gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,133
Sio kwamba hajui, anajua vema sana utakumbuka niliongelea hii 5-4-1 na 4-5-1 formation siku ile tuliwafunga Westham. Nikasema hizi formation ukikutana na timu yenye viungo wakali kama Wolves anakuua na ndicho Klopp amekirudia hapaThe way klopp is talking, it's like he has finally learnt our style and fully prepared for us. I think he has a plan for us![]()
Klopp on Arsenal, "It is the defensive structure, 100%. They defend properly. All the players are involved, they defend probably in a 5-4-1 which when you have quality players is a pretty tricky situation for the other team."
Shida kubwa huu mfumo unailetea timu pinzani ni kuwa, wewe unatembea na draw mkononi akikosea kafa yeye.
Ili ushinde against this formation unatakiwa kuwa perfect kwenye formation yako almost 100%. Kibaya zaidi huu mfumo unatoa multiple chances za correction defensively na kuacha high risk za errors kwa mpinzani wako. Ndio maana utaona kama Arsenal anapaki basi vile ila yuko very confortable wakati opponent ana mpira, yaani mnajilinda bila stress.
Je Liverpool wanaweza kuwa na 100% perfection against Auba, Willian, Lacca/Pepe pale mbele? For me, simply no!! I still see some holes in their defence.


