Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Mimi nikimzungumzia Matteo Guendouzi humu naonekana kama nina udugu nae. But one thing for sure, nina uoni wa mbali sana kuhusu players.Dogo yupo vizuri sana
Mkuu wewe unajua mpiraHolding ndiye beki bora kwa sasa arsenal,kabla ya kuumia arsenal ilicheza game 22 bila kupoteza
Itapendeza sanaWillian has decided to JOIN Arsenal
Yah ,maana dayot kaongeza mkataba kule Leipzig
Mkuu dino kashasepa kwa mkopoCeballos hataki kuondoka. Specifically kasema 'Natumaini nitacheza angalau mechi 35' nafikiri anamaanisha ahakikishiwe kuanza na game time.
Hivi kweli kabisa huko Spain, Ureno, France au Italy hamna watu wa kuifanya kazi tunayoililia kwa Willian na Coutinho? James Rodriguez hayupo kwenye mipango ya Madrid si turuke naye?
Tunahitaji ST mwingine. Auba atachoka, Martnell anahitaji kukomazwa. Achukuliwe Jovic, young na anajua goli.
Sielewi kwanini timu na mashabiki wote tumestuck kwa Willian na Coutinho. Na wote tumeganda kwenye kudai CB. Mari, Saliba, Sokratis, Luiz, Holding, Chambers, Mavropanos, na kuna dogo black wote hao CB.
Na Tierney juzi kachezeshwa CB. Niles kacheza RB kipindi chote Bellerin akiwa majeruhi. Saka kacheza kama LWB na kaperform. Hii timu haikukosa mabeki, ilikosa fighting spirit na viungo.
Sijapenda kabisa hii ratiba na inaweza kuja kutucost kwa kupoteza players na hata kwa timu zingine mfano tarehe 29 August tuna big match ukizingatia tarehe 1 tumecheza Final mapumziko ni two weeks only2020/21 Dates for your diary:
Monday 17th August
Arsenal return for pre-season training
Saturday 29th August
Community Shield v Liverpool
Saturday 12th September
Premier League season starts
Friday 2nd October
Europa League Group Stage Draw
No other dates at present.
Thibitisha.Hizo ni story tu. Ozil remained loyal to the club throughout
Two weeks? Mbona zinatosha sanaSijapenda kabisa hii ratiba na inaweza kuja kutucost kwa kupoteza players na hata kwa timu zingine mfano tarehe 29 August tuna big match ukizingatia tarehe 1 tumecheza Final mapumziko ni two weeks only
Guendoz ana ugumu gani we jamaa, labda ugumu wa maneno....Mimi nikimzungumzia Matteo Guendouzi humu naonekana kama nina udugu nae. But one thing for sure, nina uoni wa mbali sana kuhusu players.
Serge Gnabry wakati anaondoka nilijua tumepoteza lulu. Sasa ndio itakavyokuwa kwa Guendouzi.
Discipline issue?? WTF!!!!!! Tunataka watu wa aina ya Guendouzi, wachezaji legelege si ndio waliotupigisha 8 kwa United?? Yaani tumewasahau wababe wa vita kina Vieira, keown na Parlour???
Subirini mtakuja sema
Hahaha Chief ujue nilichosema juu ya stamina, control na speed bado kwangu vinamatter na nafikiri dunia nzima vinamatter so kwa player kama Guendouzi wanajua ni lazima awalie muda wa kukomaa kwanza so kwa hela nyingi hivyo inakua ngumu kutoa.Kwa sababu tunamchukulia poa Guendouzi???
Sasa msimu si ushaisha, au alienda kwa mkopo wa miaka ngapi...Mkuu dino kashasepa kwa mkopo
Chapati hiyo inakuja kutusumbuaWillian has decided to JOIN Arsenal
Sheikh yale maisha ujue.Thibitisha.
Huyu Mesut ni nyungu tu,
Hivi mtu kama Willian utasema ni loyal kwa chelsea?
Tupo hapa.Guendoz ana ugumu gani we jamaa, labda ugumu wa maneno....
Mtoto laini sana yule akipewa mwili tu anatoka kwenye njia,
Kwa Gnabry kweli lakini Gue hapana, angeondoka Gabby ningesema kweli tumepoteza mtu mgumu sio huyu
Ndio kaenda sasa hivi I thinkSasa msimu si ushaisha, au alienda kwa mkopo wa miaka ngapi...
Permanent contract kwa Dani inakua ngumu Madrid kuiruhusu kwakua wao wenyewe Kroos na Modric umri ndiyo unawaacha. Rodrygo siyo mtamu kihiiiivyo kwahiyo kumuachia moja kwa moja hata kama we ndiyo ungekua Madrid naamini usingekubali.Kimsingi auba apewe hiyo 250k anayotaka then tumchukue na partey akichafue pale Kati na Xhaka afu tumpe parmanent contract Dani cebaloss"the majestic" huku tukisikilizia deal la countinho