Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wachezaji wetu wanakusudi sn, wanachagua mechi za kucheza serious.Ulielewa tulipotezaje mechi ya Spurs?
Hawa kuanzia kocha, wachezaji mpaka washabiki wanaona mlango wa kutokea ni FA tu, maana katika ligi ilikuwa ngumu ukicompare na kule, mana kule ni game 1 tu....
Ila kila siku nasema huyu Kolasinac anatupotezea muda...
 
ZINGATIA "SHOTS ON TARGET"..
IMG-20200722-WA0003.jpg
 
Shida kupata winning momentum. Maana tutaingia fainali ya F.A tukiwa na rekodi ya kufungwa mechi 2 mfululizo( A. Villa + Watford lazima watutungue) hatuezi kumfunga chelsea coming from 2 losses. Wajinga kabisa hawa mechi ilikua inaboa sana. Alaaniwe aliemnunua Pepe badala ya W. Zaha
N.B: poleni wazee wa mikeka maana lazima mlimpa Arsenal leo
Hili ndio kosa kubwa atalolifanya Arteta, kupoteza hizi game mbili tena kwa timu za mikiani, kivyovyote vile fainali lazima tuletewe moto mkali sn tushindwe kuuzima.
 
Nketiah pia sio lazima acheze km lacca yupo sawa na Pepe yupo safi,hapa ndo nashindwaga kuelewa kabisa.
Leo alipanga kikosi hovyo jamaa yangu, kulikuwa na haja gani ya kumwanzisha Eddie na Alex pamoja?
Sasa si bora angeanza na Nelson alafu mmoja kati yao akaanza nje,
Then comb ya Granit na Dani inakuwa safi kuliko ya Torrera na Dani au Torrera na Granit,

Hivi Mateo yupo dah, tulishamsahau kabisa hizi ndio zilikuwa game zake,
 
nketiah willock nelson hta aston villa hawapati no so inakuwaje wanapata kwetu
arteta ana usenge flani ivii
Nketiah pia sio lazima acheze km lacca yupo sawa na Pepe yupo safi,hapa ndo nashindwaga kuelewa kabisa.
 
Haya poa.

Arsenal hatuna shot on target.

Man City walikua na on target 1 tu.

Mpira muda mwingi alikua nao Arsenal, usitishike tho, ilikua ni kuurudisha nyuma kuuleta pembeni kwa Cedric ambaye hakupiga hata cross moja yenye macho yet hakuacha kuendelea kupiga hizo cross na tukapoteza mpira unnecessarily.

Tulikua na watu 4 pale kati na wingers means watu 6 wangeweza kua pale. Ila mipira ilikua haikai, hatuna kiungo mwenye akili na ubunifu hatuna striker anayeweza kuamua kuibeba timu kwa kutembea na mpira na kushuti.

Tactic tuliyoitumia kwa City imetumiwa dhidi yetu. Beaten on our newfound game how about that? Na hatukua na cha kutunasua. Tulikua tunachekesha.

Juzi nilisema Lacazette siyo mzuri akiwa hana mpira as hawezi kukaba ila leo amekua hovyo hata alipokua na mpira.

Arteta alikuja gundua late kua kikosi alichokianzisha kina maandazi yapo mule mpaka anakuja kushtuka Asto walishaamua kuachana na 4 3 3 na kujipakia basi lao. Inanikumbusha Man U na Barca msimu uliopita Man U succesfully transformed 4 3 3 into 5 5.

Nataka nimuone mtu ambaye atasema Watford wameshinda kibahati. They deserved it, tulikua butu mno yaani hamna aliyeonekana anataka ushindi. Hata katika PS 3 au 4 mchezaji kama Nketiah huwezi kumuweka atokee pembeni as anakua na safari ndefu ili kuingia kati na hana pace, skills na nguvu so hua anaachwa kati kabisa.

Niliwahi sema Kolasinac na Tierney bora Tierney nikaambiwa mimi sijui kitu Kola anajitoa na ana nguvu, leo mtu kataka kuscore mbele yake tena mtu alivyomtoka mpaka nikashangaa.
 
Mmeshakubali Kama hii team ni takataka kama takataka nyengine
 
Pamoja na mapungufu tunayodai kocha kaonyesha au wachezaji ila sometimes scene ya hivi inatokea tu kwenye mpira;Timu ndogo kuiadhibu timu kubwa bila watu kutegemea.
Acheni kumlaumu sana kocha hadi kumtukana kisa kupoteza gemu moja hii.
Labda nae kuna mfumo alikuwa anajaribu kuutengeneza kuelekea gemu ya fainali,ukizingatia timu zilizo relegation zone ndo zakufanyiwa majaribio,na bahati mbaya mfumo huo umefeli.
 
Back
Top Bottom