Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio maana kafanana na LAMPARD!
Km vp wamlete huku kwenye ligi yetu!
IMEKULA KWAKE KAMA SISI ILIVYOKULA KWETU

Craig Pawson mwamuzi aliyechezesha mchezo wa Arsenal dhidi ys Chelsea amepewa adhabu ya kutochukua malipo yoyote jumla ya mechi 21 kwa kutomtoa kwa kadi nyekundu Mchezaji wa Chelsea Gorginho

Mi naona wangemshusha daraja tu

January transfer windowView attachment 1310013

Sent using Jamii Forums mobile app
 
| #AFC

Arsenal could make an offer of around €50 million for the former Fenerbahce academy player Merih Demiral, but Juventus are determined to keep him. [@fotomac]
 
Arteta:

"Its his commitment, I like the way he focusses, I like the way he lives his profession, he's willing to learn & he's a great football player. Its also his range of passes & I'm just delighted to have him"
IMG_20200102_161550_116.jpeg
 
Hata juzi baada ya mechi yetu na Chelsae kumalizika Supersport pale mtangazaji alimuuliza Yonny Adams kuhusu matokea yale na ujio wa Arteta, yeye alisema anamuona Arteta kuja kuwa kocha mkubwa England
Nafikiri philosophy zake ni very strong nimesikia David luis akiongelea some pundits too

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
 
NAONA ATLETICO WANATAKA KUTUPIGA KWA HUYU FLOP

ILA ARSENAL HAWAWEZ KUTOA £60M+ KWA FLOP, LABDA KWA WITH OPTION TO BUY ,


|Report in Marca has stated that Atletico will sell Thomas Lemar to fund a new striker. They will want to get as close to the £63mill fee paid as possible. The report mentioned Arsenal as a club showing interest.
 
Mikel Arteta on Sead Kolasinac:


“I said to him, ‘thank you so much’, because we had Bukayo [Saka] who wasn’t feeling good. He wasn’t ready to play, Kola. He was expecting to start maybe against Leeds or after Leeds & he made an incredible effort.” #afc
 
Arteta presser key points:

* Arsenal ‘have to challenge’ for FA Cup
* Will try to be in the market this month, but reality is ‘won’t be able to do much’
* Doesn’t even think about Auba leaving
* Chambers having surgery today on significant injury which will change transfer plans .
IMG_20200102_175855.jpeg
 
NAONA ATLETICO WANATAKA KUTUPIGA KWA HUYU FLOP

ILA ARSENAL HAWAWEZ KUTOA £60M+ KWA FLOP, LABDA KWA WITH OPTION TO BUY ,


|Report in Marca has stated that Atletico will sell Thomas Lemar to fund a new striker. They will want to get as close to the £63mill fee paid as possible. The report mentioned Arsenal as a club showing interest.
Nasikia Spurs nao wameingia kwenye hili deal

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 
Arteta had made signing a new midfielder his number 1 priority but hinted he will now have to sign a new defender due to Chambers's injury. [@TeleFootball]
 
Back
Top Bottom