Naombeni msaada wenu tafadhari hapo chini kuna Member 11 na Guest 6 lakini nikihesabu naona ni member tisa je kuna member wengine hawaonekani majina yao?
There are currently 17 users browsing this thread. (11 members and 6 guests) ..............
Yes Arshavin akizubaa anaweza kuzidiwa na huyu jamaaa
Teh teh Tena ukizingatia kocha wetu kigezo kikibwa ni umri. Usishangae akiulizwa kati ya kumuuza Bendtner na Arshavin akasema Arshavin. Kiwango alichonacho nacho Arshavin inabidi akaze buti kama zamani
Hili neno linanikumbushe enzi zangu za UMITASHUMITA na UMISETA pale nilipokuwa nasukuma soka skuli...Nje wadada walikua wakilitumia sana pale nilipokuwa nafanyiwa Madhambi..."USINIMIZIE" kwa sauti Mororo sana...Ilikua RAAAAAHA Saaana...
Hili neno linanikumbushe enzi zangu za UMITASHUMITA na UMISETA pale nilipokuwa nasukuma soka skuli...Nje wadada walikua wakilitumia sana pale nilipokuwa nafanyiwa Madhambi..."USINIMIZIE" kwa sauti Mororo sana...Ilikua RAAAAAHA Saaana...
Hili neno linanikumbushe enzi zangu za UMITASHUMITA na UMISETA pale nilipokuwa nasukuma soka skuli...Nje wadada walikua wakilitumia sana pale nilipokuwa nafanyiwa Madhambi..."USINIMIZIE" kwa sauti Mororo sana...Ilikua RAAAAAHA Saaana...