SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Afadhali tutalala usingizi na kelele zimepungua
Binafsi nimefurahia haya matokeo mno.Pamoja na mapungufu tunayodai kocha kaonyesha au wachezaji ila sometimes scene ya hivi inatokea tu kwenye mpira;Timu ndogo kuiadhibu timu kubwa bila watu kutegemea.
Acheni kumlaumu sana kocha hadi kumtukana kisa kupoteza gemu moja hii.
Labda nae kuna mfumo alikuwa anajaribu kuutengeneza kuelekea gemu ya fainali,ukizingatia timu zilizo relegation zone ndo zakufanyiwa majaribio,na bahati mbaya mfumo huo umefeli.
Too much possession without penetration, ndio maana ya shots on target = 0 na possession ya 61%Kwanini usiseme umiliki wa mpira![]()
Hapo ndg hakuna point uliyoongea, fainali ya FA posibility ni 0.5, game hizi mbili posibility yake ilikuwa 0.75. kama ulisoma hesabu hasa za probability na kufaulu utanielewaBinafsi nimefurahia haya matokeo mno.
Tumeamua makusudi kumfanyia hila mbaya watford maana tumempa Aston villa point tatu halafu tunamaliza game na Watford nyumbani ambaye ndiye hasimu mkubwa wa Aston villa ktk relagation zone.
Game ya mwisho Watford tunampa kichapo na abakie hapo hapo alipo hata ikitokea Aston villa akapigwa na West ham bado man u watamchapa westham ili waingie top 4 hali inayopelekea ugumu kwa watford zaidi.
Hivyo basi Watford na Norwich na Bournemouth lazima wapitiwe na panga.
Matokeo hayaepukiki kupangwa hata iweje.Wote mnaomlaumu kocha kwa game ya jana bado hamjui mpira sawasawa.
Arsenal hatuwezi kuingia top 4 wala top 5 mahesabu yanagoma tiketi na turufu yetu ni FA tu ambapo lazima tuhakikishe tunashinda final battle yetu na Chelsea.Ukweli ni huo ndiyo maana tunemchagua Aston villa tumbakishe maana uwezo tunao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimefurahia haya matokeo mno.
Tumeamua makusudi kumfanyia hila mbaya watford maana tumempa Aston villa point tatu halafu tunamaliza game na Watford nyumbani ambaye ndiye hasimu mkubwa wa Aston villa ktk relagation zone.
Game ya mwisho Watford tunampa kichapo na abakie hapo hapo alipo hata ikitokea Aston villa akapigwa na West ham bado man u watamchapa westham ili waingie top 4 hali inayopelekea ugumu kwa watford zaidi.
Hivyo basi Watford na Norwich na Bournemouth lazima wapitiwe na panga.
Matokeo hayaepukiki kupangwa hata iweje.Wote mnaomlaumu kocha kwa game ya jana bado hamjui mpira sawasawa.
Arsenal hatuwezi kuingia top 4 wala top 5 mahesabu yanagoma tiketi na turufu yetu ni FA tu ambapo lazima tuhakikishe tunashinda final battle yetu na Chelsea.Ukweli ni huo ndiyo maana tunemchagua Aston villa tumbakishe maana uwezo tunao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siongei kishabiki ila hapa umeandika mashudu tu.Sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kufuzu Europa League kupitia EPL!!
Ndio maana tunasema Auba na Lacazette wanajuta sana kukubali kusajiliwa Arsenal
- Hawana squad ya kuwawezesha kufanya hivyo
- Mashabiki wao hawako na timu yao, mfano wengi wao humu jamii forums wamejinafsisha kwa Chelsea wengine Liverpool
- Management haina dira yeyote, wakati wa Wenga angalau walikuwa wanatoa chipukizi na kuwauza ili washike mshiko, sasa hivi hawana tena chipukizi wala hawajui hata kusajili
Tutegemee AUB lazima atalazimisha kuondoka Lacazette yeye naona karidhika
Tutegemee pia wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa kwenye mid-table team kama Arsenal
Mabadiliko ya Top 6 EPL clubs
Arsenal kurudi kwenye top 6 itawachukua miaka 6-10 ali mradi tu wana mikakati ya kuwarudisha huko, wakiendelea kuwa kama walivyo sasa, FORGET ABOUT TOP 6
- Liverpool
- Man City
- Chelsea
- Man United
- Tottenham Hotspurs
- Leicester City au Wolves (hii tutaconfirma ndani ya misimu mitatu ijayo wakiendelea kuhikilia hizo nafasi)
Mkuu una hasira hahahahaha.Unadhani kuna interest yoyote ya Arsenal kumpa favor Aston Villa?
Kwa sisi Tanzania matokeo yanatupa favor kwa sababu ya Samatta kubaki ligi kuu.
Pia kwa mimi mshabiki wa Liverpool FC yananipa favor zaidi Watford akishuka, maana ndiye alijifanya kiherehere cha kuwa wa kwanza kunifunga.
Mkuu una hasira hahahahaha.
Bora ashuke sio??
Binafsi nimefurahia haya matokeo mno.
Tumeamua makusudi kumfanyia hila mbaya watford maana tumempa Aston villa point tatu halafu tunamaliza game na Watford nyumbani ambaye ndiye hasimu mkubwa wa Aston villa ktk relagation zone.
Game ya mwisho Watford tunampa kichapo na abakie hapo hapo alipo hata ikitokea Aston villa akapigwa na West ham bado man u watamchapa westham ili waingie top 4 hali inayopelekea ugumu kwa watford zaidi.
Hivyo basi Watford na Norwich na Bournemouth lazima wapitiwe na panga.
Matokeo hayaepukiki kupangwa hata iweje.Wote mnaomlaumu kocha kwa game ya jana bado hamjui mpira sawasawa.
Arsenal hatuwezi kuingia top 4 wala top 5 mahesabu yanagoma tiketi na turufu yetu ni FA tu ambapo lazima tuhakikishe tunashinda final battle yetu na Chelsea.Ukweli ni huo ndiyo maana tunemchagua Aston villa tumbakishe maana uwezo tunao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wanadai Pepe ni "World Classic Player" wewe unasemaje..tupe maoni yako.Shida kupata winning momentum. Maana tutaingia fainali ya F.A tukiwa na rekodi ya kufungwa mechi 2 mfululizo( A. Villa + Watford lazima watutungue) hatuezi kumfunga chelsea coming from 2 losses. Wajinga kabisa hawa mechi ilikua inaboa sana. Alaaniwe aliemnunua Pepe badala ya W. Zaha
N.B: poleni wazee wa mikeka maana lazima mlimpa Arsenal leo
Hahahah uko kwenye mawazo yao niniPlayers wetu wanawaza fainali ya FA kwa mpira tuliocheza leo dah dah ni disaster



Tunajua ni final ..nilikuwa nawakumbusha tu..Lolote laweza kutokea mkuu, ni final
Kwani arsenal ni timu kubwa??Pamoja na mapungufu tunayodai kocha kaonyesha au wachezaji ila sometimes scene ya hivi inatokea tu kwenye mpira;Timu ndogo kuiadhibu timu kubwa bila watu kutegemea.
Acheni kumlaumu sana kocha hadi kumtukana kisa kupoteza gemu moja hii.
Labda nae kuna mfumo alikuwa anajaribu kuutengeneza kuelekea gemu ya fainali,ukizingatia timu zilizo relegation zone ndo zakufanyiwa majaribio,na bahati mbaya mfumo huo umefeli.
Hahahahah, sababu yako ya pili nimeipenda.Unadhani kuna interest yoyote ya Arsenal kumpa favor Aston Villa?
Kwa sisi Tanzania matokeo yanatupa favor kwa sababu ya Samatta kubaki ligi kuu.
Pia kwa mimi mshabiki wa Liverpool FC yananipa favor zaidi Watford akishuka, maana ndiye alijifanya kiherehere cha kuwa wa kwanza kunifunga.
Hata mimi sijachambua kishabiki, wewe ndio umeona kishabiki, pole sana. Na huyo mwenzako uliyemquote pamoja na wewe mmechambua vizuri kweli nyie mmefilisika kimawazo ndio maana katimu kenu kanaangamia.Siongei kishabiki ila hapa umeandika mashudu tu.
Wachambuzi wa kibongo mjifunze hata kwa wenzenu wa Ulaya.
Sisi wenyewe mkuu Watford huwa hatumpendi, kina Troy deeney huwa wanatupiga vijembe sanaUnadhani kuna interest yoyote ya Arsenal kumpa favor Aston Villa?
Kwa sisi Tanzania matokeo yanatupa favor kwa sababu ya Samatta kubaki ligi kuu.
Pia kwa mimi mshabiki wa Liverpool FC yananipa favor zaidi Watford akishuka, maana ndiye alijifanya kiherehere cha kuwa wa kwanza kunifunga.
Acha kelele, sisi tumemuachia Villa ndugu yetu asishuke daraja,Kwa zaidi ya miaka kumi sasa jiji la London linabebwa na Chelsea na ndio maana tunasema
"LONDON IS BLUE"
na nyie hamtaki kuelewa
Hii najua hamtaipenda