Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi bado mechi inaendelea kujadiliwa kana kwamba Arsenal imeshindwa fainali ya world cup....wapi yule deluded gooner Wanja Mmoja? lol..

Btw, jitahidini kidogo mchukue Carling Cup, top 4 mwaka huu mnaeza kuisikia kwene bomba maana City na Spurs are looking sharper and more of finished goods, than your team of babies stuck in men bodies. Of course City if they improve in scoring goals and keep the confidence they can run away with it this year.

* ni maoni tu *
 

top 4 is guranteed under Wenger.
 

Maneno mengi kama umepewa peremende, if you wanna me I'm available through my PM. Arsenal ngoma kubwa tunaweza kubadili wachezaji na kushinda kama kawa shukuruni mnatumia marefa kuwasaidia. Utatuchukia sana mwaka huu we are here to stay.

Ati maoni? Who wants your biased opinion!
 


...kiukweli, mwenendo wetu msimu huu haufurahishi kiviiiile!
anyway, excuse ya less than 48-hours break na team reshuffling inakubalika. Tutange lijalo... :disapointed:

Referee kawabeba lakini amebania penalty ambayo ingetupa ushindi, kuna tofauti gani na ile ambayo Tottenham walipewa?
 
Haya vijana, next time muwe na adabu, na tabia ya kutukana mamba wakati mto NILE hamjavuka yatawatokea puani.
Salaamu kwa mjomba Wacha1.....mkalale sasa, acheni kulialia.


Mkuu mbona hivyo nyie mbona hamkushinda mechi yenu kule St. Andrews? Wacha ngebe?

Nyumba hii leo tena vipi hebu nisomeeni matokeo sina miwani..naona mnatiana vidole machoni kama kawa.lol

Nawe hata hujulikana unatokea wapi tuambie mafanikio ya timu yako basi? Au unashabikia timu ya vichochoroni?

Am so furious at AW...he is very unrealistic and unpractical sometimes and logically Wigan deserve this draw. You can't make 8 changes this isn't an FA cup....can't understand AW sometimes this is frustrating.

Uliangalia mpira au ni shabiki wa kusimuliwa? Kuna wachezaji 24 ambao unaruhusiwa kusajiliwa katika msimu sasa ulitaka wacheze wapi? Kwa mechi ya jana Arsenal bila mazingaombwe ya refa walikuwa washinde tafuta clips uangalie changes za wachezaji siyo ishu kivile unavyotaka tuamini.


Sometimes huwa umegubikwa kwenye ushabiki lakini ukiamua ndio hivyo tena .... ...
 

Kama kawaida yako Mzee wa kulialia mnaonewa,nahisi huwa unaangalia game za PS2
Washabiki wenzako wa Gunners hawakufurahishwa na Wenger kubadilisha kikosi lakini hakuna hata mmoja uliyempinga ,tukipinga sisi unakuja kwa jazba refa kawabeba
 
Kama kawaida yako Mzee wa kulialia mnaonewa,nahisi huwa unaangalia game za PS2
Washabiki wenzako wa Gunners hawakufurahishwa na Wenger kubadilisha kikosi lakini hakuna hata mmoja uliyempinga ,tukipinga sisi unakuja kwa jazba refa kawabeba


Mpira wewe umeuona au wa kusimuliwa JF? haya tupe basi uamuzi wako .....

Niambie tofauti ya penalty waliyopewa Spurs na ya jana walionyimwa Arsenal?
 

...halafu na English Media wanatuchukia aisee, si magazeti ya Sun, Daily Mail, Metro, hata BBC na SKY News nao wamo! Juzi tumempa Chelsea Kichapo wakaufyata kimyaaa, Draw ya jana wameikomalia eti Arsenal managed a draw with 'ten-man' Wigan!

duhhh, ...Wapenzi wa Spurs na Chelsea wamejaa kila kona aisee, duhh!
In Wenger-Ball We Trust:whoo:
 
Nikisomaga posts za deluded gooner brigade huwa nabaki kucheka mwenyewe..ati 'in Mr. Bean we Trust'..kwi kwi kwi

Lakini Mr. Bean kubadili wachezaji 8 alijitakia yeye mwenyewe..mbona vibabu akina Drogba, Lamps, Terry et al wamekipiga dakika 180 ktk masaa hayohayo? Deluded brigade led deluded comedian, aliwadharau Wigan wakati ni mwaka huu tu mapema waliwachapa 3-2.

BTW, yule ntoto Nzogbia alianza kumkimbiza Ebue tangia filimbi inapigwa, angebaki uwanajani yule ntoto kipigo kingine cha 3-2 kilikuwa njiani. lol
 



Mpira wewe umeuona au wa kusimuliwa JF? haya tupe basi uamuzi wako .....

Niambie tofauti ya penalty waliyopewa Spurs na ya jana walionyimwa Arsenal?

Kila timu inabebwa inategemea jinsi unavyotumia hiyo nafasi,hiki ni kipindi kigumu sana next game unaenda St Andrews then uwanja wa ugenini (Emirates ) dhidi ya Man City
 

Wacha ngebe umeulizwa twambie timu yako inafanya nini chacha njomba wacha kujishaua kama bibi? Khe khe kheeeeeeeeeeee

Kila timu inabebwa inategemea jinsi unavyotumia hiyo nafasi,hiki ni kipindi kigumu sana next game unaenda St Andrews then uwanja wa ugenini (Emirates ) dhidi ya Man City

Mkuu nimekuuliza maswali specific naona ukweli unao lakini unapiga kona , kama timu zote zinabebwa niambie sisi tumebebwa lini? Kama unakumbuka St. Andrews D. York alipewa Live na mtangazaji jinsi mnavyobebwa mbona hutaki kukubali ukweli? Eleza tofauti ya penalty ya Spurs na ya jana kwa Wigan? Mkuu Gunners ngoma nzito ndicho kinachowatia hofu .... .....


Wacha kusimuliwa kabumbu ione LIVE then njoo hapa na realiy analysis.

 
Kuhusu penati ya Spurs na jana Arsenal -two wrong dont make it right

Kadi nyekundu ya Joe Cole-Liverpool
Kadi nyekundu ya Boyata-Man City
Fabgregas alinawa mpira kama jamaa wa Wigan but hawakupewa penati
Chamakh amedive penati 2 ambazo hazistahili
Sijawahi kuigopa Arsenal hata kidogo kwani tumewahi kuwafunga goli 6,4,3,2
 


Which two wrongs? These are the same referees who operates with same rules unless its your team then its right. You drew at St. Andrews same as us its not that we lost a match, (i.e lost two points but the difference is that the referee favoured Wigan) I'm just pointing out to you that there isn't any justice in so many times when your team is involved but you turn a blind eye when its on our side.


Kuwahi kutufunga sio tatizo kwani Arsenal hajawahi kuwafunga? Take your pills mate!
 

Asa anko Wacha tutetee ma sisi basi, kuwa, Bowyer jana kabla ya kusawazisha lile goli dhidi yetu (Birmingham), alikuwa amenawa mpira kwa makusudi, apo la OFFSIDE lichunie tu kwa sasa. Au ndo mambo yaleyale ya DOUBLE STANDARD?
 

- "Ancelotti believes that the way Wenger sets out his teams to attack the opposition is the right way to approach matches. He pleases. We all like Arsenal's football. They give everyone a lot of joy. "You have to be able to defend well because they are very skilful up front." -

I prefer watching Arsenal playing 'WengerBall' or Barcelona, than the boring rest! :whoo:
 
Duh! ila nyie watu mnajua KULALAMIKA sijapata ona. Kazi ipo....
BTW Lini tunakuja Emirata kuchukua point zetu TATU za duru la pili?:whoo::redfaces::teeth:
 
Asa anko Wacha tutetee ma sisi basi, kuwa, Bowyer jana kabla ya kusawazisha lile goli dhidi yetu (Birmingham), alikuwa amenawa mpira kwa makusudi, apo la OFFSIDE lichunie tu kwa sasa. Au ndo mambo yaleyale ya DOUBLE STANDARD?


Kumbe wewe ni mwepesi wa kusahau, unakumbuka mechi yenu na Spurs ...... .....pics kwenye thread yenu ....




Duh! ila nyie watu mnajua KULALAMIKA sijapata ona. Kazi ipo....
BTW Lini tunakuja Emirata kuchukua point zetu TATU za duru la pili?:whoo::redfaces::teeth:

On your dreams mate. 30th April ndio utajua zipi ni mbivu usitegemee kumpata M. Dean khe khe kheeeeeeee.
 


...kiukweli, mwenendo wetu msimu huu haufurahishi kiviiiile!
anyway, excuse ya less than 48-hours break na team reshuffling inakubalika. Tutange lijalo... :disapointed:
hata mimi kwakweli nakatishwa tamaa sana na timu yetu kukosa consistency angalau kushinda mechi kumi mfululizo!
 


Tatizo wapenzi wengi wa Arsenal ni chavs who don't qualify to work in the English Media,....na ndio maana wanajihisi kuonewa na kila mtu asiyekuwa kama wao, na wanajitutumua kila wanapokuwa karibu au wanapoongea na mtu mwenye class kuliko wao....lol

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…