Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh kama ni kweli sitaangalia mpira ntaenda kufanya kazi zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaki Cana alikuwa Deportivo la Coruña au Villarreal enzi na nyonya?
 

Lakini Aaron wewe ni mzoefu na hizi propaganda za matajiri wa Arsenal, since wayback, wanaweza kuahidi usajili halafu muda ukifika unasikia kauli za hakuna mchezaji sokoni.

Nakumbuka kuna kipindi makocha wengine walikuwa wanasubiri mchezaji atakayekuwa pointed na Wenger wanambeba.

Labda waamue kubadilika. Kwa sababu wakati wanamchukua Unai, Arteta kwenye proposal yake alihitaji 200+ na Unai akasema yeye atawatumia hawa hawa waliopo. Akapewa Unai.
 
Naangalia BT sport Keown anasema he is not convinced that ozil picked injury but it is because he was sure Ljungberg was not going to play him
 
Umechambua ka mwehu tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Leo kama Freddie roho haimuumi kukosa nafasi why Laca asingecheza namba 10 halafu pepe nafasi ya Reinn?kulikuwa na shda gani ?jamaa kumbe ana roho mbaya sana nimemchukia mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcourse umeongea vitu vya msingi na vya kweli. Kuwatumia Pep na Zinedine km mifano ya kumjustify Mikel with all due respect to these guys ni makosa.

Kama ulivyohighlight baadhi ya factors ambazo Barcelona na Madrid walikua nazo na sisi(Arsenal) hatuna km vile world class players na financial position ya vilabu husika.

Nikiri kuwa hii ni kamari,lkn pia hili nililisema(tukiwa na jamaa zangu) kabla hata moto wa kutimuliwa Unai haujaanza. Niliwaambia kwa sasa Arsenal ikitokea wakamtimua Unai basi the best coach they can afford ni Arteta,walinibishia ila jana walinipigia wa kwanza baada ya breaking news za #AFC.

Kwa nini nililiona hili?

1. Arsenal kifedha kwa sasa wako hoi.

2. Wanaandamwa na mzimu wa Wenger aliyeweza kuoperate with very limited budget na bado alifanya mambo makubwa uwanjani na kuleta almost maximum profit.

3. Arsenal imepoteza mvuto kwa Makocha mahiri na pia wachezaji wazuri.

Kwa sababu hizi zote,Arteta was the best;

1. Ni affordable in terms of costs

2. Wanashawishika kwamba atleast anaweza kurudisha glory days za Wenger kwa kuorganise overage players tulionao na soon tutaanza tena kushiriki uefa na kuraise vipaji na kuviuza km zamani.

3. Kwa kuwa tumepoteza mvuto kwa big Coaches,the best way ni kujaribu kuspot one of the young promising coaches ambaye kwake Arsenal will be an upgrade.
 
Hapana kaka nakukatalia Arsenal ni moja ya timu tajiri duniani tatizo ni Kroenke kwanza haujui mpira na hajawah kwenda uwanjani zaidi ya mtoto wake kumtuma na Arsenal ina uwezo wa kumchukua kocha yoyote duniani sababu ni moja ya timu kubwa na yenye hela duniani ila changamoto ni Kroenke tu basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…