Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tottenham set to make shock bid for £20m star Ainsley Maitland-Niles from rivals Arsenal as Jose Mourinho plots Serge Aurier replacement. [@MailSport]

Maitland-Niles has become their top priority after they lost faith in Serge Aurier.
The Gunners would listen to offers in the region of £20million for Maitland-Niles.
His versatility is viewed as a huge plus by Tottenham’s recruitment team.
 
Sami Mokbel:

"What I understand is personal terms have been agreed." (between Arsenal and Thomas Partey)[@TouchyGooners]
 
Personal terms have been agreed between Arsenal and Thomas Partey. [@SamiMokbel81_DM] #

Next week huenda Arsenal waka trigger release clause
 
Hapo kuna maswali mawili tu ya kujiuliza,

1.Kipindi Arsenal players wanamshambulia Ruud Van kocha alikuwa nani?

2.Kipindi Gue anafanya haya kocha ni nani?

Ukishapata jibu basi utaondoa hiyo sintofahamu mkuu,

Kisha unajiongeza na haya,
Kila kocha ulimwenguni ana vipaombele vyake, Arteta anahitaji nidhamu kwanza ili kujenga timu yake,
Na Arsene alikuwa na vipaombele vyake pia na ndio maana kipindi kile watu kama Vieira, Wilshare walidumu ktk timu...

Sasa usichanganye matakwa ya Arsene na Mikel,

Lingine Gue ni bado kijana mdogo sana kutunishiana misuli na Arteta, ukitaka kujua dogo mizinguo hata Reine Adelreide mtu aliyemshauri akubali kuja Arsenal alimponda pia na kuelezea juu ya tabia zake,
Halafu Gue hajaanzia huo ukorofi Arsenal ,hata kocha wake kule ufaransa alimuelezea ,

Mwaka Jana timu ilipoenda Dubai ,alitaka kupigana na Sokratis ,

Safari hii akaungana na Ozil wasikatwe mishahara , ikaja kwenye mech na Brighton , akaambiwa aombe msamaha kwa Arteta na Edu akagoma


Akatumwa Luiz ambaye ndio kama mlezi wa vijana , bado akakaza


Ukiangalia Mshahara wa £40,000 anaolipwa unamzuzua ,ndio maana aliwatukana Brighton kina Maupay kuwa analipwa kuliko wao .


Mwisho wa siku ni mchezaji wa kawaida sana ,

Ukitaka ujue hilo ,Xhaka tulimuona hafai sababu double pivot yake na Gue haipo compact ,

Arsenal wanamthaminisha hiyo bei sababu ya umri ,na ameshacheza mech nyingi za ushindan na za Europa ,
 
Mbunifu wa Adidas kuhusu jezi za ugenini za #Arsenal

: "Tulitaka kuweka hii kumbukumbu ya Highbury ndani ya Uwanja wa Emirates, kwa kizazi kipya cha mashabiki na kwa mchezaji wa kisasa, yote kupitia jezi ambayo inaangazia mtindo wa marumaru kwa msimu huu 2021 "
IMG_20200820_150805.jpg
IMG_20200820_143506.jpg
IMG_20200820_111206.jpg
IMG_20200820_110828.jpg
IMG_20200820_110825.jpg
 
Lille President Gérard Lopez on if he thinks Arsenal overpaid for Pepe.


"No, #Arsenal did one hell of a deal. They got a player that other people wanted & they got a player whom one club were offering more money for"
IMG_20200820_152459.jpg
 
Back
Top Bottom