
3.45 usiku
wembley stadium
Hapo kwa Chelsea ndo ulipokosea. Arteta hajamfunga bado Chelsea.M A T C H D A Y
-Mara ya mwisho Arsenal kumfunga Manchester City ilikua mwaka 2017 katika hatua kama hii ya Nusu Fainali ya Kombe la FA Cup.
-Mikel Artata amelitwaa Kombe hili la FA mara mbili akiwa kama mchezaji tena Captain wa Arsenal, Hivyo anahitaji kuendeleza rekodi yake katika kombe hili.
Tangu awe kocha wa Arsenal Mikel amefanikiwa kushinda baadhi ya Big Match ikiwemo Chelsea, Manchester United na Liverpool ni jambo kubwa sana kwake ikizingatiwa kocha aliepita alikua anafeli kwenye mechi kubwa.
View attachment 1510377
Kweli aisee nimekoseaHapo kwa Chelsea ndo ulipokosea. Arteta hajamfunga bado Chelsea.
Arsenal: Martinez; Mustafi, Luiz, Tierney; Bellerin, Ceballos, Xhaka, Maitland-Niles; Pepe, Lacazette, Aubameyang.View attachment 1510492
Bora tupambane hapa ,Tukamkute man u fainalTujiandae kwa lolote lile usiku wa leo, Mancity shughuli yake inafahamika kwetu nilipenda sana nipangiwe na Nyumbu a.k.a Manchester United niende Fainali lets wait!COYG Forever
Bora tupambane hapa ,Tukamkute man u fainal