Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

New Players Tunnel installed this week at the Emirates Stadium, see it being used for Arsenal v Newcastle

#ARSNEW
FB_IMG_1581710923370.jpeg
FB_IMG_1581710918327.jpeg
FB_IMG_1581710908418.jpeg
 
#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY

nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP

niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa

kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)

lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit

kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao

hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways

hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo

ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.

nafikiri tujifunze kujurge kwenye right way

IMG-20200214-WA0025.jpeg
 
#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY

nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP

niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa

kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)

lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit

kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao

hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways

hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo

ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.

nafikiri tujifunze kujurge kwenye right way

View attachment 1357899
Nadhani sasa yule kanjanja Milango Mitatu atakuwa ameelewa vizuri..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#HEBU TUJIFUNZE KUTOKANA NA SWALA LA MAN CITY

nilichofanikiwa kupata kuhusu hawa watu na sheria hizo za FFP

niliwahi kuandika na kusema sheria hizi ziko open tu unafanikiwa kutumia kulingana na kile ulichoingiza kimapato, vile vile nikaongeza pesa nje ya mapato ya team kimpira ni makosa

kosa la man city ni kitambo kidogo 2012-2016 man city walisubmit report yao ya mapato wakionesha faida kubwa waliyopata kutokana na sposonship revenue ( mapato ya mdhamini)

lakini ilikuwa sio kweli walifanya overstating kwani faida ya sponsoship(udhamini) haikuwa hiyo waliyo submit

kulingana na investgation iliyofanyika faida ya city kwa mikataba ya udhamini ambayo ni Etihad shirt sponship na academy ni £ 8m lakini city walisema ni £ 67m kwenye taarifa zao

hivyo basi kati ya hiyo £67m ukitoa 8 pesa iliyobaki ni nje ya mpira na ilitoka direct kwa kina mansoor na shirika lao abu dhabi na Etihad air ways

hivyo wamevunja sheria ndio board hiyo ya uchunguzi kufikia maamuzi hayo

ili ni funzo kwetu kulia pesa,za kroenke ambazo sio za mpira afanye uwekezaji tunatakiwa kuwekeza kwa mapato yaliyopo na mapato ya Arsenal yamepungua kutokana na kukosa UCL, kushuka mauzo ya wachezaji na viingilio uwanjani.

nafikiri tujifunze kujurge kwenye right way

View attachment 1357899
Man City sijui wataishije sipatii picha wachezaji wao jana nlikuwa naangalia uchambuzi sky sports wanasema wachezaji morali ya kucheza itashuka sana sababu watu wanapambana kushiriki mashindano makubwa sasa hivi watakuwa wanacheza halafu mtu wa 5 anaenda zake champions league itawapunguzia sana morali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo washangiliaji hawaelewi ni washabiki wa soka ndio tunaelewa maana ya soka na tunaridhika na kile tukipatacho kulingana na urefu wa kamba yetu....

FFP sio ya city tu hata sisi yaweza kutukumba,kwahiyo ile mikelele ya lete wanaume sijui makitu gani nadhani itapungua....
We are Arsenal
COYG



ENJOY SOCCER

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo washangiliaji hawaelewi ni washabiki wa soka ndio tunaelewa maana ya soka na tunaridhika na kile tukipatacho kulingana na urefu wa kamba yetu....

FFP sio ya city tu hata sisi yaweza kutukumba,kwahiyo ile mikelele ya lete wanaume sijui makitu gani nadhani itapungua....
We are Arsenal
COYG



ENJOY SOCCER

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu wameng'ang'ia tusajili wachezaji wa gharama kubwa, kumbe hawajui tutakuwa tunajitia kitanzi!.. Akili ni kywa kama liver, yaani mnanunua baadhi ya wachezaji kwa pesa ndogo sana na world class players wachache ambao watasaidia kukipa ubora kikosi!... Kwa mfano kwa vile dirisha hili tumetumia pesa kidogo hiyo itatupa nafasi kuja kusajili hata wachezaji wawili wa kariba ya upamecano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BANDUGU ISIJEKUA NI YULE MILANGO UMERUDI KINAMNA??!!! MAANA NAKUONA UTAVYOLALAMIKA MATOKEO YAKIWA TOFAUTI.
Kuna kipindi Dully JR alisema milango mitatu ni ARV nimeona kwenye comments za nyuma sasa unasema Mimi ni milango mitatu sijui ukweli upo wapi?matokeo tofauti ya Leo ambayo hayatakuwa ni point 3 lazima tuogope sio kulalamika maana mpaka sasa tupo nafasi ya 11 sawa na newcastle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi Dully JR alisema milango mitatu ni ARV nimeona kwenye comments za nyuma sasa unasema Mimi ni milango mitatu sijui ukweli upo wapi?matokeo tofauti ya Leo ambayo hayatakuwa ni point 3 lazima tuogope sio kulalamika maana mpaka sasa tupo nafasi ya 11 sawa na newcastle

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unatuaminisha milango mitatu sio ARV ?
 
Back
Top Bottom