milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Hata Mimi nashangaa sana unabaki na willock Nelson Smith halafu unamtoa Miki kwa mkopo?dah akili ya viongozi wa Arsenal bana najua sasa hivi mavi yao yanagonga Chupi sababu ya kupenda kupuuzia vitu serious kama hivi wanaona sasa kumbe kushuka Daraja kunawezekanaKimsingi mechi ya leo ni ngumu sana!.. Kitu kinachonipa matumaini ni kuwa kocha keshaanza kuibadili timu japo hatujaanza kupata ushindi!.. Hebu fikiria timu haina full backs (wote majeruhi), mabeki wa kati wanafungisha ovyo bila sababu, Chambers, holding majeruhi.. Yaani saka anacheza namba tatu!.. Mechi ya leo naamini tutapigana sana.. Lakini napenda kuwaasa ndugu zangu wana Arsenal kama tukifungwa leo tusikate tamaa na kuanza kumlaumu kocha!.. Wote ni mashahidi mechi iliyopita tulicheza vizuri na viwango vya wachezaji Ozil vimeanza kuboreka, sema kuna mapopoma siku ile walituharibia ushindi wetu na kitupa majonzi tele!.. Leo natumaini tutakipiga vizuri kabisa na kuna uwezekano mkubwa wa kushinda hii mechi kama tutadominate mpira, lakini pia tunaweza tushishinde kutokana na full backs wetu wote watatu kuwa majeruhi na centre backs wawili pia kuwa majeruhi.. Kea hiyo tukifungwa tusikate tamaa!.. Hebu fikiria kocha amepokea timu toka kwa yule popoma aliyemuuza Ramsey na kutultea balaa pale kati!.. Kiukweli kitendo cha kumuuza Ramsey na kumpeleja Miki kwa kumkopo kimesababisha timu isiwe na balance kabisa.. Mimi bado naamini Miki ni mchezaji mzuri ambaye anaweza kutusaidia ukilinganisha na hawa waliopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app