Elneny ataiziba. Nina imani hiyoYan arsenal waki kamilish usajir wa partey daaa itakuwa vzur zaid ya sana bado nafac hiy2 haija zibwa
Elneny ataiziba. Nina imani hiyoYan arsenal waki kamilish usajir wa partey daaa itakuwa vzur zaid ya sana bado nafac hiy2 haija zibwa
Arteta alikutana nao nadhan mech ya kwanza au ya pili FA CUP walitusumbua ,walipiga mpira mwingi sanaTukikutana na Leeds tujipange. Wako vizuri.
Liva imeruhusu magoli 3 tayari. Na ni mapema tu ligi haijafika mbali na kikosi hakijachoka.
Wakikutana na Chelsea itakuaje?
Tukikutana na Leeds itakuaje?
Tumekutana nao FA cup , tukawapiga 2-0Leeds ni team hatari sana mjipange
Amesahau au hakuangalia ,ni hawa hawa kina Philips , Bamford ,Sisi mechi 2 za mwisho na Liverpool je wametufunga????
But you need to agree kuwa tulikutana na hawa Leeds January FA wakatuchezea mpira 1st half ila second half Jasusi Arteta akawasoma na tukawatoa na wachezaji ni hawa wanaocheza leo yaani hawa hawa
Mm nawez kusem liver ndo wap vbay 7babu.Wako vizuri. Au pengine Liva wapo vibaya.
Kumbe target nikumaliza top4 siyo kuchukua ubigwa!
Hpna kunyanyua ndoo kk cc ndo 2me anza hvyThat's a minimum target
Tusiwahofie Leeds, nyuma wazembe sana labda wajirekebishe mapema unless wanapigwa 3-0 km FulhamNimeangalia vizuri mpira wa Liverpool v Leeds..
Kiukweli siwezi kumsifia Leeds kisa kapata goli 3 kwa Liva.
Kwa upande wangu naona sasa Liva imeanza kuwa mdebwedo. VVD amekuwa wakala wa assist siku hizi, TAA leo hakuwa vizuri yani anapinduliwa kama chapati.
Leeds nimewaona wanamapungufu mengi sana ingawa wamepata hizo goli 3.. Kupata goli hizo haitoi kauli ya moja kwa moja kama watasumbua.
Kwa upande wangu nawaona Fulham wakionyesha upinzani zaidi siku za mbeleni kwa kuzingatia mpira wao wa leo..
Anyways, nisiongee sana.. Nausubiri kwa hamu mtanange wao kati ya Leed v Fulham wiki ijayo!
Ila ni mapema kusema Leeds watakuja kuwasumbua wakubwa kisa matokeo ya leo. Bado sana!
Pepe Anatakiwa Afanye Hivi Angalau Kil Baada Ya Mechi Mbili.Anatuangusha.
ulitaka aache jamaa amvunje? mnamuonea sana Nketiah, Ceballos kakosea sana kunyanyua Mguu dogo kachukia ila Fans wote wako against himHuyu dogo akianza mambo ya Samir Nasri ya kukwaruzana na watu wazima ataishia kama Nasri au Wilsehre.
Kwasasa hawana time nae, Japo walishamfanyia scouting ,Kipind Arteta akiwa cityNasikia City wameanza chokochoko kwa Houssem aouar, wakimpata huyu tumekwisha na ubingwa mapema tu wanachukua![]()
Nyie si wabaili.Nasikia City wameanza chokochoko kwa Houssem aouar, wakimpata huyu tumekwisha na ubingwa mapema tu wanachukua![]()