Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya poa.

Arsenal hatuna shot on target.

Man City walikua na on target 1 tu.

Mpira muda mwingi alikua nao Arsenal, usitishike tho, ilikua ni kuurudisha nyuma kuuleta pembeni kwa Cedric ambaye hakupiga hata cross moja yenye macho yet hakuacha kuendelea kupiga hizo cross na tukapoteza mpira unnecessarily.

Tulikua na watu 4 pale kati na wingers means watu 6 wangeweza kua pale. Ila mipira ilikua haikai, hatuna kiungo mwenye akili na ubunifu hatuna striker anayeweza kuamua kuibeba timu kwa kutembea na mpira na kushuti.

Tactic tuliyoitumia kwa City imetumiwa dhidi yetu. Beaten on our newfound game how about that? Na hatukua na cha kutunasua. Tulikua tunachekesha.

Juzi nilisema Lacazette siyo mzuri akiwa hana mpira as hawezi kukaba ila leo amekua hovyo hata alipokua na mpira.

Arteta alikuja gundua late kua kikosi alichokianzisha kina maandazi yapo mule mpaka anakuja kushtuka Asto walishaamua kuachana na 4 3 3 na kujipakia basi lao. Inanikumbusha Man U na Barca msimu uliopita Man U succesfully transformed 4 3 3 into 5 5.

Nataka nimuone mtu ambaye atasema Watford wameshinda kibahati. They deserved it, tulikua butu mno yaani hamna aliyeonekana anataka ushindi. Hata katika PS 3 au 4 mchezaji kama Nketiah huwezi kumuweka atokee pembeni as anakua na safari ndefu ili kuingia kati na hana pace, skills na nguvu so hua anaachwa kati kabisa.

Niliwahi sema Kolasinac na Tierney bora Tierney nikaambiwa mimi sijui kitu Kola anajitoa na ana nguvu, leo mtu kataka kuscore mbele yake tena mtu alivyomtoka mpaka nikashangaa.
Sawa, ila sio Watford ni Aston Villa,
Kwa kukuunga mkono tu katika suala la Saed mimi sijawahi kumuelewa huyu jamaa na mara zote nilikuwa napiga vita uwepo wake ktk kikosi, ana errors nyingi sana,
Nashukuru leo tupo pamoja kwa kukubali kuwa game ilitugeuka yaani sisi ndio tulikiwa Man city na Villa walikuwa Arsenal na kuhitimisha hakuna suala la bahati katika huo ushindi
Villa hawajashinda kwa bahati ni mbinu ndio walituzidi, vivyo hivyo katika game yetu dhidi ya City hatukushinda kwa bahati ila tuliwazidi kimbinu....

Ndio maana nikakwambia mkuu siku ile haukuwa sawa
 
Sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kufuzu Europa League kupitia EPL!!
  1. Hawana squad ya kuwawezesha kufanya hivyo
  2. Mashabiki wao hawako na timu yao, mfano wengi wao humu jamii forums wamejinafsisha kwa Chelsea wengine Liverpool
  3. Management haina dira yeyote, wakati wa Wenga angalau walikuwa wanatoa chipukizi na kuwauza ili washike mshiko, sasa hivi hawana tena chipukizi wala hawajui hata kusajili
Ndio maana tunasema Auba na Lacazette wanajuta sana kukubali kusajiliwa Arsenal
Tutegemee AUB lazima atalazimisha kuondoka Lacazette yeye naona karidhika
Tutegemee pia wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa kwenye mid-table team kama Arsenal
Mabadiliko ya Top 6 EPL clubs
  1. Liverpool
  2. Man City
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. Tottenham Hotspurs
  6. Leicester City au Wolves (hii tutaconfirma ndani ya misimu mitatu ijayo wakiendelea kuhikilia hizo nafasi)
Arsenal kurudi kwenye top 6 itawachukua miaka 6-10 ali mradi tu wana mikakati ya kuwarudisha huko, wakiendelea kuwa kama walivyo sasa, FORGET ABOUT TOP 6
Pumba
 
Hapo ndg hakuna point uliyoongea, fainali ya FA posibility ni 0.5, game hizi mbili posibility yake ilikuwa 0.75. kama ulisoma hesabu hasa za probability na kufaulu utanielewa
Tena kwa wale wanaobet, ODDS za Arsenal kushinda ni ndogo kuliko za Chelsea kushinda kwa hiyo Real probability ya Arsenal kuchukua kombe la FA ni less than 0.5
Makampuni mengi ya kubeti wanatoa hii average ODDS
Arsenal kushinda ni 3.40 maana yake unapokea mpunga mkubwa kwa sababu Arsenal kushinda ni miujiza
Arsenal na Chelsea kudroo ODDS ni 3.50 bado watakaobeti kwenye hii watapokea mpunga mkubwa kwa sababu nayo droo ni miujiza ya msimu
Chelsea kushinda ODDS ni 2.26, mpunga ni mdogo kwa sababu inajulikana kuwa Chelsea atashinda. Period
View attachment 1513333
View attachment 1513338
Wewe ushawahi kubet?
Kwanini kama hujui kitu usinyamaze tu mkuu,
Odd ya 2. Katika beting ni ndogo?
Kwanini asingepewa 0.1 kama ana uhakika wa ushindi???
Huna ulijualo, pointless
 
Unadhani kuna interest yoyote ya Arsenal kumpa favor Aston Villa?

Kwa sisi Tanzania matokeo yanatupa favor kwa sababu ya Samatta kubaki ligi kuu.

Pia kwa mimi mshabiki wa Liverpool FC yananipa favor zaidi Watford akishuka, maana ndiye alijifanya kiherehere cha kuwa wa kwanza kunifunga.
Ilikuuma eeeeh
Sarr
 
Sawa, ila sio Watford ni Aston Villa,
Kwa kukuunga mkono tu katika suala la Saed mimi sijawahi kumuelewa huyu jamaa na mara zote nilikuwa napiga vita uwepo wake ktk kikosi, ana errors nyingi sana,
Nashukuru leo tupo pamoja kwa kukubali kuwa game ilitugeuka yaani sisi ndio tulikiwa Man city na Villa walikuwa Arsenal na kuhitimisha hakuna suala la bahati katika huo ushindi
Villa hawajashinda kwa bahati ni mbinu ndio walituzidi, vivyo hivyo katika game yetu dhidi ya City hatukushinda kwa bahati ila tuliwazidi kimbinu....

Ndio maana nikakwambia mkuu siku ile haukuwa sawa
Hatukua hatari kwa Villa kivyovyote ndiyo sababu sijasema ushindi wao ni wa bahati
 
Hata mimi sijachambua kishabiki, wewe ndio umeona kishabiki, pole sana. Na huyo mwenzako uliyemquote pamoja na wewe mmechambua vizuri kweli nyie mmefilisika kimawazo ndio maana katimu kenu kanaangamia.
Kwa taarifa yako tu wale wa Ulaya unaowaamini wote walichambua na kuafiki kuwa Chelsea itamaliza nje ya top 6 hapo vipi?
Ngoja nisikujibu kwa sasa.
Ntakujibu msimu ujao.
 
Hatma ya Aston Villa kubaki EPL ipo mikononi mwa Arsenal.

Na Arsenal imemfanyia sawa sawa Villa kwanza imempa points tatu ambazo zimemtoa kwenye relegation zone. Na sasa Villa yupo nafasi ya 17 na Watford anashika nafasi ya 18.

Mechi ya mwisho ya msimu Arsenal kabakisha gemu na Watford, ambaye mzunguko wa kwanza alijichukulia points 3, Villa kabakisha na Westham.

Yaani ikatokea tumewafunga Watford, Villa anakua kabaki Ligi kuu bila kujali ataifunga Wetsham ama la. Ila akiifunga Westham basi anakua kajihakikishia zaidi.

Mara nyingi nimewaambia kijiweni kwangu kwamba Samata akienda Chelsea ana namba, akienda Man U ana namba pia (Hizo ni enzi za Tammy na Rashford kukosa shots hata tatu za wao na kipa na timu zikiwa hazina mbadala)

Mara zote Samata amekua akifika timu husik hukuta kuna mtu anaaminiwa kisha yeye humpindua huyo mtu na kwenye kikosi cha kwanza panga pangua. Amefanya hivyo Mazembe, amefanya hivyo Genk. Na nina imani atafanya hivyo Villa.

Arsenal shinda hili game nione kiasi gani Samata ataadapt.
 
Wewe ushawahi kubet?
Kwanini kama hujui kitu usinyamaze tu mkuu,
Odd ya 2. Katika beting ni ndogo?
Kwanini asingepewa 0.1 kama ana uhakika wa ushindi???
Huna ulijualo, pointless
Hata nami nimemshangaa.Anashangilia odds 2 kwa 3.Angekuwa mkali kama anavyojiaminisha angepewa moja sisi tukapewa 4 au 5.
 
Sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kufuzu Europa League kupitia EPL!!
  1. Hawana squad ya kuwawezesha kufanya hivyo
  2. Mashabiki wao hawako na timu yao, mfano wengi wao humu jamii forums wamejinafsisha kwa Chelsea wengine Liverpool
  3. Management haina dira yeyote, wakati wa Wenga angalau walikuwa wanatoa chipukizi na kuwauza ili washike mshiko, sasa hivi hawana tena chipukizi wala hawajui hata kusajili
Ndio maana tunasema Auba na Lacazette wanajuta sana kukubali kusajiliwa Arsenal
Tutegemee AUB lazima atalazimisha kuondoka Lacazette yeye naona karidhika
Tutegemee pia wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa kwenye mid-table team kama Arsenal
Mabadiliko ya Top 6 EPL clubs
  1. Liverpool
  2. Man City
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. Tottenham Hotspurs
  6. Leicester City au Wolves (hii tutaconfirma ndani ya misimu mitatu ijayo wakiendelea kuhikilia hizo nafasi)
Arsenal kurudi kwenye top 6 itawachukua miaka 6-10 ali mradi tu wana mikakati ya kuwarudisha huko, wakiendelea kuwa kama walivyo sasa, FORGET ABOUT TOP 6
To be fair haya ni mawazo yako zaidi kuliko reliable sources zinavyosema.

Umetumia kuangalia timu ilipo kwenye msimamo kisha umefikia muafaka ambao hauko sahihi.
 
To be fair haya ni mawazo yako zaidi kuliko reliable sources zinavyosema.

Umetumia kuangalia timu ilipo kwenye msimamo kisha umefikia muafaka ambao hauko sahihi.
Mnazi huyo mzoee tu
 
Alexandre Lacazette on the difference between Emery & Arteta: “It is a completely different way to manage a squad, a team, a different tactical vision as well - it is hard to cite all the changes, there are so many. They have completely different visions.”
 
Hapo ndg hakuna point uliyoongea, fainali ya FA posibility ni 0.5, game hizi mbili posibility yake ilikuwa 0.75. kama ulisoma hesabu hasa za probability na kufaulu utanielewa
Tena kwa wale wanaobet, ODDS za Arsenal kushinda ni ndogo kuliko za Chelsea kushinda kwa hiyo Real probability ya Arsenal kuchukua kombe la FA ni less than 0.5
Makampuni mengi ya kubeti wanatoa hii average ODDS
Arsenal kushinda ni 3.40 maana yake unapokea mpunga mkubwa kwa sababu Arsenal kushinda ni miujiza
Arsenal na Chelsea kudroo ODDS ni 3.50 bado watakaobeti kwenye hii watapokea mpunga mkubwa kwa sababu nayo droo ni miujiza ya msimu
Chelsea kushinda ODDS ni 2.26, mpunga ni mdogo kwa sababu inajulikana kuwa Chelsea atashinda. Period
View attachment 1513333
View attachment 1513338
Yaani unaongozwa betting tips.
Hata wakati arsenal anacheza na City alipewa 9 na akashinda pia na liver vivyo hivyo na akashinda sasa sijui kama bado hamuelewi.
Kocha anabadilika kila wakati na mfumo si mmoja tatizo uelewa wenu kwenye ubashiri mnatumia wengine wasiojua kama ninyi tu.
Tunasema probability lakini if other things remains constant sasa hesabu za probability ulizosoma vipi zilivyokupa majibu kwa game ya liver na man city.

Usiishi kwa kukariri mpira wachezaji wote wanabadilika wakati wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadhani kuna interest yoyote ya Arsenal kumpa favor Aston Villa?

Kwa sisi Tanzania matokeo yanatupa favor kwa sababu ya Samatta kubaki ligi kuu.

Pia kwa mimi mshabiki wa Liverpool FC yananipa favor zaidi Watford akishuka, maana ndiye alijifanya kiherehere cha kuwa wa kwanza kunifunga.
Siyo kila favor ina faida kwa mtoa favor just a game.
Hata usizijue timu ila ukitazama zinapocheza utatamani moja ishinde ndiyo sasa Arsenal kwa hiari wameamua kumfavor Aston villa ukweli ni huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa kulitambua hilo mkuu, maana ulichezea mboko tatu tatu kutoka kwa sheffield na westham then ukaja kumpiga tatu manure na hi hiyo ndio consistency inayozungumziwa hapa...

Unaruka sarakasi na kanzu huku hujavaa nguo ya ndani

Tukutane Wembley
Teh.. huelewi hata consistency ni nini! Cant help
 
Back
Top Bottom