Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mambo si mabaya
Ahsante Jirani!Naona timu inasukwa in Arteta's way. Hongera washika bunduki...
Yupo vizuri auArsenal look to be closing in on a late move for Southampton full-back Cedric Soares.
Ni dhahiri Ceballos anaondoka
Niles Atarudishwa eneo la Midfield
Cedric anakuja kusaidiana na Hector bellerinView attachment 1339763
Sio jirani huyo... Ni mwenzio
Asante kwa kumsahihisha...Sio jirani huyo... Ni mwenzio
Itapendeza zaidi kama wataongeza na attacking midfielder mmoja. Ozil ameelekea ukingoni, Ceballos ndio hivyo anaondoka. Kumtegemea Willock/AMN kwenye midfield ni kujitakia matatizo zaidi.Usajili sio mbaya na kama tutapata beki wawili hao itakuwa mwake na huyu beki wa SOUTHAMPTON namjua yupo vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu huyo beki nimemkubali ,halafu anapiga left na rightUsajili sio mbaya na kama tutapata beki wawili hao itakuwa mwake na huyu beki wa SOUTHAMPTON namjua yupo vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekano ceballos akabakiItapendeza zaidi kama wataongeza na attacking midfielder mmoja. Ozil ameelekea ukingoni, Ceballos ndio hivyo anaondoka. Kumtegemea Willock/AMN kwenye midfield ni kujitakia matatizo zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shda maddison hawez kupatikana July ila lazima tupate mbadala wa OZIL Brazil kuna wachezaji wakali sana huko viongozi waende huko kwa sasa OZIL hana jipya kwa sasa na Mwaka huu anaingia 32 ndo kabisaa kiwango kinafifiaItapendeza zaidi kama wataongeza na attacking midfielder mmoja. Ozil ameelekea ukingoni, Ceballos ndio hivyo anaondoka. Kumtegemea Willock/AMN kwenye midfield ni kujitakia matatizo zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi nimefuatilia kiwango chake yupo vizuri kabisaMwanangu huyo beki nimemkubali ,halafu anapiga left na right