Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Sasa kama yupo chini ya kiwangoIla game bila mashabiki sio kabisa, yaani man City anacheza chini ya kiwango cha hali ya juu.
Mbona hawa washika bunduki wanaachia tu magori yanaingia
Sasa kama yupo chini ya kiwangoIla game bila mashabiki sio kabisa, yaani man City anacheza chini ya kiwango cha hali ya juu.
Bora corona iwapige wachezaji wa epl ligi iwe suspended tenaThink the same. Nimelipia 44,000 this evining niangalie home hapa hahahaahahah.
Lakini Sisi wakongwe tushazoea hizi mambo
Ishu ni wachezaji sio kocha ngoja Arteta akione cha mtema kuniTutabadilisha makocha mpaka tukome
Acha kujidanganya ndugu. Wachezaji hawajipangi wenyewe uwanjani. Kocha ndio anapanga willock acheze na laca awe juu hahahaahahahahIshu ni wachezaji sio kocha ngoja Arteta akione cha mtema kuni
That's FACT umeongea tumempamba sana Arteta ila hatusogei tangia aje tulikuwa wa 10 now tupo wa 9 hii timu sijui ina shda gani who is to blame?Acha kujidanganya ndugu. Wachezaji hawajipangi wenyewe uwanjani. Kocha ndio anapanga willock acheze na laca awe juu hahahaahahahah
Kabisaaaaa
Alaumiwe Wenger tu hapa hamna jinsiThat's FACT umeongea tumempamba sana Arteta ila hatusogei tangia aje tulikuwa wa 10 now tupo wa 9 hii timu sijui ina shda gani who is to blame?
makosa yaananzia kwa kocha then wachezajiThat's FACT umeongea tumempamba sana Arteta ila hatusogei tangia aje tulikuwa wa 10 now tupo wa 9 hii timu sijui ina shda gani who is to blame?
Na hapo ndipo matatizo yote haya huanzia. Unajua bro huu ni zaidi ya mwaka wa 20 tunaangalia EPL on every single season.That's FACT umeongea tumempamba sana Arteta ila hatusogei tangia aje tulikuwa wa 10 now tupo wa 9 hii timu sijui ina shda gani who is to blame?
arsenal is dead alreadyNikiangalia aina ya transfers ambazo Man United anazifanya vs transfers za Arsenal, unaona kabisa ni nani ana uhitaji wa kurudi kwenye elite teams.
Haswaaaaa. Kwa mfano Leo kikosi kilipotoka tu almost kila mshabiki wa arsenal duniani alisema "Mmmh! Mbona kikosi hiki"??? Japo kocha ndio alikuwa kambini na wachezaji na Sisi hatujawaona for the last three months lakini bado watu wakawa na mashaka. Willock??????makosa yaananzia kwa kocha then wachezaji
Arsenal imeshakuwa timu ya PROJECT PLAYERS nothing changes mkuu Mmekwisha.That's FACT umeongea tumempamba sana Arteta ila hatusogei tangia aje tulikuwa wa 10 now tupo wa 9 hii timu sijui ina shda gani who is to blame?