Angalia hii kitu.
Nikiongea na mashabiki wenzangu hata wa timu pinzani tunakubaliana kua Henderson akiwepo Liva ikicheza ni ngumu Liva kufungwa.
Pia tunakubaliana kua Kante anastabilize timu pale kati kwa Chelsea na kusaidia timu ikae na mpira na hata ukipotea waurudishe kwa haraka.
Ila mimi nikisema Arsenal hatuna shida ya beki tatizo letu ni kiungo wote wanakataa. Kwamba mnadhani Arsenal ina kiungo cha hatari kwa timu pinzani? In terms of attacking na defense?
Henderson akicheza timu ikiwa inashambuliwa jua kua yeye na Fabinho wanarudi kusapoti mabeki wanne. Yaani kwa kifupi ghafla kunakua na watu 6 wakikuzuia usiende kuscore. Wijnaldum ni attacker zaidi kuliko mlinzi.
Same kwa Chelsea na Kante na Jorginho wao.
Sisi tuna nani? Xhaka ambaye confidence imepungua. Guendouz, rafiki yake Relief Mirzska huyu hana stamina, speed na control na amekua na dharau siku hizi, Ceballos ni mzuri ila uzoefu hakuna, Torreira ambaye majeruhi humuandama na hana consistency.
Hua sielewi wanakua wanawaza nini wanaopinga.
Nikiongea na mashabiki wenzangu hata wa timu pinzani tunakubaliana kua Henderson akiwepo Liva ikicheza ni ngumu Liva kufungwa.
Pia tunakubaliana kua Kante anastabilize timu pale kati kwa Chelsea na kusaidia timu ikae na mpira na hata ukipotea waurudishe kwa haraka.
Ila mimi nikisema Arsenal hatuna shida ya beki tatizo letu ni kiungo wote wanakataa. Kwamba mnadhani Arsenal ina kiungo cha hatari kwa timu pinzani? In terms of attacking na defense?
Henderson akicheza timu ikiwa inashambuliwa jua kua yeye na Fabinho wanarudi kusapoti mabeki wanne. Yaani kwa kifupi ghafla kunakua na watu 6 wakikuzuia usiende kuscore. Wijnaldum ni attacker zaidi kuliko mlinzi.
Same kwa Chelsea na Kante na Jorginho wao.
Sisi tuna nani? Xhaka ambaye confidence imepungua. Guendouz, rafiki yake Relief Mirzska huyu hana stamina, speed na control na amekua na dharau siku hizi, Ceballos ni mzuri ila uzoefu hakuna, Torreira ambaye majeruhi humuandama na hana consistency.
Hua sielewi wanakua wanawaza nini wanaopinga.
..

Philippe Coutinho looks set to leave Barça and join Arsenal on loan. [sport]