe ni nyeupe sio nyeusi

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Mkuu unajua tumekuwa washabiki wa arsenal for almost 20 years now.

Kipindi hicho mwanzoni mwanzoni hata kama timu inafanya vibaya hutuambii kitu. Bodi ikizengua hutuambii kitu kaka ila sasa uelewa wetu upo mwenye next level sio wa mihemko tena. Sio shabiki wa timu ifungwe eti niwe sina raha wiki nzima nooo
 
Halafu Saka kule anakocheza hana madhara kabisa nibora aje atokee kulia na Willian atokee kushoto
 
Mendy!!! Angalia huyu takataka..mtoe Mendy hapo weka Pepe pale tumepigwa 🤥🤥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…