Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aubameyang: “Of course I am in favor of bringing Aouar. I will not hide it. He would add quality. Let’s see what happens” [@canalplus]
 
Aubameyang to Canal+

“There was some interest also in England. Frank Lampard called me a few times but there’s no chance I would play for them. The fans didn’t let that man on the train in Paris and since then I think less of that club”
 
Auba anasema Lampard alikua anampigia sana aende Chelsea ila hawezi chezea timu ndogo ndogo kama Chelsea
IMG-20200927-WA0040.jpg
 
Aubameyang asked about Aouar and says of course we are in favour of him coming (laughs) even if he is from Lyon

 
Granit Xhaka on Instagram: “Just wanted to say thanks for all the birthday messages - hoping for my main present tomorrow... 3 points! #GX34” [IG: granitxhaka] #afc
IMG_20200927_215922.jpg
 
Pierre-Emerick Aubameyang:

"Kulikuwa ofa kadhaa, haswa kutoka Barcelona.

Kipaumbele changu kilikuwa kubaki hasa kwa sababu mbili - ya kwanza ni, Mikel Arteta, kwa sababu tuliongea kiasi cha kutosha wakati wa 'lockdown' na alinihakikishia, haswa kuhusihana na project. "
IMG_20200927_221306.jpg
 
Aulas kasema anahitaji €40m-€50m kwa Aouar

Ofa ya Mwisho iliyopelekwa na Arsenal ilikuwa €36m

So week hii Arsenal anapeleka ofa ya mwisho

€40m+10add ons ,Nadhan kufikia ijumaa deal litakuwa mwishoni
 
Aubameyang juu ya Aouar:

"Ni mchezaji mzuri sana. Natumai tutakuwa na bahati ya kuwa na wachezaji wa aina hii kwenye klabu, Nina hakika anaweza kutuletea mengi. Natumai atakuja ingawa yeye ni mchezaji bado wa Lyon"
IMG_20200923_194853.jpg
 
Naona kikosi kina injured players wengi sana, juzi kwenye pre-match conference alisema ana wachezaji 13 tu walio fit.
Katika kikosi chake cha jana hakukua na sura mpya ambayo huingia akikosa namna wote ni starting XI. Hata aliowasajili ni starting XI walipotoka.
 
Katika kikosi chake cha jana hakukua na sura mpya ambayo huingia akikosa namna wote ni starting XI. Hata aliowasajili ni starting XI walipotoka.
Hakuna sura mpya kwenye starting XI yake? Yes, inawezekana hata walikotoka walikuwa kwenye 1st eleven lakini kwa City wakaja kama backup players.

Aguero, Jesus, Bernado Silva, Gundogan, Laporte, John Stones, Zichenko hawa wote ni regular first team players wa Pep ambao ukiacha Zichenko na Laporte ambao walikaa bench ili kutimiza idadi kwa kuwa hawako fit waliobakia wote hao hata bench hawakuwepo.

Kuthibitisha hilo ndio maana ameshift kutoka 4-3-3 tangu game ya Lyon aliyofungwa hakuicheza na jana kacheza 4-2-3-1 yaani kwa maneno mengine analazimika kushift formation ili aweze kutumia wachezaji alionao kwa sasa.

Tazama hata sub kafanya 2 tu pamoja na game kuwa ngumu kwake kwa kuwa hakuwa na options kwenye bench.

Chini hapa nimekuwekea kikosi cha kwanza, bench na subs alizofanya kwa jana.

Screenshot_20200928-100850.jpeg
Screenshot_20200928-100904.jpeg
Screenshot_20200928-101010.jpeg
 
Hakuna sura mpya kwenye starting XI yake? Yes, inawezekana hata walikotoka walikuwa kwenye 1st eleven lakini kwa City wakaja kama backup players.

Aguero, Jesus, Bernado Silva, Gundogan, Laporte, John Stones, Zichenko hawa wote ni regular first team players wa Pep ambao ukiacha Zichenko na Laporte ambao walikaa bench ili kutimiza idadi kwa kuwa hawako fit waliobakia wote hao hata bench hawakuwepo.

Kuthibitisha hilo ndio maana ameshift kutoka 4-3-3 tangu game ya Lyon aliyofungwa hakuicheza na jana kacheza 4-2-3-1 yaani kwa maneno mengine analazimika kushift formation ili aweze kutumia wachezaji alionao kwa sasa.

Tazama hata sub kafanya 2 tu pamoja na game kuwa ngumu kwake kwa kuwa hakuwa na options kwenye bench.

Chini hapa nimekuwekea kikosi cha kwanza, bench na subs alizofanya kwa jana.

View attachment 1583259View attachment 1583260View attachment 1583261
Boss ukiangalia statistics za mechi yao ya jana unaweza kusema game iliwaelemea? 4 2 3 1 ni formation solid katika kukaba na kushambulia.

Loss 2 kwa Wolves walikua na majeruhi?

Loss yao ucl kwa Lyon walikua na majeruhi?

Wote walikuwepo isipokua Arteta. Kaondoka na Pep anayumba technically, tangu Arteta aondoke City imetembezewa vipigo mara nane kabla ya mechi ya jana. Huku Arteta akiwa na kikosi shit kapoteza games 6 tu.
 
Kuelemewa na game ni pamoja na kushindwa kutekeleza plan zako na kushinda mechi. Kumiliki mpira na kupiga pasi nyingi pekee haviwezi kukupa point tatu. Game plan ya Leicester ilikuwa kuvuruga mashambulizi ya City na kisha kupiga counter attacks na 100% walifanikiwa. Unafungwaje goli zote zile then useme hukuzidiwa kimchezo?

Kuwa na solid formation ni jambo moja na kuwa na right players kwenye same formation ni kitu kingine kabisa. Wote tunajua preferred formation ya Pep ni 4-3-3 hata mwenyewe anakiri amelazimika kubadili formation ili kuendana na mapungufu aliyonayo.

Jana Wolves kacheza 3-4-3 hii ambayo Arteta anaangusha nayo miamba pale Epl na kafa 4 dhidi ya 5-4-1 ya Westham ambaye sisi tulimfunga na hiyo hiyo formation. Bado nasisitiza kama huna right players, formation nzuri haitakusaidia chochote.


Boss ukiangalia statistics za mechi yao ya jana unaweza kusema game iliwaelemea? 4 2 3 1 ni formation solid katika kukaba na kushambulia.

Yes, the situation was the same, ila inapokuja kwa timu kama Leicester ambayo record zake hata za last season zinajieleza, madhara huwa ni tofauti na timu kama Wolves
2 kwa Wolves walikua na majeruhi?

Again Yes, baadhi walikuwa injury, hakuwa na central defenders ndio maana akampanga Fernandinho kwenye back 3 yake na akajaza watu watano kwenye kiungo kusaidia defence na akadeploy formation ambayo alikiri hakuwahi kuitumia kwa players wake hapo kabla i.e 3-1-4-2
yao ucl kwa Lyon walikua na majeruhi?

Sikatai kwamba Arteta alikuwa na msaada mkubwa kwa Pep lakini Pep was there before Arteta (Barca & Bayern), kusema kapoteana sababu Arteta kaondoka nadhani si sahihi
Wote walikuwepo isipokua Arteta. Kaondoka na Pep anayumba technically, tangu Arteta aondoke City imetembezewa vipigo mara nane kabla ya mechi ya jana. Huku Arteta akiwa na kikosi shit kapoteza games 6 tu.

Screenshot_20200928-111259.jpeg
 
Kuelemewa na game ni pamoja na kushindwa kutekeleza plan zako na kushinda mechi. Kumiliki mpira na kupiga pasi nyingi pekee haviwezi kukupa point tatu. Game plan ya Leicester ilikuwa kuvuruga mashambulizi ya City na kisha kupiga counter attacks na 100% walifanikiwa. Unafungwaje goli zote zile then useme hukuzidiwa kimchezo?

View attachment 1583302
What do you mean unafungwaje goli zote zile?

3 penalties... Kuna kocha anaiambia timu yake ikatafute penalty?

Unasema Leicester walitegemea counter umeona magoli mangapi ya counter?

Unasema Leicester walikua wanaharibu build up ya city. Lakini aliyecheza faulo nyingi ni city na hii ni kawaida kwa timu inayotaka imiliki mpira muda wote.

Kama yeye alikua anatumia formation ambayo hajawahi kutumia, huyu mtu yupo sawa kimbinu? Tena steji ya robo fainali?

Alikua Bayern na Barcelona.

Bayern giant wa Bundes Liga.

Barcelona giant wa La Liga.

Unajua hiyo ndiyo Bayern ambayo hata mashabiki walifikia hatua hawaendi uwanjani wakijua lazima washinde? Ila ucl alikua akifanywa nini na hiyo Bayern?

Barcelona aliyokua nayo yeye ilikua na talent hakuna mfano with prime Messi at his service. He won ucl.

My point ni kwamba hizo timu mbili alizopita zipo kwenye ligi ambayo unajua matokeo kabla mechi haijaanza.

He is not that brilliant. Ni klopp akibanwa upande huu hana pa kufurukutia analaumu injuries.

3 4 3 hua inakua beaten kwa counter au tiki taka na 5 4 1 ni formation ambayo inaoffer extra defense huku lone striker akipelekewa mipira apimane ubavu na pumzi na mabeki. So kocha wa Westham technically ni superior kumzidi kocha wa Wolves.
 
Back
Top Bottom