Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio August

Nimeona kuna taarifa Arteta anakutana na bodi jumanne au jumatano

Kuhusu kuna wachezaji wanaongeza mkataba pia kuhusu usajiri


Inabidi wafanye fasta tumpate Partey ,coutinho

Hiyo mech na Liverpool Angalau mmoja atimbe ndani tutest mitambo
Kwa sasa tutapata hao big players baada ya kushinda jana na hata kwenda Europa league na Arteta ameonyesha ana vision na nini anakitaka ndo wachezaji wengi wanataka na Auba atasign mkataba permanent anytime
 
ARTETA MASTERCLASS

Arteta katuonyesha ana nia na uwezo wa kuirudisha hii Club kwenye ubora na ushindani kazi imebaki kwa Stan and Josh Kroenke, Raul Sanlehi na Edu kumletea watu anaowahitaji turudi kwenye ushindani

Watu walitegemea ujio wa Arteta Arsenal tutacheza mpira kama wa Man City (tik tak) But Arteta akaona kwa aina ya Squad aliyokuwa nayo hilo swala ni gumu akairudisha timu kwenye basic kabisa huku akiingiza mifumo yake taratibu

Kiuhalisia unaona kabisa Arsenal imebadilika hasa kwenye hizi Big Matches miaka ya nyuma tulikuwa wanyonge sana huku tukifungwa kirahisi na timu kubwa ila Arteta kaonyesha kuwin battle kwenye big match inawezekana na inatakiwa umuheshimu mtu aliyekuzidi uwezo

hakuna Shortcut kwenye football inabidi timu iingie sokoni tupate watu wa maana tuonyeshe ushindani kwenye league msimu unaokuja Na kikubwa ni kuondoa some of players ambao sio good enough kuchezea

Trust the Process

In Arteta we Trust

#Coyg
IMG_20200801_222856.jpg
 
Kwema kaka

Jezi zimekuwa adimu sana , zikija,oda inakuwa kubwa zinaisha fasta

Sasa niambie unavaa Size gani, ili zikija tu niweke pembeni

Na uniambie upo mkoa gani, kama Dar itakuwa fresh

Medium 1
Large 1

Please niwekee zikifika nishitue ili tuwasiliane mara moja kwa malipo, transport etc

Thanks in advance
 
Huyu Auba anaweza asibaki na itatuuma ila kiukweli ni fair hata asipobaki he is too good kuishi katika Arsenal ya sasa. Tukileta ubahili tunampoteza live.

Martinez niseme nini?? Chelsea na Man U zinaweza zikamfuata huyu nyanda. Maana wana mashati ya hatari.

Ok now kila mtu anamsifu Auba na ile chip shot, which to be fair ni anastahili. Lakini mbona tunamsahau Bellerin? Tumkumbuke hata sekunde moja tu. Jamaa alitoka spid akadribble katikati ya jezi za bluu kabla jamaa mmoja kumrukia kwa kuslide (later on aliyeslide ndiyo akawa kaumia) mpira kwa Pepe, Pepe kwa Auba. Auba with a L1+Box
 
Huyu Auba anaweza asibaki na itatuuma ila kiukweli ni fair hata asipobaki he is too good kuishi katika Arsenal ya sasa. Tukileta ubahili tunampoteza live.

Martinez niseme nini?? Chelsea na Man U zinaweza zikamfuata huyu nyanda. Maana wana mashati ya hatari.

Ok now kila mtu anamsifu Auba na ile chip shot, which to be fair ni anastahili. Lakini mbona tunamsahau Bellerin? Tumkumbuke hata sekunde moja tu. Jamaa alitoka spid akadribble katikati ya jezi za bluu kabla jamaa mmoja kumrukia kwa kuslide (later on aliyeslide ndiyo akawa kaumia) mpira kwa Pepe, Pepe kwa Auba. Auba with a L1+Box
Unamuona baba yangu?
Dani ceballos
IMG_20200802_122534.jpg
 
Back
Top Bottom