Kwa sasa kama Arsenal wanategemea kuuza some players ili kupata pesa na nafasi ya huyu jamaa pale kwa sasa ni ngumu sana!
Maana mpaka sasa sajili zote zimegoma! hajatoka yeyote, nimemuona na Torreira akijumuika na wenzake kuonyesha hakuna progress juu ya uwezekano wa kuondoka..
So hapa tutegemee rumors kila siku.
Ninachojaribu kusema ni kwamba sio vibaya kuhusishwa kama hivyo, ila hata isipotokea transfer yeyote mpaka dirisha kufungwa basi sina wasiwasi kuwa timu yangu itafanya vyema msimu huu.
I believe the process!
#COYG

Kujumuika haimaanishi hawauzwi
Kilichopo ni hiki , Arsenal hawataki kuuza mchezaji kwa bei ya kulazimishwa ila kwa bei wanayotaka wao
Mfano dili la Toreira anagombaniwa na vilabu viwili. ,mmoja alitaka mkopo mwingine bei haikutosha, Na bei waliyoiweka arsenal ni €30m
Kwa Bellerin. ..pia barca kaingia ,lkn Arsenal hawamuuzi kwa bei ya haraka kisa anahitaji hela ,
Sokratis ,Arsenal wanataka hela ,sio aondoke bure ,
Pia kwa Martinez , Arsenal waliweka bei Angalau ianzie £20m ,
Astonvilla wakatuma £10m ,Arsenal wakachomoa , now wametuma hiyo Euro million 20 , lkn Arsenal hawajajibu labda had wapate mbadala
Kwa Niles ,wolves walileta £15m+ 5adds ons ,Arsenal wakasema walete Angalau 25 ,
Mwisho Arteta akazuia asiuzwe
So ninachotaka kusema , Arsenal anawauza hao ,ila sio kwa bei za ajabu ,Bali wanazotaka wao ,
Mazoez wanafanya , hata Aouar ameanza mazoez kule Lyon , lkn msimu huu atauzwa.
Ninachokiona kuna hawa wafutao
Martinez 20
Bellerin 30
Toreira 27
Sokratis 5
Kolasinac 10-15
Ukiangalia hapo Arsenal watapata karibu £80m hii inatosha kabisa kuwaleta Partey na Aouar huku wage bills ikiwa imepunguzwa kwa kiasi kikubwa ,
Maana hapa mshahara wa kolasinac na Bellerin. ,unawalipa Partey na Aouar na chenji inabaki