Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndo maana nkasema hivi Arteta sijamkataa kabisa labda hukunielewa Pep Zidane hao uliowataja walipewa timu gani na zenye wachezaji wa aina gani na background yake ipoje?

Arteta kapewa Arsenal ambayo inaendelea kuzama yeye mwenyewe mechi 2 hajashinda sababu haieleweki either wachezaji wabovu au yeye mwenyewe hana experience sio kocha mzuri

mfano Everton ANCELLOTI kacheza mechi 2 na ameshinda zote mbili sababu ni ana experience na anaujua mpira na keshabeba EPL hvyo sio mbahatishaji linaeleweka

Hvyo hata sisi hatuna uhakika na Arteta na tumebaki kuweka hisia zaidi na zaidi kuwa tumpe muda mara mpira wake mzuri tunaishia kujifariji tu bila sababu

Mimi NINGEKUWA NDO CEO WA ARSENAL NIGEMBEBA ANCELLOTI HATA KWA MWAKA 1 MPAKA NIKAE SAWA THEN ARTETA ANGEKUJA WAKATI NIMEKAA SAWA KITIMU ILA KWA SASA NGOJA TUONE HADI MARCH NINI KITATOKEA SABABU BODI INAPENDA VITU RAHISI NA HAWAJUI MPIRA NDO MAANA HAYA YOTE YANATOKEA

LAZIMA TUAMBIANE UKWELI MASHABIKI TUSIPEANE MOYO WA KIJINGA ARTETA NI KAMA KAMARI TUMECHEZA WAKATI TIMU NI MBOVU NA HATUJUI EXPERIENCE YAKE IPOJE

Sent using Jamii Forums mobile app
HII COMMENT NILIANDIKA KWA HERUFI NDOGO ILA NILIULIZA SWALI HALIKUJIBIWA ILA TUANGALIE TAKWIMU ZA ARTETA NA ANCELLOTI MAANA WALIANZA KWA PAMOJA ARSENAL NI TIMU KUBWA NA EVERTON NI TIMU YA KAWAIDA (TUENDELEE KUTAFAKARI)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NILISEMA HII TIMU NAIJUA KWA MIAKA 22 SASA NILISEMA KWA UHAKIKA HIZI MECHI 2 HATUTASHINDA ZOTE NA PIA TUNAWEZA TUSISHINDE HATA MOJA NA COMMENT YANGU HII NILISEMA NAISEVU NIKIWA NA UHAKIKA ASILIMIA 100 NA KAMA ITAENDA TOFAUTI NIONDOLEWE HUMU KUNDINI WAKATI SISI HATUELEWEKI WENZETU WANAZIDI KUPAA HUKU AARON AKISIFU
OHH SASA HIVI TUNACHEZA MPIRA OHH TIMU IMEBADILIKA HUKU NI KUJIPA MATUMAINI HEWA AU MATUMAINI SIFURI NA NEXT GAME NI DHIDI YA CHELSEA NAAPA NAAPA HII MECHI YA CHELSEA TUSIIFUATILIE HAKUNA USHINDI AMBAO TUTAUPATA USHINDI WETU UTAKUWA NI SARE AU KUFUNGWA KABISA TUTAPATA MAUMIVU HYO J4

KICHEKESHO UKIANGALIA MECHI YA MANCITY LEO NDO MAANA NIMEAMINI WHY WANATAKA KUTUUZIA STONES NA UKIONA BODI HAINA AKILI TIMAMU YA ARSENAL WAPO MGONGONI KUMTAKA NDO UONE HII TIMU HAINA NIA NA MAKOMBE MAKUBWA KABISA

ONYO TUPO TOFAUTI YA POINT 7 KUSHUKA DARAJA LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA HADI MAY TIMU ISHAJIFIA HII

YAMETIMIA
ARSENAL 1-1 SHEFFIELD UNITED FULL TIME

TUNAOJUA MPIRA TUKISEMA TUNAONEKANA MAMLUKI NAISHIA KUTUKANWA NAIPENDA ARSENAL KWA MIAKA 22 ILA HII TIMU IMEJAA VIVULANA VULANA SIO WANAUME WAPAMBANAJI

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu tumia herufi ndogo,

umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.

Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tumia herufi ndogo,

umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.

Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau hataki maswala ya improvements anahitaji tuwe nyuma ya liva pale tunampumulia
 
Mko vizuri mmelazimisha sare na team ya saba ,kwa kweli mnahitaji pongezi ,pia nyinyi wavumilivu sana .
 
Nadhani bodi ndio iwajibike kwa kufeli,Kitu kingine nashangaa Kwanini wanashidwa kurecruit new players wakati jahazi linazama asee,.
Mtu unajiuliza Directors haya hawayaoni.??Hawa wana discourage hata juhudi za mwalimu.Toka naijua Arsenal sijawahi kuiona kwenye Position hiyo
 
Mdau hataki maswala ya improvements anahitaji tuwe nyuma ya liva pale tunampumulia
Hii timu ilikuwa inapigiwa shots 18 mechi moja. Pasi 10 kupiga ilikuwa mtihani, Xhaka anatukanana na mashabiki, Lt11 anataka kuondoka. It was worse under Emery.

Hii mechi ya leo na ile ya C.Palace tumepata suluhu kwa deflected shots za wapinzani zilizozaa magoli, Overall timu imepunguza makosa sana kwa beki, Ukizingatia wing backs zetu ni Shaka/Maitland...

Bado tunashindwa kumaliza game pale Tunapokuwa tunaongoza goli moja. Na hili naamini Arteta anafanyia kazi. Soon tutaanza kuwa consistent tu.

Namkubali sana Arteta kwa alipotufikisha so far.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tumia herufi ndogo,

umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.

Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMPROVEMENT?MECHI 6 TUMESHINDA 1?AU SIJAKUELEWA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tumia herufi ndogo,

umeangalia mpira? Huoni some improvements? Arteta anaipeleka timu kwenye njia sahihi. Ni kweli bado timu inafanya makosa kwenye umaliziaji, ila muda ni muhimu ukizingatia tulipotoka.

Mbona City kadraw na Palace kwao? Hatupo kwenye form nzuri kwa sasa ila unapolalamika hata kwa mabadiliko yanayoendelea unachekesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
ARSENAL HII YA ARTETA NA YA UNAI TOFAUTI KUBWA KUWA SASA HIVI TUNAMILIKI MPIRA NA KUPIGIWA SHOTS CHACHE ILA MATOKEO NI YALE YALE INGEKUWA TUNASHINDA NDO UNGESEMA KUNA IMPROVEMENT TENA USIJE PAYUKA HIVI MBELE YA WAPINZANI WETU

HALAFU USIRUDIE TENA KUSEMA ETI MBONA MAN CITY IMETOA DROO UNACHEKESHA HII MANCITY ILIYOFUNGA GOLI 64 NA ARSENAL GOLI 30 HADI SASA UNATAKA KUZILINGANISHA?MMOJA ANAWAZA MAKOMBE MAKUBWA SISI HATUNA DIRECTION YA MAKOMBE NA TUNACHUNGULIA CHAMPIONSHIP HALAFU UNAZILINGANISHA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom