Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Pathetic


inachekesha.
Team sijui walikuwa wanajirusha na Malaya wa Dubai? Still unimpressive
Jamaa wana energy yakutosha aisee halafu wanakaba wengi sana tunakazi humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona tumeanza kucheza vizuri sana. Tumetengeneza nafasi za kutosha.4-5-1 formation imewachanganya arsenal
Hiv hamna left back tofauti na SAKA ?






Hiv hamna left back tofauti na SAKA ?
Sawa anastahili kukaa Bench ila kwa nani?He deserves to be benched, his form has been poor after Xmas
Hahahahaha hukumbuki walichowafanya kina Longstaff????Upande wa pili kuna watu walioshiba Joelinton, Longstaf, Saint Maxima, Almorin nyie mna Kipepe na Sakainachekesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna wanavyocheza Newcastle nguvu ya Kola inahitajika sana kuna kipindi Saka nguvu ya kuingia kwa kulazimisha inamshinda,Arteta aangalie sana Xhaka atakuja kutugarimu humu ikiwezekana ampe dakika kadhaa ampeleke nje tu.Kolasinac on the bench
Shida ipo katika team selection ila tuwe na subira nafikiri kuna kitu anataka kuproveKwa namna wanavyocheza Newcastle nguvu ya Kola inahitajika sana kuna kipindi Saka nguvu ya kuingia kwa kulazimisha inamshinda,Arteta aangalie sana Xhaka atakuja kutugarimu humu ikiwezekana ampe dakika kadhaa ampeleke nje tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wanacheza 5.4.1 kwenye kukabaNaongelea formation ya wapinzani