Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh kamanda wewe kweli kiboko! mimi naombea Schalke ukizingatia huku nyuma backline majeruhi tupu na Sagna hatocheza kwa vile ana kadi nyekundu.

Timu ikiwa kwenye hali mbaya hawaonekani hawa watu
 
Timu ikiwa kwenye hali mbaya hawaonekani hawa watu

Belo shughuli zimetinga tu aisee, btw mbona timu iko na afya nzuri tu? Nikumbushe nani anaongoza ligi? tumetinga last 16 in CL na bado tupo na kibonde Ipswich kwenye Carling semi:teeth:😛arty:
 
Arsenal defender Kieran Gibbs is expected to be sidelined for around three weeks with an ankle injury, manager Arsene Wenger has confirmed.
 
Belo shughuli zimetinga tu aisee, btw mbona timu iko na afya nzuri tu? Nikumbushe nani anaongoza ligi? tumetinga last 16 in CL na bado tupo na kibonde Ipswich kwenye Carling semi:teeth:😛arty:
At least mwaka huu mtapata Carling Cup ,watoto wameshakua tunaanza kuona matunda.Hili la kuongoza ligi tukumbushane 14/12 nitakupa jibu
 
Natumaini jumatatu hamtoamua kucheza kama Man Citeh tu na kuamua kupaki basi nyuma ili mcheze for a draw. Otherwise mcheze beautiful football alafu tuwashike kwenye counter attack mkiwa mna-nap.
 
Natumaini jumatatu hamtoamua kucheza kama Man Citeh tu na kuamua kupaki basi nyuma ili mcheze for a draw. Otherwise mcheze beautiful football alafu tuwashike kwenye counter attack mkiwa mna-nap.

Ushawahi kuona Arsenal ikipaki basi nyuma au unajihami mkuu lol?
 
Almunia naona kaomba kuondoka na kafungiliwa milango offer ya kwanza kutoka Qatar kachomoa anataka kurudi kwa Spain lol.
 
Haya Woolwich Kindergarten, here you go.

 
Almunia naona kaomba kuondoka na kafungiliwa milango offer ya kwanza kutoka Qatar kachomoa anataka kurudi kwa Spain lol.

...tutamkumbuka kwa ustadi wake wa kudaka penati!...thats all, aende salama.

 
Haya Woolwich Kindergarten, here you go.
Wenger - "Below-the-belt remarks are always based on fear. Respect for others is a sign of class." jibu tosha toka kwa Le proffesour
 
Wenger - "Below-the-belt remarks are always based on fear. Respect for others is a sign of class." jibu tosha toka kwa Le proffesour

It can also explain over-confidence or arrogance acquired from being successful.
 
United they stand! Sir Bobby Charlton meets Chilean miners ahead of Arsenal showdown


The Chilean miners trapped underground for two months earlier this year will be guests of honour at Manchester United's top-of-the-table clash with Arsenal on Monday night.

Sir Bobby Charlton, whose father was a miner in Northumberland, welcomed the men to Old Trafford yesterday, saying: 'You took it in your stride and the whole world was very proud of you.'


United they stand: Sir Bobby Charlton poses for a team photo with the rescued Chilean miners

The BBC reported that Omar Reygadas, a 56-year-old bulldozer operator, said: 'It's an honour to be at Old Trafford. It's the theatre of dreams and we have only seen it on television.'
He jokingly challenged United to a game, saying: 'We have got enough footballers to make a team and maybe play Manchester United.'


All smiles: Raul Bustos (left) and Mario Sepulveda will be among the guests of honour at Old Trafford

At least some of the men are believed to be fans of United and they will get VIP access to meet Sir Alex Ferguson and his players before the match, before taking their seats in the directors' box.

The trip was suggested by Old Trafford legend Sir Bobby and is being organised by Chilean wine producer Concha Y Toro, which sponsors United.


Fancy a game? The Chilean miners have challenged Fergie's men to a match

The miners were dramatically rescued in October when, one by one, they were brought back to the surface in a capsule after spending two months underground.

The story made headlines across the globe and two of the men have said that plans for a film chronicling their ordeal in the South American country are moving fast.

Sir Bobby, a director at the football club, suggested the miners see a United game when he visited Chile in the autumn.

 


:whoo::whoo::whoo:...Together we Stand!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…