Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yaan nimecheka kinomaHata Runa anakuja na mikwara na majigambo utafikiri ameshawahi kucheza pale Emirates akapata clean sheet 10 mfululizo![]()
![]()
Yaan nimecheka kinomaHata Runa anakuja na mikwara na majigambo utafikiri ameshawahi kucheza pale Emirates akapata clean sheet 10 mfululizo![]()
![]()
Mechi na Liver ni ngumu kwa timu zote mbili. Natarajia kama kawaida tutacheza diamond 3-4-3 ili kuwakabili kwenye kiungo.
Kama Niles atakuwepo, sitashangaa akacheza left full back ili kumkabili Mo Salah akitokea kulia (inverted right wing).
Ujio wa Thiago unawaongezea Liver creativity kwenye midfield ambayo wanaikosa kwa Hendo, hivyo akianza patakuwa na mshike mshike tusipo mdhibiti vema.
Ukicheki mechi ya Chelsea jana ameweka record ya kupiga completed passes 72 huku akiwa amecheza dk 45 tu, ni pasi nyingi kuliko zilizopigwa na mchezaji yoyote wa Chelsea aliyecheza dk 90. Na ni pasi nyingi kuwahi kupigwa ndani ya dk 45 tangu Opta Stats ilipoanza kuchukua records za passing msimu wa 2003/2004.
Liverpool wana hitaji sana kushinda ili kuweka sawa utetezi wao wa ubingwa lakini haitakuwa rahisi mbele ya Arsenal ya Arteta ambayo imemtengenezea Liver na wengine 'fear factor'.
Kutokuwa na washabiki pia kunarahisisha maisha ya Arsenal pale Anfield. For me, Anfield with supporters is quite different from it without.
Kwa Asernal it is important to win but its more important not to lose, kwa hiyo my prediction is draw.
Chama limeshakuwa kubwa hiliHata Runa anakuja na mikwara na majigambo utafikiri ameshawahi kucheza pale Emirates akapata clean sheet 10 mfululizo![]()
![]()


King ni ntu na nusu na Mosdef ,n.k Liverpool fans mpira wanaujua in and outgspain namfananisha na jamaa mmoja kwenye jukwaa la liverpool anaitwa king ngwamba nadhan hongera mkuu
Ila cck kumpa partey vp??Toreira anakaribia kujiunga Atletico
Eti mgunduziKama tungemtaka huyo mgunduzi tusingemtoa kwa mkopo Conor Callagher kwenda West Brom kwa maana uyo dogo ni mara 3 ya mgunduzi.

akitua ndio utamheshimu..Namheshimu huyo jamaa nilitamani awe arsenal but now naona gspain anapita Njia hizoKing ni ntu na nusu na Mosdef ,n.k Liverpool fans mpira wanaujua in and out
Umenikumbusha mwaka juzi nilikuwa Arusha kuna mwamba anajiita mr liverpool bana yule jamaa ukimsikiliza anaongelea mpira uatatamani asimalize yaan fans wa liver hawana ushabiki wa timu Bali wanajua kufatilia mpira na hapa ndo namwona gspainKing ni ntu na nusu na Mosdef ,n.k Liverpool fans mpira wanaujua in and out
Namheshimu huyo jamaa nilitamani awe arsenal but now naona gspain anapita Njia hizo
King ni ntu na nusu na Mosdef ,n.k Liverpool fans mpira wanaujua in and out
Huyu dogo basi tu hatuwezi kusikitika sababu deal lake ni win-win kwa pande zote, katupa hela nzuri naye kapata timu ya kucheza 1st eleven.Martinez kacheza penati huko
Huu uzi wetu wa makipa nadhani ni mkali pia league nzima, umetulia sana ni very rare kukuta jezi ya kipa inauzika sana ila kwa huu imekuwa tofauti kidogo.Pictures of Arsenal new signing Alex Runarsson View attachment 1576545View attachment 1576547View attachment 1576548View attachment 1576549
Yah inauzika sana hata hapa bongoHuu uzi wetu wa makipa nadhani ni mkali pia league nzima, umetulia sana ni very rare kukuta jezi ya kipa inauzika sana ila kwa huu imekuwa tofauti kidogo.
Ki ukweli licha ya kuwapiga biti hata wao wanatambua kuwa Arsenal ya Arteta ni 'Kisanga', huwezi kwenda na matokeo uwanjani.
Kwa sasa timu inayo kutana na Arsenal inatakiwa kuwa na discipline kwa dk zote 90 kwa sababu hatufungwi kizembe kwa hiyo muda wote tupo mchezoni ama game iko tie au tunaongoza.
Kama ulicheki game ya Westham watu wanasema tulibanwa, ila ukweli ni kuwa kwa Epl kuna timu korofi kama Westham, Wolves, Everton, Crystal Palace na Leicester hawa hawakawii 'kumwaga wali'.
Ukikutana nao hawa perfomance sio muhimu sana muhimu ni kupata point 3. Kwa kikosi chetu juzi na game ilivyokuwa Arsenal walionesha ukomavu sana kuondoka na point 3 dhidi ya Westham.
Walud2 na wao hawana koch mzur km cityHuyu dogo basi tu hatuwezi kusikitika sababu deal lake ni win-win kwa pande zote, katupa hela nzuri naye kapata timu ya kucheza 1st eleven.
Sheffield Utd watajilaumu sana wakipoteza hii mechi, wamekosa penalty huku wakiwa nusu. Ila so far bado wameimiliki game vizuri sana pamoja na kuwa pungufu.
Hawa Villa wakiendelea hivi watarudi Championship msimu ujao.
Binafsi I choose Elnenny any Day mbele ya CeballosKwenye game ya PES PS4 timu ya Liver default settings kwenye attack inatumia Attacking fullbacks na defense wanafanya systema inaitwa Gegenpress.
Hii gegenpress mchezaji wa timu pinzani akiwa na mpira anajikuta kazungukwa na watu 3 wote wameufuata mpira.
Hii defensive technic nimeona ilivyoisumbua Chelsea na ilivyotusumbua Arsenal.
Wanapoteza mpira, wanaupata fasta kisha wanaweza kukaa nao kwa muda mrefu.
Kwenye gemu ili kushinda timu yenye mfumo huo hua inabidi ucheze tikitaka au counter huku viungo wako wakiwa strong ama la wawe wengi kati so naona formation yetu ikitubeba mbele ya Liva swali ni "Tutaweka watu sahihi?"
Haswa katikati na upande wa kulia. Bado karata yangu nampa Elneny, pale katikati bado Elneny ana maisha yanamsubiri. Kwangu mimi Xhaka na Elneny ni pair nzuri dhidi ya Liva.
Na huku kulia akae Willian. Ingawa Willian anaweza shine mechi hii inayofuata akabanwa haswa lakini ni bora yeye kuliko Pepe, anajua kucut in na kuscore kumzidi Pepe.
Let's hope Milner atakuwepo ili acheze rafu kama kawaida. With enough frustrations anaweza hata kupata red.
Hizo ni akili za game.....