Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
New Players Tunnel installed this week at the Emirates Stadium, see it being used for Arsenal v Newcastle
#ARSNEW
#ARSNEW
#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY
nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP
niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa
kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)
lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit
kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao
hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways
hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo
ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.
nafikiri tujifunze kujurge kwenye right wayNadhani sasa yule kanjanja Milango Mitatu atakuwa ameelewa vizuri..#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY
nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP
niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa
kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)
lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit
kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao
hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways
hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo
ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.
nafikiri tujifunze kujurge kwenye right way
View attachment 1357899
Man City sijui wataishije sipatii picha wachezaji wao jana nlikuwa naangalia uchambuzi sky sports wanasema wachezaji morali ya kucheza itashuka sana sababu watu wanapambana kushiriki mashindano makubwa sasa hivi watakuwa wanacheza halafu mtu wa 5 anaenda zake champions league itawapunguzia sana morali#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY
nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP
niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa
kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)
lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit
kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao
hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways
hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo
ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.
nafikiri tujifunze kujurge kwenye right way
View attachment 1357899
Yaani watu wameng'ang'ia tusajili wachezaji wa gharama kubwa, kumbe hawajui tutakuwa tunajitia kitanzi!.. Akili ni kywa kama liver, yaani mnanunua baadhi ya wachezaji kwa pesa ndogo sana na world class players wachache ambao watasaidia kukipa ubora kikosi!... Kwa mfano kwa vile dirisha hili tumetumia pesa kidogo hiyo itatupa nafasi kuja kusajili hata wachezaji wawili wa kariba ya upamecano.Tatizo washangiliaji hawaelewi ni washabiki wa soka ndio tunaelewa maana ya soka na tunaridhika na kile tukipatacho kulingana na urefu wa kamba yetu....
FFP sio ya city tu hata sisi yaweza kutukumba,kwahiyo ile mikelele ya lete wanaume sijui makitu gani nadhani itapungua....
We are Arsenal
COYG
ENJOY SOCCER
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli nafasi bado ipoPambaneni sasa nafasi ya Urfa bado ipo.
Kesho muda kama huu tutasema woyooooo kwa ushindi dhidi ya NEWCASTLE kesho tusipopata point 3 ntaumwa na maumivu kesho Msemo ni woyoooooo point 3 kibindioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Newcastle lazima tumfunge, wachezaji watuonyeshe manufaa ya break ya ArabuniKesho muda kama huu tutasema woyooooo kwa ushindi dhidi ya NEWCASTLE kesho tusipopata point 3 ntaumwa na maumivu kesho Msemo ni woyoooooo point 3 kibindioni
Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna kipindi Dully JR alisema milango mitatu ni ARV nimeona kwenye comments za nyuma sasa unasema Mimi ni milango mitatu sijui ukweli upo wapi?matokeo tofauti ya Leo ambayo hayatakuwa ni point 3 lazima tuogope sio kulalamika maana mpaka sasa tupo nafasi ya 11 sawa na newcastleBANDUGU ISIJEKUA NI YULE MILANGO UMERUDI KINAMNA??!!! MAANA NAKUONA UTAVYOLALAMIKA MATOKEO YAKIWA TOFAUTI.
Point 3 ndio muhimu hakuna jingineNewcastle lazima tumfunge, wachezaji watuonyeshe manufaa ya break ya Arabuni![]()
Kwa hiyo wewe unatuaminisha milango mitatu sio ARV ?Kuna kipindi Dully JR alisema milango mitatu ni ARV nimeona kwenye comments za nyuma sasa unasema Mimi ni milango mitatu sijui ukweli upo wapi?matokeo tofauti ya Leo ambayo hayatakuwa ni point 3 lazima tuogope sio kulalamika maana mpaka sasa tupo nafasi ya 11 sawa na newcastle
Sent using Jamii Forums mobile app
BANDUGU ISIJEKUA NI YULE MILANGO UMERUDI KINAMNA??!!! MAANA NAKUONA UTAVYOLALAMIKA MATOKEO YAKIWA TOFAUTI.















Yeye ndo kasema sasa mtu akikwambia mfano wewe ni Aaron Arsenal kumbe si kweli unamuachia yeye ajiulize na ajijibu sisi tunasubiri baada ya mechi tupate matokeoKwa hiyo wewe unatuaminisha milango mitatu sio ARV ?
Endelea kuota. Tazama timu yako. Au unadhani wote watashushwa ili wew ndo uingie? Pambana