Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii mibosi yetu inaweza ikarelax ngoja tushinde na hizi gemu ndogo ndogo zilizobaki kwa idadi kubwa ya magoli uone.Wanaweza kufikiri hapo tushakuwa bora kuliko Liverpool.
Hapana hakuna kitu kama hicho, bodies imeshaamua kitambo wanaenda sokon

Arteta ameshakuwa akisema zaid ya Mara 5 sasa ,anahitaji Quality players
 
Kuna huyo, Saliba, Mari, Luiz, Sokratis, Mustafi wote hao ni CB na bado tunaaminishwa eti tunahitaji mabeki na sisi tunakubali.
Watu wanaposema tunahitaji beki ni kwa maana kuwa hawajaridhika na viwango vya waliokuwepo,
Huwezi ukasajili na hawa wakaendelea kuwepo,ina maana ni baadhi yao wauzwe mfano Sokratic,Saed na Mustafi ,ikumbukwe pia Luiz ana 12months tu,
Lakini pia upande wa RB kuna mashaka makubwa maana Hector hayupo ktk ubora mzuri.
 
Kiungo cha Liva ni strong kinasapoti defense vizuri kikichanganyikiwa hiki na mwamba unatikiswa vizuri tu na unagundua kumbe Virgil ni overrated.

Hiki kiungo kimetumika kwa muda mkubwa, naamini ndiyo kinaelekea ama kinaanza kuelekea omega. Kocha akitumia akili za Ole za kutosajili kwa kuamini wakina Fabinho bado wapo na Minamino atamconvert kua CMF badala ya AMF basi na nyinyi mtaanza kuishi kwa matumaini.
Usichoelewa hapo muhimili wao mkuu ni Jordan Brian Henderson, asipokuwepo huyo Klopp mwenyewe anachanganyikiwa....na niliwaambia kwakuwa mwamba ni majeruhi,mimi nakaa na nikichinja
 
Eti hii ni yelow card ingekua kafanya yeye ungeambiwa ni serious foul na red card na VAR ingesimamia kidete na kuichunguza. Arnod yeye kapiga kilia na kushoto lakini kapewa kadi ya njano na wala haikuchunguzwa

VAR ni kitukoView attachment 1508146
Nilikuwa naitafuta sana hii,sisi huwaga tunaonewa sana aiseeeh...Auba aliifanya kama hii dhidi ya Palace, Eddie alifanya kama hii dhidi ya Leicester, na zote ni redcard straight.

Hawa liver wana zali sana kumaliza mechi wakiwa full, hii ni mbeleko dhahir
 
Watu wanaposema tunahitaji beki ni kwa maana kuwa hawajaridhika na viwango vya waliokuwepo,
Huwezi ukasajili na hawa wakaendelea kuwepo,ina maana ni baadhi yao wauzwe mfano Sokratic,Saed na Mustafi ,ikumbukwe pia Luiz ana 12months tu,
Lakini pia upande wa RB kuna mashaka makubwa maana Hector hayupo ktk ubora mzuri.
Mustafi ana rekodi nzuri kuliko van Dijk. Huu ni mzuri ndiyo sababu mimi hua nasema tatizo letu ni kiungo. Siyo beki
 
Jana binafsi sikuona umuhimu wa Pepe ila nilikuja kuona kuanzia dak 60..

Niligundua kwa nini mwalimu hamtoi... sababu ya mfumo wa counter... alimfanya Arnold kubaki nyuma pindi wanapo shambulia..


Niliona zaidi umuhimu wa Nelson tangu kipindi cha kwanza coz alikuwa ana haha ktk ukabaji na kukimbiza mipira..


Sema Ukiniuliza Man of the match kwa jana nitajibu KT sababu dogo akiwa uwanjani kwanza hana makosa mengi.. sababu anatambua anacho kifanya..kama ingekuwa anasoma shule angekuwa kilanja mkuu...



Ila performance ya XHAKA da huyu jamaa kwa sasa hivi amekuwa kama *joint ya timu* ndio mtu mwenye kuunganisha mbele na nyuma...


Saka alionekana kikwazo kikubwa kwa liva kwa kuweza kuficha mpira kila aupatapo..aliweza kumsaidia KT pale anapozidiwa...


Tujipange kwa Game zijazo ALLAH atufanyie wepesi tu..
 
Jana binafsi sikuona umuhimu wa Pepe ila nilikuja kuona kuanzia dak 60..

Niligundua kwa nini mwalimu hamtoi... sababu ya mfumo wa counter... alimfanya Arnold kubaki nyuma pindi wanapo shambulia..


Niliona zaidi umuhimu wa Nelson tangu kipindi cha kwanza coz alikuwa ana haha ktk ukabaji na kukimbiza mipira..


Sema Ukiniuliza Man of the match kwa jana nitajibu KT sababu dogo akiwa uwanjani kwanza hana makosa mengi.. sababu anatambua anacho kifanya..kama ingekuwa anasoma shule angekuwa kilanja mkuu...



Ila performance ya XHAKA da huyu jamaa kwa sasa hivi amekuwa kama *joint ya timu* ndio mtu mwenye kuunganisha mbele na nyuma...


Saka alionekana kikwazo kikubwa kwa liva kwa kuweza kuficha mpira kila aupatapo..aliweza kumsaidia KT pale anapozidiwa...


Tujipange kwa Game zijazo ALLAH atufanyie wepesi tu..
Xhaka ❤
 
Official:

Mavropanos has signed a new deal at Arsenal..... and joins Sttutgart on loan next season
IMG_20200716_065128.jpg
 
The use of super agents has come under scrutiny after recent deals for Cedric and a new contract for Luiz while Kia Joorabchian is keen on taking Willian and Philippe Coutinho to the Emirates. Willian could be a free agent this summer while Coutinho could be available on loan.
 
Back
Top Bottom