Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ujio wa Partey automatically Toreira hana kaz tena

Maana Ceballos anaongezewa loan , bado kuna Xhaka, anakuja Coutinho , willian Na Deal la Partey bado lipo Active

Kwa scenario hii ,Toreira hana namba tena
Aisee Torreira akiyasikia haya kutoka kwako anaweza kulia akilinganisha na wakati anasajiliwa kutoka Sampdoria alisikia jambo jema sana na kipindi akivuruga mechi za Manchester United & City, Liverpool na Tottenham.

Aaron appreciate the little work from our boys, usione hawafai sababu unataka kusikia klabu imesajili.
 
Aisee Torreira akiyasikia haya kutoka kwako anaweza kulia akilinganisha na wakati anasajiliwa kutoka Sampdoria alisikia jambo jema sana na kipindi akivuruga mechi za Manchester United & City, Liverpool na Tottenham.

Aaron appreciate the little work from our boys, usione hawafai sababu unataka kusikia klabu imesajili.
Kwa hali ilivyo sasa usitegemee akasajiliwa mtu wa kuja kukaa bench, na ndio maana Mikel mara zote anakazia kwenye quality na haoni aibu kulisema hilo kuwa kikosi kinakosa qualities kutokana na wachezaji wengi kuwa ni average,
Ndio maana anafanya maboresho kwa kuadd wachezaji wenye ubora watakaolingana na opponents wetu,
Hivi unajisikiaje unapocheza na City ambao katika eneo la kiungo linakuwa KDB, RODRI, GUNDOGAN alafu kwetu ni WILOCK, GUENDOUZ, AMN

Tusubiri jamaa aunde timu yake, sisi washabiki tunahitaji furaha tu.
Sisi tunataka kurudi huku,
images%20(3).jpg
 
Aisee Torreira akiyasikia haya kutoka kwako anaweza kulia akilinganisha na wakati anasajiliwa kutoka Sampdoria alisikia jambo jema sana na kipindi akivuruga mechi za Manchester United & City, Liverpool na Tottenham.

Aaron appreciate the little work from our boys, usione hawafai sababu unataka kusikia klabu imesajili.
Hapana kaka ,Mm.namkubali sana huyu jamaa. Ila Wakulaumiwa ni Unai emery, alimuharibu akidai ni mfupi akaanza kumpanga No.10 ,Mara box to box , mwisho bench

Yote hayo ili Guendouz acheze tu

Alipokuja Arteta ,akataka kiungo wa chini DLP(Deep lying playmaker) anayewalinda mabeki na kupiga pass mbele

Ikaonekana hii kaz Ceballos anaiweza kuliko. Toreira ,

Sasa Ujio wa WILLIAN, coutinho,sijui Partey

Bado kuna xhaka ambaye piga ua hakuna wakumuweka nje ,

Je toreira atapata nafas tena?


Telegraph wanasema Arsenal inamuweka sokoni


AC Milan plotting another move for Lucas Torreira with Arsenal open to selling midfielder to fund purchases @SamJDean

AC Milan keen on Lucas Torreira with Arsenal open to selling midfielder
 
HUYU JAMAA NDIO NAMUAMINI SANA KUHUSU HABARI ZA PARTEY , AKITOA YEYE ,WENGINE WANAFATA SIKU ZOTE

Habari ya kwanza kuwa Arsenal wametuma ofa ya €25m + Gunduz aliitoa yeye , baada ya Siku 2 ndipo kina Fabrizio, ornstein ,n.k wakasema



Information for Thomas Partey is confident of completing his transfer to Arsenal after the end of Atletico Madrid's campaign in the Champions League after very positive talks between the London club and the player camp this week.

THE AFBell
 
Hapana kaka ,Mm.namkubali sana huyu jamaa. Ila Wakulaumiwa ni Unai emery, alimuharibu akidai ni mfupi akaanza kumpanga No.10 ,Mara box to box , mwisho bench

Yote hayo ili Guendouz acheze tu

Alipokuja Arteta ,akataka kiungo wa chini DLP(Deep lying playmaker) anayewalinda mabeki na kupiga pass mbele

Ikaonekana hii kaz Ceballos anaiweza kuliko. Toreira ,

Sasa Ujio wa WILLIAN, coutinho,sijui Partey

Bado kuna xhaka ambaye piga ua hakuna wakumuweka nje ,

Je toreira atapata nafas tena?


Telegraph wanasema Arsenal inamuweka sokoni


AC Milan plotting another move for Lucas Torreira with Arsenal open to selling midfielder to fund purchases @SamJDean

AC Milan keen on Lucas Torreira with Arsenal open to selling midfielder
Tatizo ni kumuondosha huku ukiwa huna Squad Depth! Haya niliwahi kuyasema humu kipindi Henrikh Mkhitaryan anatolewa kwa mkopo kisa Nicolas Pepe, sasa hivi akitoka Pepe unaona Nelson, akitoka Lacazatte au Aubameyang unamuona Nketiah akitoka Xhaka unamuona Willock kweli?!

Angalia Squad Depth ya Manchester City na Liverpool akitoka mtu anaingia mtu sio nusu watu kama Willock, Nketiah na Nelson.

Leo hii mnadai hamtaki kumuona Shkodrani Mustafi kisa ujio wa Saliba sawa! Saliba akiumia au asipo cope na team?! Same hamtaki kumuona Sead Kolašinac kisa Kieran Tierney yupo fit, siku akiumia uanze kumrudisha Saka left side?!

Shida sio kuingiza na kutoa wachezaji ni kuhakikisha unakuwa na wachezaji bora na squad depth na kazi ni kufanya rotation ya one on one leo akicheza Xhaka kesho mtoe dakika ya 70 muweke Torreira, kesho kutwa Europa anzisha Torreira.

Mashindano mbele yetu ni manne (Premier League, Europa League, Emirates FA Cup, Carabao EFL Cup huwezi kutumia wachezaji 21 tu huku ukitegemea wachezaji takataka aina ya Willock, Nelson na Nketiah. Wachezaji wenye future na potential kwa wakati mmoja ni Bukayo Saka na Gabriel Matinelli na kidogo Guendouzi.
 
Tatizo ni kumuondosha huku ukiwa huna Squad Depth! Haya niliwahi kuyasema humu kipindi Henrikh Mkhitaryan anatolewa kwa mkopo kisa Nicolas Pepe, sasa hivi akitoka Pepe unaona Nelson, akitoka Lacazatte au Aubameyang unamuona Nketiah akitoka Xhaka unamuona Willock kweli?!

Angalia Squad Depth ya Manchester City na Liverpool akitoka mtu anaingia mtu sio nusu watu kama Willock, Nketiah na Nelson.

Leo hii mnadai hamtaki kumuona Shkodrani Mustafi kisa ujio wa Saliba sawa! Saliba akiumia au asipo cope na team?! Same hamtaki kumuona Sead Kolašinac kisa Kieran Tierney yupo fit, siku akiumia uanze kumrudisha Saka left side?!

Shida sio kuingiza na kutoa wachezaji ni kuhakikisha unakuwa na wachezaji bora na squad depth na kazi ni kufanya rotation ya one on one leo akicheza Xhaka kesho mtoe dakika ya 70 muweke Torreira, kesho kutwa Europa anzisha Torreira.

Mashindano mbele yetu ni manne (Premier League, Europa League, Emirates FA Cup, Carabao EFL Cup huwezi kutumia wachezaji 21 tu huku ukitegemea wachezaji takataka aina ya Willock, Nelson na Nketiah. Wachezaji wenye future na potential kwa wakati mmoja ni Bukayo Saka na Gabriel Matinelli na kidogo Guendouzi.
Fact mzee..

Na Hilo la kutokua na depth squad ndo lilikua linatu "costig" kipindi Cha babu wanger yaaani akiumia tu cazorla hamna mtu wa ku back up pengo lake..


Sead na mustafi Ni bora wabaki at least tuwe tunawachezesha hata carabao uko..
 
Fact mzee..

Na Hilo la kutokua na depth squad ndo lilikua linatu "costig" kipindi Cha babu wanger yaaani akiumia tu cazorla hamna mtu wa ku back up pengo lake..


Sead na mustafi Ni bora wabaki at least tuwe tunawachezesha hata carabao uko..
Yes! Ukiwa na Squad Depth hata treble unapigania, hata akisajiliwa Partey bado Torreira abaki tuwe na viungo waliokamilika wanne maana kwa wiki ni mechi mbili hadi tatu lazima wote watacheza.
 
Tatizo ni kumuondosha huku ukiwa huna Squad Depth! Haya niliwahi kuyasema humu kipindi Henrikh Mkhitaryan anatolewa kwa mkopo kisa Nicolas Pepe, sasa hivi akitoka Pepe unaona Nelson, akitoka Lacazatte au Aubameyang unamuona Nketiah akitoka Xhaka unamuona Willock kweli?!

Angalia Squad Depth ya Manchester City na Liverpool akitoka mtu anaingia mtu sio nusu watu kama Willock, Nketiah na Nelson.

Leo hii mnadai hamtaki kumuona Shkodrani Mustafi kisa ujio wa Saliba sawa! Saliba akiumia au asipo cope na team?! Same hamtaki kumuona Sead Kolašinac kisa Kieran Tierney yupo fit, siku akiumia uanze kumrudisha Saka left side?!

Shida sio kuingiza na kutoa wachezaji ni kuhakikisha unakuwa na wachezaji bora na squad depth na kazi ni kufanya rotation ya one on one leo akicheza Xhaka kesho mtoe dakika ya 70 muweke Torreira, kesho kutwa Europa anzisha Torreira.

Mashindano mbele yetu ni manne (Premier League, Europa League, Emirates FA Cup, Carabao EFL Cup huwezi kutumia wachezaji 21 tu huku ukitegemea wachezaji takataka aina ya Willock, Nelson na Nketiah. Wachezaji wenye future na potential kwa wakati mmoja ni Bukayo Saka na Gabriel Matinelli na kidogo Guendouzi.
Mkuu hawawezi kukuelewa kamwe.

Ni ujinga wa hali ya juu kumuuza torreira
 
Yes! Ukiwa na Squad Depth hata treble unapigania, hata akisajiliwa Partey bado Torreira abaki tuwe na viungo waliokamilika wanne maana kwa wiki ni mechi mbili hadi tatu lazima wote watacheza.
Na huyo Partey anaweza akaja na akachemsha pia.

Tusilete ushabiki, mnakumbuka alipokuja bakayoko???
 
Kumbe ndio maana mna washabiki wengi wa kike eh!
Mnacheza Dicks out out!


1596809649942.png
 
Ukitaka kujua Chelsea timu kubwa, uzi huu umefufuka baada tetesi za kumsajili Willian kuibuka kwenye media. Hongera sana
 
Back
Top Bottom