Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dogo nampenda yuko faster sana, ana maamuzi ya haraka
 
Dah sikucheki gemu maana nilikuwa na stress na nilijua hawa washika mitutu wangeniongezea stress..... Kama mambo yalikuwa hivi safi sana....
 
Wachezaji kama kolasinac hawakua hata kwenye sub ila wamecheza! Hii inakaaje kwenye sheria asee
 
Huwa nalipita hili jukwaa kama silioni hivi mtaniona hapa hapa tena baada ya tarehe moja January baada ya mechi na Manure.

Asanteni
 
Haha aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…