Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukimpata Partey na Aouar itakuwa poa sana,Timu ina mapungufu kidogo sn, hasa eneo la kiungo cha juu.
 
Mlioangalia game nasoma huku tumecheza ovyo japo tumeshinda, nini shida kiungo?
 
Mlioangalia game nasoma huku tumecheza ovyo japo tumeshinda, nini shida kiungo?
Kukosekana kwa Kieran Tierny ,na Niles niliona mapengo yao

Saka alicheza vzr ,ila alicheza sana kama LCM , Sio Kama LWB kama ilivyotakiwa ili amsaidie sana Auba kupata space

Kolasinac alikuwa ovyo

Hivo hatukucheza vzr ukizingatia westham walihitaji Point.
IMG_20200920_085133_111.JPG
IMG_20200920_012645.jpg
 
Partey katuachia uwanja wa comment kuanzia mtu wa kwanza mpaka wa mwisho ni welcome to arsenal


Tukiongozwa na super agent wetu patorankingfire

IMG_20200920_015429.jpg
IMG_20200920_015432.jpg
 
Mmeshinda sawa lakini kwawale walioangalia mechi hiyo ukweli wanaujua sema tu mwanaume huwezi ukayakubali mapungufu yako kirahisi.

In football winner is one who scores more goal(s)than the opponent, uache kuwa unaandika ujinga
 
Kukosekana kwa Kieran Tierny ,na Niles niliona mapengo yao

Saka alicheza vzr ,ila alicheza sana kama LCM , Sio Kama LWB kama ilivyotakiwa ili amsaidie sana Auba kupata space

Kolasinac alikuwa ovyo

Hivo hatukucheza vzr ukizingatia westham walihitaji Point. View attachment 1575032View attachment 1575033

Jibu unalo,kolasinac alikuwa hovyo ndio maana Saka alikuwa sana nyuma
 
Back
Top Bottom