Sokratis, Luiz ,Chambers ,Holding ,Mustafi, Lacazette,
Leno wapo wengi ambao ni are not good enough for this
club Hamtakuja ku compete
for anything ni Aubameyang peke yake ambaye unaweza kumuita World class playerat this club waliobakia ni
Takataka.
Mlitobolewa na haohao waliokufanya uchekeKabla ya mechi walisema leo Arteta alipanga very strong team,
Nikasoma tena line up nikakuta beki za kati ni Mustafi na Luiz...... nikacheeeeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wadau hpa wanadai mwandiko wake umefanana na wa milango mitatu!.. Hata mimi naanza kuona kama kuna ukweli!Wewe sio shabiki wa Arsenal ni Mnafiki wa kutupwa unajificha kwenye kivuli cha mashabiki wa Arsenal ila tunajua wewe ni shabiki mpinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Uefa iangalie hii ishu ya away goal... Ishapigiwa sana kelele watu wanapita kizembezembe tu.
Ushaona wapi natetea bao la ugenini
Kuhusu hilo usijali, Wenger atakuwa kaliona , hope atalifanyia kazi soonUefa iangalie hii ishu ya away goal... Ishapigiwa sana kelele watu wanapita kizembezembe tu.
Daah!.. Kwa kweli jqna sijalala vizuri!.. Kilichitusaidia na nyie mlipigwa kwa hiyo wakabaki wa Man u tu akina ARV.. Poleni sana na nyie jirani!
Olympiacos kashinda magoli mengi zaidi ugenini.Wakuu mimi sijaelewa kwanini arsenal ametoka wakati agg ni mbili kwa mbil na huku arsenal ana goal moja la ugenini
Pressure ya matokeo imechangia pia.Duuh! Kweli jana ilikuwa siku ya kufa nyani, Auba kakosaje goli pale!!