Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa hivi walau tunalo la kuzungumza

Wazee kuhusu Arteta uyu jamaa Kama kocha hapa tumepata tayari kilichobaki ni mzigo utolewe tuongezewe watu wa maana watu wa kazi

COYG
Yah mpira sio kubahatisha kama Emery


Mpira ni tactic na philosophy


Ukiangalia mech tokea na Bornamouth unaona kabisa Kuna kitu ame implement ,

Ilifikia hatua kila mech tunapigiwa shots 20+ ,

Tuliaminishwa uongo Mateo gunduz ni bora kuliko LT11 ,

Na xhaka ni namba 6 kitu ambacho sikuwahi kukiamini kabisa .,


Arteta tumpe muda aendelee kujenga timu taratibu bila presha
 
Arsenal’s next six fixtures:

Leeds United H
Crystal Palace A
Sheffield Utd H
Chelsea A
FA Cup 4th Round TBC
Burnley A

#afc
Kwa mchezo waliocheza jana hao wajiandae kwa maumivu,forward na back zilisimama vizuri sana,kidogo katikati kunahitaji marekebisho,bigup Arteta,kwa mwendo huu utaturudisha tena kwenye screen...
 
COYG
tapatalk_1577944848573.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekwambia kisa kocha mpya nani?

Arsenal ilishapoteza filosoph yake , hata pass 10 ilishindwa ,

Mech za away tunakaa nyuma


Kila mech kupigiwa mashuti 15+ had 20+ ilikuwa kawaida


Arteta anairudisha timu kwenye njia, na mazoez anachofundisha ndicho tunakiona uwanjani,


Ww unasema kisa kocha mpya ?
Suala la mashuti ilikuwa ndo balaa yaani Arsenal anapigiwa mashuti 31 per Match?Mhindi alikuwa ni fala sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa mods kuna jamaa flani huwaga anawatag kwenye baadhi ya nyuzi wanatembeza ban na kufuta comments ila humu washatagiwa sana wabadili hapo ila wamegoma sijui
Hadi kwenye kutoa picha ya mhindi walisumbua hivyohivyo.... Sa sijui wanatuonaje
 
Arsenal fans very hypocrite..... Sahivi ukitembea social networks utaona wanapiga kelele Xhaka abaki wakati ndo haohao walimuombea binti yake apate kansa afe.... Kweli mpira bila unafiki hauendi.
 
Back
Top Bottom