DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Huyu Ozil alitakiwa asirudi uwanjani timu inavyoingia kutoka mapumziko.....bora angeanza Dani,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHA TUTAELEWANA TU NAKWAMBIA HATUNA NAMBA 10 SISI HUYU KAZEEKA TUNAISHI KWA HISTORIA YAKE MNASEMA MIMI MAMLUKI NA MATTEO NDO KAINGIA BIASHARA INAZIDI KUFIFIAHuyu Ozil alitakiwa asirudi uwanjani timu inavyoingia kutoka mapumziko.....bora angeanza Dani,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ARTETA anakosea sana???Yan huyu mjinga uwa anaigharimu sna team yenu.. Mm uwa najiuliza ivi kocha unampanga Mustafi kwl kbs.. Yan angetakiwa awe tyr ameuzwa sik nyng
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini kwamba hili nalo litapita.....hivi uliiona Monaco ile ya kina Mbappe,Lema,Bakayoko na Bernado???? Then ile ya last season aliyokuwa nayo Henry????ndio maana halisi ya shida na raha.TUSHINDE SASA HAPA NDO PANA SHDA ASTON VILLA BOURNEMOUTH SOUTHAMPTON WALE WOTE WALIOPO CHINI WANAZIDI KUSHINDA WANATUSOGELEA TU 6 POINTS FROM RELEGATION MSIMU HUU MBAYA SANA ARTETA AMTAFUTE WENGER AMPE MBINU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna anayebisha kuhusu ubovu wa viwango vya wachezaji wetu,tatizo ndio tulionao sasa ni lazma tuwasapoti mzee,HAHAHA TUTAELEWANA TU NAKWAMBIA HATUNA NAMBA 10 SISI HUYU KAZEEKA TUNAISHI KWA HISTORIA YAKE MNASEMA MIMI MAMLUKI NA MATTEO NDO KAINGIA BIASHARA INAZIDI KUFIFIA
DANI YUPO MTAALAMU HAMCHEZESHI HUYU NAYE ARTETA NI ANAJITAKA KUJIFANYA NI GUARDIOLA WAKATI NI MCHUMBA TU
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado najiuliza Dani Ceballos amekosa nini ku-fit kwenye mfumo wa Arteta?HAHAHA TUTAELEWANA TU NAKWAMBIA HATUNA NAMBA 10 SISI HUYU KAZEEKA TUNAISHI KWA HISTORIA YAKE MNASEMA MIMI MAMLUKI NA MATTEO NDO KAINGIA BIASHARA INAZIDI KUFIFIA
DANI YUPO MTAALAMU HAMCHEZESHI HUYU NAYE ARTETA NI ANAJITAKA KUJIFANYA NI GUARDIOLA WAKATI NI MCHUMBA TU
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMEKUSOMAHakuna anayebisha kuhusu ubovu wa viwango vya wachezaji wetu,tatizo ndio tulionao sasa ni lazma tuwasapoti mzee,
Hii ndio Arsenal yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
HATA SIJUI NINI SHDABado najiuliza Dani Ceballos amekosa nini ku-fit kwenye mfumo wa Arteta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tumuacheni kocha afanye kazi yake, sisi tunamuona ni shujaa wetuLbd ndo shida yenu pia.. Maana me sioni arteta anaona nn kwa Mustafi ambacho ni special sioni kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sijamkataa kocha wenu mkuu...hata mm naamin Arteta akipewa mda ataisaidia Arsenal lkn mm shida yng ni kumpanga tu Mustafi ambaye kila mtu anamjua vzr Mustafi na kutoa boko ni kama 5 na 6Hebu tumuacheni kocha afanye kazi yake, sisi tunamuona ni shujaa wetu
Muacheni kocha afanye kazi yake. Ujuaji wa nini???
Mkuu kila ukiongea sana ndio unazidi kudhihirisha kwamba pengine wewe ni mnazi tu wa arsenal. Pengine huna knowledge kuhusu footballHAHAHA TUTAELEWANA TU NAKWAMBIA HATUNA NAMBA 10 SISI HUYU KAZEEKA TUNAISHI KWA HISTORIA YAKE MNASEMA MIMI MAMLUKI NA MATTEO NDO KAINGIA BIASHARA INAZIDI KUFIFIA
DANI YUPO MTAALAMU HAMCHEZESHI HUYU NAYE ARTETA NI ANAJITAKA KUJIFANYA NI GUARDIOLA WAKATI NI MCHUMBA TU
Sent using Jamii Forums mobile app