Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
LEO NIPATE FURSA KUMZUNGUMZIA HUYU BWANA
huwezi kupata utamu wa chai bila sukari ndio huwezi kupata kiwango bora bila mbinu sahihi kwa mchezaji husika.
je wahitaji kumjua huyu anayehitaji sukari
usitoke hapo twende pamoja
#NICOLAUS_PEPE huyu ni kijana ambae kasajiliwa kwa dau la record ya club akiwa na pressure kubwa kucheza kufikia matarajio ya watu juu yake
pepe ni winger mda mwingine forward hasa akicheza kama forward wing ni mchezaji ambae ni mzuri mno kwe dribbling or take ons sio haba fatilia rate yake ya success ya dribbling zake
pepe alikosa rhythm sahihi kwake chini ya Emery. ,ambaye alikuwa Defensive sana kuliko Ku attack, ni mchezaji anahitaji free role ili apate wigo mpana kiuchezaji nafikiri kwa sasa atleast tunaanza kumuona Pepe tunae muhitaji
kuna aina ya wachezaji ni ngumu kuwaona team ikikosa patterns sahihi kiuchezaji sahau kuona kiwango chao basi pepe ni mmoja wao
hii haina maana ni mchezaji mbaya,
Chini ya arteta ndani ya game 4 akianza 2 amehusika kwenye #buld up ya magoal 3 mawili united na jana la nelson
unaweza kumuona pepe bora second half jana dhidi ya Leeds, kuliko first half msingi ni ule ule tulikuwa disorganised not matured in decisions kila mtu alicheza tu.
kazi nzuri ya Arteta kuwafokea muda wa mapumziko kama Lacazette alivyosema ndio ilirudisha form, pepe anahitaji support lakini anahitaji kujituma pia ili kufikia peak ya hali ya juu
sijawahi kuwa na wasi wasi nae toka anafika Arsenal kwani ubora upe mda tu maswala ya kusema kupigwa ni chachu ya kufanya vyema criticise ni part ya soka
huwezi kupata utamu wa chai bila sukari ndio huwezi kupata kiwango bora bila mbinu sahihi kwa mchezaji husika.je wahitaji kumjua huyu anayehitaji sukari
usitoke hapo twende pamoja
#NICOLAUS_PEPE huyu ni kijana ambae kasajiliwa kwa dau la record ya club akiwa na pressure kubwa kucheza kufikia matarajio ya watu juu yake
pepe ni winger mda mwingine forward hasa akicheza kama forward wing ni mchezaji ambae ni mzuri mno kwe dribbling or take ons sio haba fatilia rate yake ya success ya dribbling zake
pepe alikosa rhythm sahihi kwake chini ya Emery. ,ambaye alikuwa Defensive sana kuliko Ku attack, ni mchezaji anahitaji free role ili apate wigo mpana kiuchezaji nafikiri kwa sasa atleast tunaanza kumuona Pepe tunae muhitaji
kuna aina ya wachezaji ni ngumu kuwaona team ikikosa patterns sahihi kiuchezaji sahau kuona kiwango chao basi pepe ni mmoja wao
hii haina maana ni mchezaji mbaya,Chini ya arteta ndani ya game 4 akianza 2 amehusika kwenye #buld up ya magoal 3 mawili united na jana la nelson
unaweza kumuona pepe bora second half jana dhidi ya Leeds, kuliko first half msingi ni ule ule tulikuwa disorganised not matured in decisions kila mtu alicheza tu.
kazi nzuri ya Arteta kuwafokea muda wa mapumziko kama Lacazette alivyosema ndio ilirudisha form, pepe anahitaji support lakini anahitaji kujituma pia ili kufikia peak ya hali ya juu
sijawahi kuwa na wasi wasi nae toka anafika Arsenal kwani ubora upe mda tu maswala ya kusema kupigwa ni chachu ya kufanya vyema criticise ni part ya soka
