francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 521
Tatizo la saka ni kwenye kudefend ila offensively yuko poaHiki kitoto Saka uwa mnakishambulia, nakaa nawacheck halafu nabaki kuwashanga. It is 1-0, a combination of 18 years players



Tatizo la saka ni kwenye kudefend ila offensively yuko poa
Uyu Martinel ni mnyama hatakiwi kuachwa uyu dogo ana spirit ya kupambana
Sheffield wanakaba hadi wanaboa ila sio mbaya tukiendeleza mashambuliz second half point 3 zinabaki Emirates
#COYG![]()
WACHEZAJI WA KIAMERICA KUSINI HUWA NI WANAUME NI FIGHTERS MNO UKINIAMBIA UMESAJILI MCHEZAJI WA HUKO HATA KWA BEI YA KAWAIDA SIWEZI KUBISHANA HUMU KUNDINITatizo la saka ni kwenye kudefend ila offensively yuko poa
Uyu Martinel ni mnyama hatakiwi kuachwa uyu dogo ana spirit ya kupambana
Sheffield wanakaba hadi wanaboa ila sio mbaya tukiendeleza mashambuliz second half point 3 zinabaki Emirates
#COYG![]()
wamekusikia mkuuNikisema lacazette ni takataka nadhani nitakuwa nimpendelea, he is useless
Nikisema lacazette ni takataka nadhani nitakuwa nimpendelea, he is useless



Ushoga mwingi ArsnTuliza munkari mkuu hukuandikiwa barua Wala kufuatwa nyumban kwako kuishabikia #TUMEIPENDA WENYEWE ACHA ITUUE POTELEA PWETE
ngoja Arteta akifanya sajili zake ndio turudi kumjudge sio kwa sasa ni mapema mno mkuu
Kwa sasa ukiwa unacheki gemu za arsenal wewe agiza juisi kunywa taratibu lolote linaweza kutokea mda wowote
Tumpe mda Arteta atengeneze timu klopp hajaibuka tu na iyo liva yake ghafla alipewa mda
#COYG![]()
Duh!! Labda baadae timu itakua vizuri..Tuliza munkari mkuu hukuandikiwa barua Wala kufuatwa nyumban kwako kuishabikia #TUMEIPENDA WENYEWE ACHA ITUUE POTELEA PWETE
ngoja Arteta akifanya sajili zake ndio turudi kumjudge sio kwa sasa ni mapema mno mkuu
Kwa sasa ukiwa unacheki gemu za arsenal wewe agiza juisi kunywa taratibu lolote linaweza kutokea mda wowote
Tumpe mda Arteta atengeneze timu klopp hajaibuka tu na iyo liva yake ghafla alipewa mda
#COYG![]()