Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MPAKA SASA TUMEKAA POINT 6 PEKEE KUSHUKA DARAJA MANINA NEXT GAME DHIDI YA BURNLEY NA HII NI EPL HUMU MTU UKIONGEA UNAONEKANA MPINZANI ZIMEBAKI SIKU 9 DIRISHA LIFUNGWE BODI YETU NA RECRUITMENT YETU WANAKUNYWA CHAI WANAKWAMBIA HAKUNA HAYA YA NEW PLAYERS HAHAHA UNAJUA INASHANGAZA SANA HII ARSENAL YA SASA INA WANAUME WACHACHE SANA WA KUPAMBANA WENGINE NI VIVULANA VULANA NDO MAANA SIKU HIZI OPPONENTS HAWATUOGOPI KABISA WANAJUA WAKIVIPA PRESHA HIVI VIVULANA GAME INAISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hesabu zangu zilionyesha tunamaliza nafasi ya 14 ila itabidi ni-review tena maana inawezekana tukashuka daraja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mustafi playing games for this football club in the year TWO THOUSAND AND TWENTY is an embarrassment
Ukisema hivyo maana yake ni kwamba tatizo kubwa haswa then ni ARTETA.

ARTETA ndie anaempanga kwenye kikosi na kumuacha Holding bench, kwahiyo tatizo letu la msingi ni ARTETA now au nakosea???
 
ULIULIZA JANA WHY WANA ARSENAL WENZANGU HAWANISAPOTI SIO WOTE ILA WANAOJITAMBUA WANAELEWA ILA AMBAO HAWANIELEWI TUTAENDELEA KUELEWANA MBELE YA SAFARI NAKUTAKIA USIKU MWEMA NAWAACHIA WENYE ROHO NGUMU MUIMALIZIE HII GAME SIONI KAMA KUNA JIPYA NA BADO TUPO PUNGUFU

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si uhamie Everton mkuu????
Tuache wenye roho ngumu hapa.....timu itakaa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan mzee.. Mm uwa najiuliza sna ivi kwl bora nitafute mtt wa academy nimpange kuliko nimpange Mustafi.. Yan Mustafi ni a disaster at all costs Yan makosa yake ni mengi sna Tena sna na sik zote yana gharimu sna team ya Arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nkasema, tukubaliane tu kwamba ARTETA sasa ndio tatizo letu jipya. Maana yeye ndie anaemuacha bench holding na kumpanga mustafi
 
Sasa si uhamie Everton mkuu????
Tuache wenye roho ngumu hapa.....timu itakaa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
KUHAMA SIO SOLUTION WALA KUWA NA ROHO NGUMU SIO ISHU ISHU KUBWA NI KUTOKUSHINDA OVYO OVYO ARSENAL IKISHUKA DARAJA TUNAWEZA HATA MECHI ZAKE ZA CHAMPIONSHIP ZISIONEKANE ILA HATUTAKI KUFIKA WALA KUWAZA HAYO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajiuliza swali Why Mustafi is still an Arsenal Mustafi ni Error prone player jamaa ni Liability kwenye squad ya Arsenal kuendelea kuwa na watu kama hawa inaonesha Arsenal is never that serious.
Kbs Yan kuendelea kua na wa2 kama Mustafi kwny Team yenu ni kuonesha amko serious kbs kwny ushndan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie si ndio mlikuwa mnasema Mzee Wenger mchumi na mbahiri sasa ameshandoka mbona bado mnambwera
MPAKA SASA TUMEKAA POINT 6 PEKEE KUSHUKA DARAJA MANINA NEXT GAME DHIDI YA BURNLEY NA HII NI EPL HUMU MTU UKIONGEA UNAONEKANA MPINZANI ZIMEBAKI SIKU 9 DIRISHA LIFUNGWE BODI YETU NA RECRUITMENT YETU WANAKUNYWA CHAI WANAKWAMBIA HAKUNA HAYA YA NEW PLAYERS HAHAHA UNAJUA INASHANGAZA SANA HII ARSENAL YA SASA INA WANAUME WACHACHE SANA WA KUPAMBANA WENGINE NI VIVULANA VULANA NDO MAANA SIKU HIZI OPPONENTS HAWATUOGOPI KABISA WANAJUA WAKIVIPA PRESHA HIVI VIVULANA GAME INAISHA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom