Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hehehe wakadai atatangazwa Jumatatu. Anyway tuvute subira. Timu yetu haina pesaGabriel imeishia wapi?
Deal done ,bado announcement muda wowoteGabriel imeishia wapi?
Mbona hilo dili limeshaisha ,bado kutangazwaHehehe wakadai atatangazwa Jumatatu. Anyway tuvute subira. Timu yetu haina pesa
Arsenal walicounter hili swala la quarantine.Mbona hilo dili limeshaisha ,bado kutangazwa
Halafu yupo Quarantine ,
Siku hizi naona Arsenal wamebadili utaratibu nadhan wakutangaza wachezaji ,
Hata deal la Auba ,tayari
Unakumbuka Deal la Willian ? Kuna utaratibu nadhan wamebadilisha
Alishasaini kweli Jumatatu, ila swala la kumtangaza ni hatua nyingineArsenal walicounter hili swala la quarantine.
Ripoti ilitoka kwamba kafanya medical na atasaini J3.
Ila leo J5.
Mke au Mume wakoUkimuondoa Auba, Kuna mchezaji gani mwingine wa kumtegemea kwenye hii timu?
Zouma.Ukimuondoa Auba, Kuna mchezaji gani mwingine wa kumtegemea kwenye hii timu?
Hahaha tuendelee kusajili hapa jamiiforumHehehe wakadai atatangazwa Jumatatu. Anyway tuvute subira. Timu yetu haina pesa





Hatuna.Vipi kama na wewe ukimuondoa Kepa, una mchezaji mwengine wa kumtegemea?
SawaMke au Mume wako
Aaron acha kuwadanganya wenzako, fanya kazi yako kwa uwaminifuAlishasaini kweli Jumatatu, ila swala la kumtangaza ni hatua nyingine
Rejea kwa willian ,
Same to Auba already signed contract ,but kutangazwa ndio bado
Unahisi Deal la Gabriel bado?
Hapa tunasema ni 99.99%




Fiorentina extremely keen on Lucas Torreira and are awaiting a final signal to conclude the transfer! Fiorentina, si insiste per Lucas Torreira
Arsenal are planning to announce Gabriel Magalhães signing on this week. Contracts have been signed until June 2025 also with his agents.Aaron acha kuwadanganya wenzako, fanya kazi yako kwa uwaminifu![]()
️
#AFC #Arsenal