zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Raisi wa ol mhuni sanaaaa
Kwani umelifahamu vipi neno underdogs bro??Najaribu kukuelewa lakini tuna tofautiana kidogo, mechi hii sisi sio underdog, Yes I know Liverpool will try to be aggressive going forward, but remember, this is a different arsenal. We have a formidable defense and a strong attacking side compared to the last combination we used and came up with a 2-1 win when we last met. Klopp bado anapata sleepless night when it comes to meeting arsenal
Kwa upande wa beki pamoja na Luiz kutokuwa na sharpness kwenye last game ila bado naona kama tunamhitaji sana kwa uzoefu wake kukabiliana na ile front three ya Liverpool.Kwani umelifahamu vipi neno underdogs bro??
In this game we are going to Anfield as underdogs and that is not always a bad thing. .
Nisingependa kumuona Luiz akianza kutokana na nilivyomuona juzi against Leicester. Hakuwa sharp 100% kwa hiyo Bora twende na Holding.
Tierney kama yuko fit itakuwa big plus kwetu na kama hayupo fit basi hali itakuwa sio nzuri sana.
Tusisahau last time out pale Anfield kwenye EPL ni yeye alikuwa shida. Two goals,remember?? Penalt na ile aliyopitwa na SalahLabda 'underdogs' wengi wanaichukulia kama 'dharau' au 'kuchukuliwa poa'.
Kimsingi underdog/favourite ni game mentality. Katika mechi yoyote ile kuna timu moja inahitaji kudominate mpinzani wake ili ishinde (huyu ni favourite) na timu nyingine inahitaji kumkabili/kumdhibiti mpinzani wake ili ishinde (huyu ni underdog).
Kwa hiyo kama ulivyosema sio kitu kibaya kuwa underdog ila ni kutambua opponent unayekabiliana naye na namna ya kumdhibiti.
Hata Arteta anakiri kuwa Liver na City wanatuzidi in terms of squad quality lakini hiyo haituzuii kuwafunga kama ambavyo tumesha thibitisha siku kadhaa nyuma.
Kwa upande wa beki pamoja na Luiz kutokuwa na sharpness kwenye last game ila bado naona kama tunamhitaji sana kwa uzoefu wake kukabiliana na ile front three ya Liverpool.
Ugumu kiaje mkuu?Kucheza na man u ni ngumu sana
Uwe unaangalia mechi.
Umeangalia game?Ugumu kiaje mkuu?
HapanaUmeangalia game?
Cheki post ya juu hapo nimemjibu arvHapana
Hao jamaa wanasomeka kirahis sana , labda kama watabadilika siku za mbeleni ila watapigika sana wakikutana na makocha wanaojua kuwasoma vzr ,Kucheza na man u ni ngumu sana
luiz wa arteta au unai?Tusisahau last time out pale Anfield kwenye EPL ni yeye alikuwa shida. Two goals,remember?? Penalt na ile aliyopitwa na Salah