Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

pamoja na ushindi wa jana natamani haya yafanyike
PEA arudi ktk central position naamini tutapata magoli mengi sana

SAKA acheze no za mbele either right/left winger coz sio mzuri kwenye kukaba

CEBALLOS kwa vyovyote vile anatakiwa acheze tena on more advanced position either 8/10

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu saka ni MZURI sana kukaba , wakati anapewa hiyo nafasi ya LB , alishindwa kuwa mpigaj MZURI wa kross

Kadri siku zinavyoenda kaimarika kwenye Ku attack pia

Kule mbele namba ni ngumu kupata , maana Hiyo namba Anaicheza Martinel & auba
 
ORNSTEIN |

Arsenal wako katika mchakato wa kumuongezea Bukayo Saka mkataba mpya wa miaka 5, Saka mwenye miaka 18 amebakiza miezi 18 tu kwenye mkataba wake wa sasa.

#coyg
 
"Nime furahishwa sana, sio kwa lile goli tu hata wachezaji wenzake na wafanyakazi walivyo shangilia kwa sababu wameonyesha jinsi gani wana mpenda. Na ni kwa sababu jamaa (Lacazette) anajituma kila siku."


Mikel Arteta.

arsenalbongo_-20200217-0001.jpeg
 
Baada ya kupata ushindi mnono kocha Mkuu wa klabu ya Arsenal, Mikel Arteta, amesema kuwa nafasi ya kufuzu michuano ya klabu Bingwa Barani Ulaya msimu ujao itategemea na kiwango cha timu yake kuelekea michezo inayofuata ya ligi kuu England.
.
.
Kocha huyo amesema kuwa ategemei nafasi ya Mabingwa watetezi Manchester City, waliofungiwa kwa mda wa miaka miwili kushiriki michuano hiyo.
.
.
"Najua kuwa kama City, akimaliza ndani ya nne bora na mtu aliyopo nafasi ya tano kwenye ligi kuu England atakuchukua nafasi hiyo ya kucheza michuano ya klabu Bingwa Barani Ulaya msimu ujao lakini sisi tunahitaji tupambane ili tufuzu msimu ujao.
.
.
Wiki iliyopita tulipata sare dhidi ya Burnley, tunahitaji tuwe bora kila mechi ili tuweze kufuzu Michuano hiyo msimu ujao,"alisema Arteta.
.
.
Arteta, amesema kuwa alishituka kuona taarifa za Manchester City, Kufungiwa kwa sababu nimekuwa nina mahusiano mazuri na Pep Guardiola, stafu nzima pamoja na wachezaji wao najua kwa sasa wapo kwenye wakati mgumu sana.
 
kuna ishu ya Gunduz inaendelea ,inaonesha Dogo kuna ujinga amefanya huko Dubai ,hayupo serious

UK Media zinaripoti ndio manaa Jana alipigwa chini hata sub hakuwepo ,


Kama hali itakuwa hivi huenda akapigwa bei

Arsenal star Matteo Guendouzi is fighting for his Gunners future after claims of 'poor attitude' during Dubai training camp. Arsenal star Matteo Guendouzi is fighting for his Gunners future


Mikel Arteta on Guendouzi’s absence from the matchday squad against Newcastle:


“The reason is that players who, in my opinion, are training better, behaving better & are more applied to deliver on the pitch what we want, are the players that are selected.” [beIN]
 
KUNA HABARI HII JUU YA MATEO KUTOKUWEPO HATA BENCH JANA


kulingana na taarifa zilizopo hasa kutoka UK ni kwamba mateo kipindi timu ipo dubai hakuwa na mazungumzo mazuri na kocha na staff wake

kwa lugha zao huo wanasema alikuwa #heated_row na kocha yaani alitoa kauli kwa lugha za ukali hii inasababishwa na #emotional alikuwa na hasira

players huwa wana #attitudes zao mateo sio mara ya kwanza hata akiwa lorient aliwahi kufanya hvyo akasimamishwa , lakini pia mchezaji anatakiwa kuwajibika proffessionally akiwa ndani ya code of conduct

nafikiri hatua iliyo chukuliwa ni ya kinidhamu zaidi soon atarudi lakini inabidi kujitajidi ku control emotional zake wachezaji , bora wenye uendelevu wa viwango vyao hawakosi nidhamu

huyu bado ni #teenager anahitaji kujifunza zaidi kuliko kuruhusu #attitudes zake binafsi kuchukua maisha yake ya kisoka

IMG-20200217-WA0034.jpeg
 
Mkuu saka ni MZURI sana kukaba , wakati anapewa hiyo nafasi ya LB , alishindwa kuwa mpigaj MZURI wa kross

Kadri siku zinavyoenda kaimarika kwenye Ku attack pia

Kule mbele namba ni ngumu kupata , maana Hiyo namba Anaicheza Martinel & auba
Mkuu mimi naamini ubora zaidi wa Saka uko kwenye namba za mbele hasa akitokea pembeni, kumhamishia moja kwa moja na tatu ni kumnyima ya kuonesha uwezo wake wote aliokua nao,

Kwenye game zitakazo hitaji matumizi makubwa ya kimaumbile kucheza beki kutamsumbua, anaucheza tu kwasababu ana akili nyingi ya mpira ukiongeza na kujiamini kwake kunafanya aonekane kuimudu.

Zile takwimu za takeon alizokua kua nazo Jana ni takwimu zaikina Salah ,Messi na Mahrez. Nimawazo yangu lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In other news, Pablo Mari na Holding wanacheza dhidi ya Chelsea under-23 leo



Pablo Mari and Rob Holding in the Arsenal U23 squad tonight. [@jeorgebird] #afc
 
Mkuu mimi naamini ubora zaidi wa Saka uko kwenye namba za mbele hasa akitokea pembeni, kumhamishia moja kwa moja na tatu ni kumnyima ya kuonesha uwezo wake wote aliokua nao,

Kwenye game zitakazo hitaji matumizi makubwa ya kimaumbile kucheza beki kutamsumbua, anaucheza tu kwasababu ana akili nyingi ya mpira ukiongeza na kujiamini kwake kunafanya aonekane kuimudu.

Zile takwimu za takeon alizokua kua nazo Jana ni takwimu zaikina Salah ,Messi na Mahrez. Nimawazo yangu lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi , ila yule ni versatile player

Timu ya vijana anachezaga LEFT BACK ,


Kwenye LB kiukweli ni mfupi kuwin Aerial duel ,ila anajua sana kukaba ,

Mech na Chelsea alimnyima kabisa Odoi kufanya take ons mbele yake , akawa ana miss kupiga kross vzr ,


Na kucheza LEFT WINGER anaweza maana ndio namba ambayo Freddie amemtumia Kule Academy, huku timu ya taifa wakimtumia as LB

Tatizo linakuja Arsenal bado wanatafuta LW , na bado hiyo namba anaicheza Martinel ,na Auba


Cha muhimu aendelee kufanya vzr apambanie namba

Maana hata LB anawatishia nafas kina kola ,
 
Mkuu mimi naamini ubora zaidi wa Saka uko kwenye namba za mbele hasa akitokea pembeni, kumhamishia moja kwa moja na tatu ni kumnyima ya kuonesha uwezo wake wote aliokua nao,

Kwenye game zitakazo hitaji matumizi makubwa ya kimaumbile kucheza beki kutamsumbua, anaucheza tu kwasababu ana akili nyingi ya mpira ukiongeza na kujiamini kwake kunafanya aonekane kuimudu.

Zile takwimu za takeon alizokua kua nazo Jana ni takwimu zaikina Salah ,Messi na Mahrez. Nimawazo yangu lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
uko sawa kabisa kwa physical battle Saka tutakuja kumlaumu tu kikubwa ni hicho ulichokisema tutamnyima nafasi ya kuonesha uwezo wake wote

Pia anasababisha xhaka kuconcerate in left position wakati dogo anashambulia as result xhaka anamwacha one mido in midfilder line.Kama uliona jana ceballos alicheza chini sana ku offer defensive line wakati tuna mpira na hatuna mpira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uko sawa kabisa kwa physical battle Saka tutakuja kumlaumu tu kikubwa ni hicho ulichokisema tutamnyima nafasi ya kuonesha uwezo wake wote

Pia anasababisha xhaka kuconcerate in left position wakati dogo anashambulia as result xhaka anamwacha one mido in midfilder line.Kama uliona jana ceballos alicheza chini sana ku offer defensive line wakati tuna mpira na hatuna mpira

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio kwamba , Saka anasababisha Xhaka Ku concentrate in Left

Ndio Tactic za Arteta zilivyo toka Amekuja Arsenal

Tunaposhambulia tunatumia 2-3-5

Saka anaenda kuungana na kina Auba ozil pepe laca/nketiah

Na kufanya attacking wawe watano

Kazi ya xhaka ni kupiga Range balls na diagonal pass kwa LB ambaye anatakiwa kupanda mbele ,

Halafu eneo lake. linakuwa covered na Xhaka


Ndio maana ARTETA alifanya juu chin xhaka abaki, kwanza alitaka mtu anayetumia Left foot

Angalia magoli yote tunayofunga ,kunakuwa na watu wanne had watano ndan ya box

Angalia goli la pepe Jana hata na man u

IMG_20200217_184016.jpeg
 
pamoja na ushindi wa jana natamani haya yafanyike
PEA arudi ktk central position naamini tutapata magoli mengi sana

SAKA acheze no za mbele either right/left winger coz sio mzuri kwenye kukaba

CEBALLOS kwa vyovyote vile anatakiwa acheze tena on more advanced position either 8/10

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Kweli tunatofautiana kuona! Kiukweli mimi naona saka anacheza vizuri left back kuliko akicheza kama winger. Na kwa kweli toka aanze kucheza kama left back sijawahi kuyaona makosa ua wazi aliyofanya!. Na badala yake amesaidia sana kuimalisha huko nyuma..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah! Kweli tunatofautiana kuona! Kiukweli mimi naona saka anacheza vizuri left back kuliko akicheza kama winger. Na kwa kweli toka aanze kucheza kama left back sijawahi kuyaona makosa ua wazi aliyofanya!. Na badala yake amesaidia sana kuimalisha huko nyuma..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, hata mimi ameniridhisha sana kwenye nafasi hiyo. Hana makosa ya kuwa out of position na pia kwenye kupanda kusaidia mashambulizi ana akili sana ya kucheza na mpira.

Ukiangalia yeye na Bellerin utaona Saka anasaidia sana mashambulizi. Dogo apewe mikoba ya hiyo nafasi ukizingatia ndio kwanza ana 18.Huyu ni Cole mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenger kamjibu Unai emery kuwa aliikuta Arsenal ilishapotea toka miaka miwili nyuma ,


Arsene Wenger dismisses Unai Emery's assertion that Arsenal 'were in decline' : 'In 2017 we made 75 points and won the FA Cup so you cannot say that [Arsenal were in decline] and the year before [2016] we finished second in the league"

"2018 was my last year but it is very difficult to come out on that. Arsenal is a club that is in a very strong position financially. It has good players, after that when you are a manager you have to stand up for what you do and your result and not look around you.

That is the only thing you can do."
Uongo ukiachwa hugeuka ukweli

Emery amekuwa akifanya interview anajinasibu , Alikuta Arsenal imeshapotea toka miaka miwili na yeye ndio aliirudisha

Wakati kakuta timu ina forward mbili za £100m , bado akaongeza na watu

Kakuta timu ipo vzr financially , bado inavutia kwa soka zuri


Wenger kamjibu vzr

"when you are a manager you have to stand up for what you do and your result and not look around you.

That is the only thing you can do."
 
Saka kwa mziki wa pale mbele hatoboi mzee... Wacha acheze hapohapo 3 mbona pamemfiti sana tu... Kama kuna mechi inahitaji mabavu sana atampanga hata Kola au Tierney.
Mkuu mimi naamini ubora zaidi wa Saka uko kwenye namba za mbele hasa akitokea pembeni, kumhamishia moja kwa moja na tatu ni kumnyima ya kuonesha uwezo wake wote aliokua nao,

Kwenye game zitakazo hitaji matumizi makubwa ya kimaumbile kucheza beki kutamsumbua, anaucheza tu kwasababu ana akili nyingi ya mpira ukiongeza na kujiamini kwake kunafanya aonekane kuimudu.

Zile takwimu za takeon alizokua kua nazo Jana ni takwimu zaikina Salah ,Messi na Mahrez. Nimawazo yangu lakini

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi anacheza kama winger akipangwa kwenye premier watu walikuwa wakilalamika humu kuwa Emery anachezesha vitoto na kweli alikuwa hafanyi jambo kubwa... Ila nakumbuka kipindi lumberg anaanza kumchezesha hiyo nafasi watu waliponda kweli hasa milangomitatu ila kadri muda ulivyokuwa ukienda sauti ya redio iliendelea kupungua na mwisho redio ikazima...Hii inaonyesha Dogo hiyo nafasi anaimudu zaidi...Halafu kuhamishwa namba ni kawaida mbona Hector alikuja kama winger ila mzee Wenger akampeleka no 2 na ndiyo nafasi yake hadi leo.
Daah! Kweli tunatofautiana kuona! Kiukweli mimi naona saka anacheza vizuri left back kuliko akicheza kama winger. Na kwa kweli toka aanze kucheza kama left back sijawahi kuyaona makosa ua wazi aliyofanya!. Na badala yake amesaidia sana kuimalisha huko nyuma..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom