36PL games to go..
Next opponent ni liverpool afu away,Mara ya mwisho kwenye league pale anfield Liverpool alifungwa mwaka 2017 Kama kumbukumbu zangu zitakua sawa,
Kiukweli game ni ngumu pande zote mbili,ila naona siku hizi Liverpool makali yake yanaanza kupungua yaani sio Liverpool ile ya kufanya pressing muda wote ya msimu uliopita,
Hata kwenye game ya leo jirani yetu kikubwa 'kilichom cost' ni ile red card na upambavu wa joginho kupiga penalty Kama anaruka mtaro,
Advantage yetu sasaiv ni kua tuna morali na at least tactics za mwalimu zipo vyema(sio za Yule tapeli unai maana kuna mechi vs Liverpool,Auba aligusa mpira Mara 14 tu),
Ni matumaini yangu Kama sajili Muhimu zikifanyika katika huu msimu Kama vile kuwaleta partey na aouar,Basi haters wote wajipange
My prediction
Liverpool 1:2 Arsenal