Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Kila la heri The Gunners.....Ushindi ni lazima leo..........Together we stand
Ile form ya Rooney sijui kwa kweli kama hata tikisa mambo leo. best wishes al-Arsenal
Kumbe rooney yuko kwenye form? duh nilikuwa sijui mkuu asante kwa ujumbe lol.
Mechi yao ya Mwisho alicheza vizuri sana! Kama Kawaida kila laheri kwa Fabianski aka BAK
Mechi yao ya Mwisho alicheza vizuri sana!
Ile form ya Rooney sijui kwa kweli kama hata tikisa mambo leo. best wishes al-Arsenal
Jitahidini mtoe sare!
Kwa game ya leo namuoopa sana Wayne.....Huwa anajitumumua sana tunapokutana na Man U,nina wasiwasi sana na game ya leo kutokana na ulegelege wa beki yetu ya kati......I wish Verma angekuwepo leo ...Mara nyingi hutufunga huyu,ni kama DSrogba vile anavyotuliza kila tunapokutana na The Blues
wakuuu nao0na mko katika maandalizi ya huu mpambano mkubwa leo.
possible line up ya leo ni : Arsenal: Szczesny, Sagna, Squillaci, Koscielny, Clichy, Rosicky, Song, Wilshere, Nasri, Arshavin, Chamakh.
fabianski kaumia mguu kwahio dogo atapewa nafasi kuanza mbele ya Almunia labda kama fabianski atapona.
Nimecheki line up ya leo kwenye Manchester United v Arsenal | Premier League 2010-2011 - Yahoo Eurosport UK
Fabianski, Sagna, Squillaci, Sond, Koscielny, Clichy, Nasri, Wilshere, Rosicky, Chamakh, Arshavin
Huyu Evra kwa vijikauli vyake.....Sijui itakuwaje akifungwa na "Training Center Team"...Yes, alisema wanaweza kufungwa lakini Arsenal wataenda wapi......
Mkuu kama ulikuwepo ,kitu ninachoogopa leo kukamatwa kwenye counter attack ,Fergie anaipenda sana kuitumia kwetu.Muhimu hapa mabeki wetu waache kupanda hovyo kama Clichy huwa anajisahau sana.
Hii ni 4-2-3-1 formation ambayo ni nzuri kwa ugenini. Hapo Chamakh ataachwa mbele akisaidiwa na Arshavin, Nasri na Wilshere huku Song akilinda back four.
United watakuja na mtindo wa kukaa nyuma wakisubiri kushambulia kwa kushtukiza maana wanajua Arsenal mtindo wake ni uleule wa free flowing attacking football.