Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila hio picha yako inanikumbusha ucl final 2006 tupo na barca, enzi hizo mwenyew najiita T.H!
T.H alikuwa balaa naye. kuna penalties alikosa champions league, sikumbuki na timu gani., tukatolewa lakini baadae nilimsamehe. jamaa pamoja na kutukimbia na kutuacha na Adebayor na Bendtner bado anaonekana legend kwetu.
 
Kwenye IG Arsenal imepost short video ya Santi Cazorla akisema "No worries mate" ovee na and over.

Background ya video inabadilika badilika rangi. Inajiweka rangi ya bendera za Ghana na France.

Tujiandae au tukaushe?
 
Kwenye IG Arsenal imepost short video ya Santi Cazorla akisema "No worries mate" ovee na and over.

Background ya video inabadilika badilika rangi. Inajiweka rangi ya bendera za Ghana na France.

Tujiandae au tukaushe?
mbwembwe tuu hamna jipya
 
Kwenye IG Arsenal imepost short video ya Santi Cazorla akisema "No worries mate" ovee na and over.

Background ya video inabadilika badilika rangi. Inajiweka rangi ya bendera za Ghana na France.

Tujiandae au tukaushe?
Kausha tu bro. Sioni ishara za kutosha hapo.
 
IG fans wamechafukwa.

Wamekazana na hashtag ya kroenkeout
Ndo maana nilisema hapo kabla ... timu yenu haipo serious.

Yani mmeshindwa kuongezea hiyo pesa kumpaga Aouar? .. so mmeona bora mbaki hivyo hivyo na kina Granit, Elneny na kina Niles mpambanie league, mpate top 4 mkashindane UEFA.
 
Kwa ligi hii bila midfield imara na yenye kupambana (MUDA UTAONGEA)
Hampogo serious. Yani tu unaweza ukaona namna board yenu inavyowaza. Ndo utajua malengo yenu ni kupata tu faida na si vikombe.

Na hili la Tierney, utaona kitakachotokea.
 
Kuhusu kuwapiga wameonyesha kuwa wanaweza kuwapiga na sasa vijana wanajiamini. Kuhusu usajili, ndiyo Arsenal ni wazembe kihistoria kwenye swala hili ila wanabidi walifanyie kazi. Na siyo lazima mtu alipe bei inayotajwa tu. Kuna thamani timu inaweka kwa mchezaji wake ila pia kuna thamani ambayo mnunuzi anaona. Kama Arsenal wanaona Aouar siyo mchezaji wa 50m, kwa nini walipe 50m? Hata wewe bodada ukikodisha kwa kwenda mahali kwa 1000 hutakubali kulipa 3000. Of course, pia kuna kubargain katika biashara yoyote ile na mara ingine unafanikiwa kupata kwa bei yako na mara ingine hufanikiwi. Kwa sasa kama hili limepiata acha tuendelee kuwachapa na hawa hawa kina Willock na Nketiah
Yani mzee baba, ukapambanie league na position ya kucheza uefa katika league hii ya sasa ukiwa na hao kina willock, elneny, xhaka na maitiland? Serious? Msimu ulopita hamjajifunza enh?
 
Mimi huwa nasema mpaka nimwone mchezaji mpya anapiga danadana pale Colney ndiyo naamini ninachosikia mitandaoni. Hakuna anayejua ukweli maana timu zinajitahidi kuficha siri sana. Huenda wana mpango flani. Pia tumeshazoea siasa zao za miaka nenda rudi sasa kwa nini ujipe presha? Tukisajili, poa. Tusiposajili, kocha ana kazi maana anajua masahabiki wanataka nini na akishindwa kukidhi hatahurumiwa. Ndiyo kawaida ya ushabiki.
Kwani si nlisema humu don't get your hopes high!

Ntasema zaidi siku zijazo
 
Huyu mshenzii kroenke yupo after profit tu,Hajui jinsi gani fans tunaumia na hii timu Kama ingekua possible fans wote wa arsenal all over the world tusingekua tunanunua jersey wala kuingia uwanjani so as timu ipate loss ya kutosha afu huyu mshenzi ajifunze.
 
Watu wanadai eti timu itasajili kutokana na mapato.

Everton ina mapato kuizidi Arsenal?

Leeds ina mapato kuizidi Arsenal?

Wolves ina mapato kuizidi Arsenal?

Mwezi mmoja uliopita jezi ya Arsenal ilishika nafasi ya kwanza kimauzo. Ikiipiku jezi ya liva.

Niliaminishwa Arteta ni lazima asajili kwakua hata mwanzo aligoma kuja kwa kutoahidiwa support katika usajili, alivyokuja nikajua atakua ameahidiwa support aliyoitaka.

Mtoto wa Kroenke alisema amepokea majukumu ya baba yake hivyo atakua anaact in favor of fans. Akahudhuria hata mazoezi ya Arsenal kuongea na wachezaji.

It was hopes all over.

Leo hii eti Arsenal inapeleka 38M na hapo ndiyo add ons zishawekwa wakati wamekwambia upeleke 50M minus add ons. What the fvck is this?

Timu inastruggle halafu ujinga upo on fire.

Game ya leo tunashinda tho
 
Watu wanadai eti timu itasajili kutokana na mapato.

Everton ina mapato kuizidi Arsenal?

Leeds ina mapato kuizidi Arsenal?

Wolves ina mapato kuizidi Arsenal?

Mwezi mmoja uliopita jezi ya Arsenal ilishika nafasi ya kwanza kimauzo. Ikiipiku jezi ya liva.

Niliaminishwa Arteta ni lazima asajili kwakua hata mwanzo aligoma kuja kwa kutoahidiwa support katika usajili, alivyokuja nikajua atakua ameahidiwa support aliyoitaka.

Mtoto wa Kroenke alisema amepokea majukumu ya baba yake hivyo atakua anaact in favor of fans. Akahudhuria hata mazoezi ya Arsenal kuongea na wachezaji.

It was hopes all over.

Leo hii eti Arsenal inapeleka 38M na hapo ndiyo add ons zishawekwa wakati wamekwambia upeleke 50M minus add ons. What the fvck is this?

Timu inastruggle halafu ujinga upo on fire.

Game ya leo tunashinda tho
Hahahaha

Boss hii ndio timu yetu blah blah tu tangu enzi na enzi hamna cha usajili wala cha kitu gani bodi inaleta utopolo tu yani kina willock ndio wakutupa makombe? Hamna usiriazi kwenye hii timu.

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Shida Aulas anataka €60m

Arsenal wanasema mchezaji sio wa thamani hiyo

Msimu uliopita Tumetumia £100m kwa wachezaji wawili ambao sio Kikos cha kwanza kwasasa

Pepe na Saliba
 
Aulas anaamini atamuuza Aulas msimu ujao kwa hiyo bei aliyokomaa ya €60m

Alikomaa hivo kwa Fekiri akaishia kumuuza £18m
 
Shida Aulas anataka €60m

Arsenal wanasema mchezaji sio wa thamani hiyo

Msimu uliopita Tumetumia £100m kwa wachezaji wawili ambao sio Kikos cha kwanza kwasasa

Pepe na Saliba
Watu wanaforce kununua mchezaji hata kama ni overprice, ili baadae mje na hashtag za #tumepigwa,
Kwa hili niko sawa na board, mchezaji anunuliwe kwa rightprice,
Auras anataka kutupiga kwa ref ya usajili wa pepe, hili halikubaliki.
 
Back
Top Bottom