Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Ndio mkome khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee lakini wewe si huna timu chacha mamabos ya choka oops soka yanakuwashia nini?
ANY EPL team is assumed to have a chance of more than 99% to beat a championship team, sasa sielewi salamu za pongezi ndeeeeefu utadhani mmechukua UCL chanzo chake ni nini!
Mkuu usijali ndio soka hiyo. Tunafahamu timu yako ni ... .... ndio sababu hutaki kuisema kwa sababu unaogopa siku mkipigwa magoli huna pa kukimbilia, si unawaona Chelsick Ooops ndio timu yako chijui wameingia mitini khe khe kheeeeeeeeeeeee
BTW si umeona pics hapa .... ....https://www.jamiiforums.com/sports-an...ml#post1517250 yaani baada ya kuangalia soka unaangalia vile vile ufundi wa wapiga picha ziwahi hapo juu maana ukingoja kesho utakuwa umechelewa.
khe khe kheeeeeeeeeeeeee
???????????
Vp umeonja kangara?
Dah, basi leo hatunywi maji!
ANY EPL team is assumed to have a chance of more than 99% to beat a championship team, sasa sielewi salamu za pongezi ndeeeeefu utadhani mmechukua UCL chanzo chake ni nini!
♫
hasira za nini wee bwana
hasira za nini wee bwana
wataka kuniua bure baba
wataka kuniua bure baba
wewe una wako nyumbani
nami nina wangu nyumbani
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe
chuki ya nini kati yangu
mimi na wewe ♪.
...kibabu cha AC Milan hiki, 'kishongoooooooo!'..ha ha ha,...
Rossoneri mnaishabikia Chelski sababu ya Acheni Lote???
AmenSzczesny, Sagna, Djourou, Koscielny, Clichy, Song, Wilshere, Walcott, Fabregas, Nasri, van Persie
With this squad we'll Kill this Wigan No matter what...Mungu ijaalia Arsenal...Mungu Ijaalie FURAHA YANGU.......
Ingekua BONGO ningesema HUYU KIPA ana KIZIZI..............Anaokoa Kinyama...............Kudadadeki...sijui kala nini tu huyu........