Arsenal (The Gunners) | Special Thread

acha wakale maisha tu hakuna namna
Hahaha mkuu unanichekesha hahahaha halafu kwa sasa tukubali Lacazette na Aubameyang hawawezi kucheza pamoja hili inabidi tukubaliane kama tunataka ushindi lazima Aubameyang awe centre hapo bila hvyo tutaishia kila weekend kuzivua jezi kwa kuona aibu

Nafuraha Leo bado tupo top 10 hii ndo furaha sababu ilikuwa tufungwe Leo ila tumejaliwa kupata sare ila najiuliza bado tuna mechi 13 kuna wolves man city liverpool Leicester spurs bado hatujacheza nao na matokeo na poor poor performance ndo hii kweli tutanusurika?hali ni mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavyosema "mkishinda" kama vile mna bonge la timu la maajabu. Kumbe ndo hii ya kina Lacazette, Ozil mliyekuwa mnamlilia, Gunduzi, Willock etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaron alikuwa anasifia hapa timu inacheza mpira mzuri sana sana chini ya Arteta.

Leo nikasema wacha nione huo mpira mtamu dah ghafla movie ikabadilika kuwa ya mazombie

Sent using Cash Money Wings
Mkuu kiukweli kwa gemu zilizopita mpira ulikua unapigwa mwingi mabeki ndio walikua wanatukosti ila leo Arteta sijui ameamkaje akaamua kuanzisha watu wa ajabu matokeo yake hakuna mpira mzuri wala point tatu
 
Acha kuicheza Chelsea kwenye vitu vya kipuuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ozil mia ceballos mmoja..,mi nachukua ceballos mmoja... Huwa nakereka tu nikimuona ozil anaanza halafu una miguu ya dhahabu benchi....Na nilichefuka zaidi niliposoma arteta kamkumbatia ozil halafu watu wameleta dau.., $ema nilipocheki jukwaa nikaona linaenda vzr nikasema wacha nisichefue watu... Ila kwa hili arteta kafeli(kazingua).
 
Leo namlaumu ARTETA yeye ndo kaanza kuonyesha Chuki za waziwazi na nimemuona ana roho mbaya sana sana yaani tumezidiwa unamuingiza willock(hakuna shabiki wa Arsenal anayempenda jamaa) huku ceballos mtaalamu yupo nje then unamuingiza nketiah ambaye hata leeds hakuweza kupata namba unamuacha pepe nje dah Leo ndo nimeamini wacatalunya wana roho mbaya na ngumu sana na akiendelea na hii tabia hata hizi mechi zijazo zote tunacheza home hatutapata matokeo
Kazi ya willock ni kutema mate tu uwanjani mpira haujui ila kocha sababu anamchukia ceballos anaona ni bora huyu acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha daahh

Arteta ni fundi ila leo kazingua point tatu zilikua muhimu sana ila akaamua kuanzisha wachezaji anaowaamini lakin wameshindwa kumpatia matokeo
 
Uyu Ozil angeenda tu

Wazee kuhusu swala la lacazete nadhani ni mda sasa umefika akae benchi aangalie wengine wakipambana sijui kwanini Arteta kaamua kumng'ang'ania kumuanzisha kila gemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…