Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal still want Atletico Madrid midfielder Thomas Partey who is keen to move to the Emirates this summer even though his club want in excess of £50m. [@johncrossmirror]

Arsenal are still in the market and Mikel Arteta is expecting more comings and goings in the transfer window as they want to raise cash to push for two more midfielders. [@MirrorFootball]

Arsenal also want Lyon playmaker Houssem Aouar but the French club want more than £40m and Arsenal will have to sell now before they can buy to raise funds but their business is not over. [@johncrossmirror]
IMG_20200806_183552.jpg
 
Aubameyang:

"This is my home. I feel so good here. I signed da ting because I want to become an Arsenal legend and maybe leave a legacy."
IMG_20200915_210138.jpg
 
Kama kumbukumbu zangu zitakua vzr 2015/2016 tulikosa ubingwa kwa kukosa depth of squad..

Cazorla na Francis Ququelin walikuwa wameelewana kinoma ule msimu,Ila baada ya uncle cazorla kuumia timu nzima ikawa flop,

Kama huu msimu tukifanikiwa kua na depth ya kikosiii,tutafanya rotation ya kutosha ili ku avoid fatigue kwa wachezaji,

Nitafarijika sana Kama auor na partey transfer zao zikiwa completed soon..

This is our time

#COYG
 
Kama kumbukumbu zangu zitakua vzr 2015/2016 tulikosa ubingwa kwa kukosa depth of squad..

Cazorla na Francis Ququelin walikuwa wameelewana kinoma ule msimu,Ila baada ya uncle cazorla kuumia timu nzima ikawa flop,

Kama huu msimu tukifanikiwa kua na depth ya kikosiii,tutafanya rotation ya kutosha ili ku avoid fatigue kwa wachezaji,

Nitafarijika sana Kama auor na partey transfer zao zikiwa completed soon..

This is our time

#COYG
Kwa Arteta wala usihofu , amekaa chini ya Pep , anajua Kila nafas unahitaji hadi watu watatu Quality ,

Anaondoka Toreira , tunabaki na Xhaka ,ceballos ,pia Elneny anabakizwa , na kuongezwa viungo wengine wenye Quality

Kama atakuja mmoja wapo kati ya Aouar au partey sio mbaya .

Tayari kule mbele hakuna matatizo, Akitoka pepe anaingia Willian. , pia kwa laca bado Auba anacheza ,kule LW ,willian anacheza pia

Hapo Hata Saka anatakiwa apiganie namba , sijamtaja Nelson
 
Kama kumbukumbu zangu zitakua vzr 2015/2016 tulikosa ubingwa kwa kukosa depth of squad..

Cazorla na Francis Ququelin walikuwa wameelewana kinoma ule msimu,Ila baada ya uncle cazorla kuumia timu nzima ikawa flop,

Kama huu msimu tukifanikiwa kua na depth ya kikosiii,tutafanya rotation ya kutosha ili ku avoid fatigue kwa wachezaji,

Nitafarijika sana Kama auor na partey transfer zao zikiwa completed soon..

This is our time

#COYG
Arsenal wangetupa hawa watu this window asee ningevimba sana kwny vibanda umiza.
 
Kwa Arteta wala usihofu , amekaa chini ya Pep , anajua Kila nafas unahitaji hadi watu watatu Quality ,

Anaondoka Toreira , tunabaki na Xhaka ,ceballos ,pia Elneny anabakizwa , na kuongezwa viungo wengine wenye Quality

Kama atakuja mmoja wapo kati ya Aouar au partey sio mbaya .

Tayari kule mbele hakuna matatizo, Akitoka pepe anaingia Willian. , pia kwa laca bado Auba anacheza ,kule LW ,willian anacheza pia

Hapo Hata Saka anatakiwa apiganie namba , sijamtaja Nelson
Haya maisha haya jamani,yule tapeli UNAI alitufanya tumchukie XHAKA wa watu.
 
Kwa Arteta wala usihofu , amekaa chini ya Pep , anajua Kila nafas unahitaji hadi watu watatu Quality ,

Anaondoka Toreira , tunabaki na Xhaka ,ceballos ,pia Elneny anabakizwa , na kuongezwa viungo wengine wenye Quality

Kama atakuja mmoja wapo kati ya Aouar au partey sio mbaya .

Tayari kule mbele hakuna matatizo, Akitoka pepe anaingia Willian. , pia kwa laca bado Auba anacheza ,kule LW ,willian anacheza pia

Hapo Hata Saka anatakiwa apiganie namba , sijamtaja Nelson

Kuna mtu wa timu pinzani nadhani alisema mwaka huu makombe mawili ya Arsenal ni FA Cup na signature ya Auba. Naona tumefanikiwa hapo. Sasa kikubwa ni matokeo uwanjani na uoneshaji wa bidii na uboreshaji wa wachezaji watakao baki nasi. Kama wakiondoka baadhi na wakija wengine imara zaidi, sawa. Ikishindikana sawa ila hapo najua kocha huyu ana uwezo wa kufanya vizuri zaidi na kikosi alicho nacho kuliko yule alieyondoka. Akiweza kuongegeza kiungo hata mmoja (mfano Partey au Aouar) naona atafanya vizuri zaidi na natumaini tutakuwa tukipambania Nne Bora au hata zaidi ya hapo.
 
Pia nimesikia Lacazette anataka kuongeza mkataba wake. Naona huyu jamaa msimu huu atakuwa mtu hatari sana na atasababisha madhara kwa wapinzani ingawa naona kama watu hawajagundua hili bado.
Pia Willian, Lacazette , Auba na hata Ozil ambao ni wakongwe watawaachia urithi mzuri tu akina Martinelli, Smith-Rowe na Nelson na hata Pepe kwenye ushambuliaji. Nadhani baada ya miaka 2 Martinelli atakuwa moto wa kuotea mbali, so biashara ya kutafuta striker mpya baada ya Auba na Laca itakuwa siyo ngumu sana so huenda tusiwe na shida sana kutafuta wachezaji bora maana tuna kocha wa kuwaboresha kina Pepe, Nelson na Martinelli kama alivyowafanyia akina Sterling tunae.

Kila la kheri Gunners.
 
Kwa Arteta wala usihofu , amekaa chini ya Pep , anajua Kila nafas unahitaji hadi watu watatu Quality ,

Anaondoka Toreira , tunabaki na Xhaka ,ceballos ,pia Elneny anabakizwa , na kuongezwa viungo wengine wenye Quality

Kama atakuja mmoja wapo kati ya Aouar au partey sio mbaya .

Tayari kule mbele hakuna matatizo, Akitoka pepe anaingia Willian. , pia kwa laca bado Auba anacheza ,kule LW ,willian anacheza pia

Hapo Hata Saka anatakiwa apiganie namba , sijamtaja Nelson

Aisee Aaron Arsenal unamsahauje Gabriel Martinelli hapo mbele?
dah maisha yanaenda haraka sana, ghafla tumekuwa na 'vifaa' hadi dogo tunamsahau.
 
Gunners eye double transfer swoop following Aubameyang extension news

Arsenal will aim to complete a £85million double transfer swoop for Lyon’s Houssem Aouar and Thomas Partey of Atletico Madrid before the end of the transfer window next month.

The Gunners have been heavily linked with both players in recent months, and according to a report by the Daily Express, Mikel Arteta is keen to add more new faces to his squad before the October 5 deadline.
 
Emiliano Martínez:

"Siku chache toka kuumia kwa Leno nilitumiwa meseji nyingi zikiwa zinasema:Emi tunakuamini wewe ndiyo tegemeo letu liliobaki kikosini.

Mara baada ya kupokea jumbe hizo kutoka kwa uongozi wa klabu yangu nilihisi furaha kwa kutumaini kuwa ni muda wangu sasa wa kuonyesha kipaji ambacho ninacho kwa timu yangu.

Nilicheza kwa kujitoa kwa sababu niljuwa nitapata nafasi na kuaminika lakini nadhani haikuwa bahati kwangu.

Napenda kuwashukuru kwa nafasi na muda niliopata Klabuni hapa kwa kipindi chote cha miaka 11 nilichodumu nanyi".
IMG_20200913_175333.jpg
IMG_20200916_133559.jpg
 
Back
Top Bottom