Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu wanaposema tunahitaji beki ni kwa maana kuwa hawajaridhika na viwango vya waliokuwepo,
Huwezi ukasajili na hawa wakaendelea kuwepo,ina maana ni baadhi yao wauzwe mfano Sokratic,Saed na Mustafi ,ikumbukwe pia Luiz ana 12months tu,
Lakini pia upande wa RB kuna mashaka makubwa maana Hector hayupo ktk ubora mzuri.
Hector yule ukitupia beki nzuri za kati anarudi kwenye ubora wake,yule tusijejichanganya kuuza, maji tutaita mma km kwa Gnabry.
 
Arsenal v Man City

FA Cup Semi-final at Wembley.

Arsenal will be in Red and White #arsenal #afc
IMG_20200716_215003.jpg
 
Arsenal v Man City

FA Cup Semi-final at Wembley.

Arsenal will be in Red and White #arsenal #afcView attachment 1508845
Tucheze formation gani tutoboe? Ingekua mimi napanga Auba, Martnell na Lacazette wawemo wote.

Formation iwe 3 4 1 2. Hii 1 awe Auba 2 awe Martnell na Lacazette

4 itakua Ceballos, Torreira, Xhaka na Niles.

3 itakua Luiz, Holding na Sokratis.
 
Tucheze formation gani tutoboe? Ingekua mimi napanga Auba, Martnell na Lacazette wawemo wote.

Formation iwe 3 4 1 2. Hii 1 awe Auba 2 awe Martnell na Lacazette

4 itakua Ceballos, Torreira, Xhaka na Niles.

3 itakua Luiz, Holding na Sokratis.
Martinell hayupo ,taarifa Jana imetoka atatejea hadi mwishon mwa mwaka 2020

Awali Arteta alienda na 4-4-2 ,tulikuwa compact had dk 40+ kabla luiz kuchoma

Mechi ya Jumamos , ni dhahiri tutaingia na

3-4-3

Nimesikia Cedric hatakuwepo sababu alishacheza FA na soton

So natarajia tuanze hivi

Martinez

Holding Mustafi Kolasinac

Bellerin Ceballos Xhaka. Kieran Tierny


Pepe. Laca Auba



Huu mfumo umekuwa unatusaidia kukaba na kuzuia kwa nidhamu , hata magoli tinayofungwa huwa ni individual error ,na sio structure

Ndio maana Arteta anahitaji Quality players

Sitapenda kuona Saka akianza upande wa Pepe , labda aanze kama LWB na KT acheze kwa Kolasinac

Utaratibu ni ule ule kupress , ni dhahiri hatutaweza kupossess mpira , hivo tutahitaji kutumia kaunta na kuwa press na kutumia nafasi ,mwisho tukabe kwa nidhamu

Hofu yangu ipo kwenye Sub tu, Anapoingia Willock, yeye hapossess zaid anazurula tu,

Kuanzia Auba ,laca ,pepe ,wamekuwa wanarud kusaidia kukaba , tofauti na akiingia Willock

Hii mechi ni ya lacazette
 
Atletico Madrid are preparing for Arsenal’s opening bid for midfielder Thomas Partey, who wants to join the club regardless if they qualify for a European competition this season or not. [@TheAFCBeII exclusive]
IMG_20200717_104939.jpg
 
Martinell hayupo ,taarifa Jana imetoka atatejea hadi mwishon mwa mwaka 2020

Awali Arteta alienda na 4-4-2 ,tulikuwa compact had dk 40+ kabla luiz kuchoma

Mechi ya Jumamos , ni dhahiri tutaingia na

3-4-3

Nimesikia Cedric hatakuwepo sababu alishacheza FA na soton

So natarajia tuanze hivi

Martinez

Holding Mustafi Kolasinac

Bellerin Ceballos Xhaka. Kieran Tierny


Pepe. Laca Auba



Huu mfumo umekuwa unatusaidia kukaba na kuzuia kwa nidhamu , hata magoli tinayofungwa huwa ni individual error ,na sio structure

Ndio maana Arteta anahitaji Quality players

Sitapenda kuona Saka akianza upande wa Pepe , labda aanze kama LWB na KT acheze kwa Kolasinac

Utaratibu ni ule ule kupress , ni dhahiri hatutaweza kupossess mpira , hivo tutahitaji kutumia kaunta na kuwa press na kutumia nafasi ,mwisho tukabe kwa nidhamu

Hofu yangu ipo kwenye Sub tu, Anapoingia Willock, yeye hapossess zaid anazurula tu,

Kuanzia Auba ,laca ,pepe ,wamekuwa wanarud kusaidia kukaba , tofauti na akiingia Willock

Hii mechi ni ya lacazette
Huyo Will lock nashangaa kwanini yupo uraiani mpaka muda huu???nilitegemea angekuwa lock up kwa kosa la uzurulaji....
 
Back
Top Bottom