Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kama nilivyosema mchana baado hatuna consistency nzr tupo kwenye kipindi cha mpito so mpira ni burudani twende tupate burudani...tumejitahidi sana kupata point moja,
fans wa Chelsea wameumia sana Kukosa point 3...
Arteta anajua nn anafanya yupo sahihi kabisa maamuzi yake....sioni makosa ya wazi kwa arteta
fans wa Chelsea wameumia sana Kukosa point 3...
Arteta anajua nn anafanya yupo sahihi kabisa maamuzi yake....sioni makosa ya wazi kwa arteta
Gabriel Martinelli: baller
Nasemaje fundi haangaliwi kwa mechi 10 kama hao sijui wakina WILLOCK