Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Mkuu saka ni MZURI sana kukaba , wakati anapewa hiyo nafasi ya LB , alishindwa kuwa mpigaj MZURI wa krosspamoja na ushindi wa jana natamani haya yafanyike
PEA arudi ktk central position naamini tutapata magoli mengi sana
SAKA acheze no za mbele either right/left winger coz sio mzuri kwenye kukaba
CEBALLOS kwa vyovyote vile anatakiwa acheze tena on more advanced position either 8/10
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadri siku zinavyoenda kaimarika kwenye Ku attack pia
Kule mbele namba ni ngumu kupata , maana Hiyo namba Anaicheza Martinel & auba