Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Nasikia Lyon wamekataa second deal/bid Kwa Aour nashangaa kwa hili maana tulishajua kwamba Arsenal wameshakubalina personal terms na mchezaji sasa inakuaje Lyon wamekataa? Personal terms means club washakubali deal naona wanaturudisha nyuma tu hawa.


