Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa namna wanavyocheza Newcastle nguvu ya Kola inahitajika sana kuna kipindi Saka nguvu ya kuingia kwa kulazimisha inamshinda,Arteta aangalie sana Xhaka atakuja kutugarimu humu ikiwezekana ampe dakika kadhaa ampeleke nje tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo katika team selection ila tuwe na subira nafikiri kuna kitu anataka kuprove

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom