We kaa hivyo hivyo kama pimbi, njoo kesho tuone? Jana bila kubebwa mngekung'utwa tu.Dah! Mbona mbona unaanza kulialia mapema?
Ukikutana na Manure si utatapika kabisa coz kuna Penalty ya Bruno kama kawaida.
Unapoandika "WALIKAMIA" unamaanisha nini?jana ukiacha quality ya liverpool walikamia game, sema ilikuwa almost tusnatch 2-2 draw kama sio Howler miss ya Lacazette
achana na haya mambo bro.Lyon are expecting Arsenal’s new offer for Aouar this evening, according to @mohamedbouhafsi.
Wacha kubadili maneno, mulijitapa mutashinda.hamna sehemu nilisema hii game tunashinda. Ila nilisema naprefer point kutoka katika meetings zetu na hawa jamaa. Arteta alikua wazi tangu day one alisema "tuna misimu 3 kabla ya kua na timu ya kugombea ligi"
Souness akasema "Arsenal haionyeshi kama ni mshindani wa ligi labda short term tournament" kuna jamaa aliandika humu kua msimu huu ligi yetu nikamjibu "Arsenal haina mpango na ubingwa" so kama kuna mtu anadhani eti hii loss ni pigo kwa Arsenal au bodi anajidanganya, labda mashabiki kwakua tunataka kutambiana lakini kocha na kikosi wao wanajifunza.
kuna plastic fan mmoja wa chelsea (hata kumtaja naona uvivu) kamuambia plastic mwenzie kwamba tunakutana na liva Alhamisi halafu mwenzake akajibu "Liva hayupo serious na Carabao ndiyo maana anachezesha kikosi cha pili"
Game na Leicester Arsenal tulianzisha regular starters wa first XI watatu tu. liva akicheza na ile timu ambayo najua mshaisahau jina alinzisha watano akiwemo Van Dijk sisi Gabriel ambaye definitely alihitaji game time alikua benchi. Auba, Ceballos, Guendouz, Ozil, Tierney hata kwenye benchi hawakuwepo.
dzinga
Binti😂😂😂😂😂😂😂Mbona unanifokea binti? Herufi kubwa za kazi gani? Huoni niliandika '.... tukienda suluhu ya bila bila half time...' au kusoma haujui?
Pale Mane hakukusudia ni mkono ulienda wenyewe bana,😄😄 ni kama vile ball to hand, kama angekusudia basi ni sawa na Hand to ballYah sikucheki game ila ile elbow ya Mane ilikuwa ni intensional aisee, alistahili red card. Hizo nyingine sikuziona kwenye highlights.
Hawataki kukubali kuwa walizidiwa😂😂😂Unapoandika "WALIKAMIA" unamaanisha nini?
We chalii ushapuliza mneli umekuja hukuPale Mane hakukusudia ni mkono ulienda wenyewe bana,ni kama vile ball to hand, kama angekusudia basi ni sawa na Hand to ball
Nashindwa kumwelewa huyu jamaa, sasa waluvyoona liva wametumia mbinu ya kukami na wenyewe si wangekami tuHawataki kukubali kuwa walizidiwa😂😂😂
Ambaye hajamuignore huyu member aniambie kasema nini.Wacha kubadili maneno, mulijitapa mutashinda.
Kumbe nyie ni mbuzi tu
Piga mbuzi haoooooo😂😂😂😂
Plastic fans wote 🚮🚮🚮🚮🚮Binti😂😂😂😂😂😂😂
Yani wanatafuta visingizio tu ..unajua msimu huu hawataki kabisa kufungwa😂😂😂Nashindwa kumwelewa huyu jamaa, sasa waluvyoona liva wametumia mbinu ya kukami na wenyewe si wangekami tu
Nyie ni mbuzi tu wacha mupigwe hakuna namna...Ambaye hajamuignore huyu member aniambie kasema nini.
Hahahaha sasa mkuu unataka iweje? Ile red kadi inaweza kuwa halafu lakini pia isiwe halali ..ila kusema jana Mane alistahili red kadi pale ni uwongo kabisa..sidhani kama hata alipewa yellow kadi Achilia mbali iyo red kadi.We chalii ushapuliza mneli umekuja hukumkono unaendaje wenyewe? Hata ile red card yenu juzi si wangesema mguu ulienda wenyewe?
Mbona kufungw kwe2 cc wa2 mapovu yna watokaUnapoandika "WALIKAMIA" unamaanisha nini?
Yaani timu yangu ishinde halafu povu linitoke? Unaumwa weweMbona kufungw kwe2 cc wa2 mapovu yna watoka
Timu yako!! unaijua timu weweeYaani timu yangu ishinde halafu povu linitoke? Unaumwa wewe